Ukweli kuhusu Rwanda, watutsi, Paul Kagame na uchochezi wa mch. Mtikila

Hayo ni mawazo yako NasDaz ila sio lazima yawe na ukweli ndani yake.Wakati Kagame analipigania hili Taifa yenye historia ya kipekee hapa barani Afrika dhidi ya mchokozi Idd Amin,Mtikila alikuwa wapi?Kagame atabakia kuwa mmoja wa mashujaa wa Tanzania wakati Mtikila atabakia kuwa mtu muoga,Asiye mzalendo na anayetumika na Wanasiasa wasio waadirifu katika Taifa hili la Tanzania.
Miongoni mwa vitu ambavyo nilijitahidi sana kuichimba sana historia yake ni hivi Vita vya Kagera na hapa kulikuwa na uzi mmoja, ulinoga sana kuhusiana vita hivyo; wachangiaji wakuu nakumbuka tulikuwa ni pamoja na Mkandara, chama, Jasusi, Mzee Mwanakijiji pamoja na wengineo! Nikiri wazi kwamba katika kutafuta tafuta huko nikiri wazi sikuwahi kukutana na ushiriki wa Kagame kwenye vita hiyo!

Lakini hata kama ni kweli kwamba Kagame alipigana upande wa Tanzania, bado siwezi kushawishika kwamba alifanya hivyo kwa maslahi ya Tanzania bali alifanya hivyo kwa maslahi ya Yoweri Museveni ambapo alifahamu kabisa kuondoshwa kwa Iddi Amin kungekuwa ni some steps forward kwa Museveni kuitwaa Uganda na hivyo Kagame kupata eneo muafaka kwake kuendeleza harakati zake!

Kwamba Kagame ni Shujaa wa Tanzania hicho ni kutuko cha kufungia nusu mwaka, na kwa hakika kinaweza kuwa Top 3 ya Vituko Vikubwa kabisa 2013 hapa Tanzania! Suala la yeye kupigana bega kwa bega na Majeshi ya Tanzania kamwe hakutoshelezi kumweka katika kundi la Mashujaa wa Nchi hii...!! Mfano mzuri, miezi michache iliyopita Kenya alipeleka majeshi Somalia kuwapiga Al Shabab iliyokuwa inawatesa sana Somalia! Kwa hili katu hatuwezi kui-brand Kenya kwamba ni Shujaa wa Somalia wakati ukweli unafahamika kwamba Kenya alipeleka majeshi si kwa ajili ya Somalia bali alipeleka majeshi ili kuiangamiza Al Shabab iliyokuwa inaisumbua Kenya! Huo ni mfano wa karibuni kabisa kupata kutokea ukanda huu! Lakini tukiend pande zingine za dunia, tunaona George Bush alipeleka Majeshi Afghanistan ni kuwafukuzia mbali Taliban! Hasilani hapo hatuwezi kuthubutu kusema kwamba George Bush ni Shujaa wa Afghanistan kwa kigezo kwa kuwa ukweli ulio ni wazi ni kwamba hakupeleka Majeshi Afghanistan kwa maslahi ya Afghanistan na watu wake bali alifanya hivyo kwa ajili ya kwenda kumfagia Osama aliyekuwa anaisumbua Marekani yenyewe! Si hivyo tu, Marekani huyo huyo alimsaidia Osama na Taliban kuifukuza Urusi iliyokuwa imeweka Majeshi yake Afghanistani lakini hatuwezi kusema kwamba US ni shujaa wa Afghanistan kwa kuwa alisaidia kuifukuza Urusi ndani ya ardhi ya Afghanistani kwa kuwa inafahamika wazi kwamba US hawakufanya hivyo kwa kuipenda Afghanistan bali walifanya hivyo kwa ajili ya kuondosha ushawishi wa hasimu wake mkuu Urusi kwenye eneo hilo!

Lakini pamoja na kutumia nguvu zote hizi kukuonesha ni namna gani mtu kupigana upande wako si lazima awe anafanya hivyo kwa maslahi yako, bado nasisitiza sijawahi kusikia popote suala la Kagame kuhusika na kuikomboa Tanzania! Weka hapa source ya taarifa yako ili nami nipate kuongeza ufahamu! Historia pekee ninayoifahamu mimi inayofanana fanana na hiyo ni pale Kagame alivyoungana na Museven wakiwa na lengo la kumwangusha Obote (baada ya Obote kurudi Uganda mara ya pili)! Na sababu kubwa ni ile ile niliyoisema hapo kabla; kwamba Kagame alilazimika kumsaidia Museveni ili apate uwanja usio na bughudha wa kuendesha harakati zake!
 
Last edited by a moderator:
Kagame is our hero during Kagera war? shit na Msuguli,Waitara,Mboma,Mwita Kyaro,Waden tutawaitaje? Acheni kuanzisha lijikiwanda la uongo humu

bila kumsahau brig. Silas Mayunga.
Hawa madogo historia sijui wanajifunzia wapi. Eti kagame ni hero kwenye kuitetea TZ.
 
Miongoni mwa vitu ambavyo nilijitahidi sana kuichimba sana historia yake ni hivi Vita vya Kagera na hapa kulikuwa na uzi mmoja, ulinoga sana kuhusiana vita hivyo; wachangiaji wakuu nakumbuka tulikuwa ni pamoja na Mkandara, chama, Jasusi, Mzee Mwanakijiji pamoja na wengineo! Nikiri wazi kwamba katika kutafuta tafuta huko nikiri wazi sikuwahi kukutana na ushiriki wa Kagame kwenye vita hiyo!

Lakini hata kama ni kweli kwamba Kagame alipigana upande wa Tanzania, bado siwezi kushawishika kwamba alifanya hivyo kwa maslahi ya Tanzania bali alifanya hivyo kwa maslahi ya Yoweri Museveni ambapo alifahamu kabisa kuondoshwa kwa Iddi Amin kungekuwa ni some steps forward kwa Museveni kuitwaa Uganda na hivyo Kagame kupata eneo muafaka kwake kuendeleza harakati zake!

Kwamba Kagame ni Shujaa wa Tanzania hicho ni kutuko cha kufungia nusu mwaka, na kwa hakika kinaweza kuwa Top 3 ya Vituko Vikubwa kabisa 2013 hapa Tanzania! Suala la yeye kupigana bega kwa bega na Majeshi ya Tanzania kamwe hakutoshelezi kumweka katika kundi la Mashujaa wa Nchi hii...!! Mfano mzuri, miezi michache iliyopita Kenya alipeleka majeshi Somalia kuwapiga Al Shabab iliyokuwa inawatesa sana Somalia! Kwa hili katu hatuwezi kui-brand Kenya kwamba ni Shujaa wa Somalia wakati ukweli unafahamika kwamba Kenya alipeleka majeshi si kwa ajili ya Somalia bali alipeleka majeshi ili kuiangamiza Al Shabab iliyokuwa inaisumbua Kenya! Huo ni mfano wa karibuni kabisa kupata kutokea ukanda huu! Lakini tukiend pande zingine za dunia, tunaona George Bush alipeleka Majeshi Afghanistan ni kuwafukuzia mbali Taliban! Hasilani hapo hatuwezi kuthubutu kusema kwamba George Bush ni Shujaa wa Afghanistan kwa kigezo kwa kuwa ukweli ulio ni wazi ni kwamba hakupeleka Majeshi Afghanistan kwa maslahi ya Afghanistan na watu wake bali alifanya hivyo kwa ajili ya kwenda kumfagia Osama aliyekuwa anaisumbua Marekani yenyewe! Si hivyo tu, Marekani huyo huyo alimsaidia Osama na Taliban kuifukuza Urusi iliyokuwa imeweka Majeshi yake Afghanistani lakini hatuwezi kusema kwamba US ni shujaa wa Afghanistan kwa kuwa alisaidia kuifukuza Urusi ndani ya ardhi ya Afghanistani kwa kuwa inafahamika wazi kwamba US hawakufanya hivyo kwa kuipenda Afghanistan bali walifanya hivyo kwa ajili ya kuondosha ushawishi wa hasimu wake mkuu Urusi kwenye eneo hilo!

Lakini pamoja na kutumia nguvu zote hizi kukuonesha ni namna gani mtu kupigana upande wako si lazima awe anafanya hivyo kwa maslahi yako, bado nasisitiza sijawahi kusikia popote suala la Kagame kuhusika na kuikomboa Tanzania! Weka hapa source ya taarifa yako ili nami nipate kuongeza ufahamu! Historia pekee ninayoifahamu mimi inayofanana fanana na hiyo ni pale Kagame alivyoungana na Museven wakiwa na lengo la kumwangusha Obote (baada ya Obote kurudi Uganda mara ya pili)! Na sababu kubwa ni ile ile niliyoisema hapo kabla; kwamba Kagame alilazimika kumsaidia Museveni ili apate uwanja usio na bughudha wa kuendesha harakati zake!
NazDaz,
You are onto something. Kwenye kitabu chake "Sowing the Mustard Seed," Museveni hakumtaja Paul Kagame kabisa. Kwa hiyo hatujui ni lini Kagame aliungana na Museveni. Ametaja baadhi ya vijana aliofuatana nao kwa mafunzo Msumbiji lakini hakumtaja Kagame. Nahisi labda Kagame aliungana na Museveni baada ya vita vya Iddi Amin au wakati wa vita hivyo, ila ninachoweza kusema kwa uhakika ni kwamba alikuwa miongoni mwa maafisa wa Uganda waliopewa mafunzo pale Monduli. Kuna mtu alinielezea kuwa katika mazoezi yale walikuwa wanafundishwa kufunga furushi la safari ya maili kumi, waganda wakijiongezea maili nyingine kumi na Wanyarwanda nao kujiongezea maili nyingine ishirini. Kwa hiyo ni wazi kwamba tayari walikuwa na wazo la kurudi kwao kuipigania nchi yao. Tunachojua ni kwamba Kagame alikuwa intelligence officer katika jeshi la Museveni, lakini sijaona mahali tumeelezwa alijiunga lini na jeshi hilo.
 
Maelezo yako marefu hayana ushahi wa kutosha kumpinga Mtikila na Kumtetea Kagame. Simaanishi kuwa Mtikila ni sahahi bali sina ushahidi uliojitosheleza kumpinga. Kwa wasomi wanaojua kuchambua hoja hakuna ulichoandika zaidi ya riwaya za Abunuwasi.

Nataka niwatoe utata Watanzania juu ya gharama za kuwapeleka wanajeshiwetu Congo. Wanajeshi wetu wamepelekwa Congo chini ya Umoja wa Mataifa ambapo United Nations Security Council adopted a Resolution # 2107 (2013) which authorized the deployment of Tanzanian troops in Congo as apart of intervention brigade. The General Assembly for 2013/2014 approved a peace keeping missions budget of about USD 8 billions of which USD 1.53 billions for MONUSCO a mission which Tanzania is a part to.

Kwahiyo a UN Department of Peace Keeping Mission in the department of Contingent Owned Equipment (COE) remburses all troops contributing countries for troops and all military equipment in a monthly bases even if the equipment are not used in the mission. Gharama zote za wanajeshi wa Tanzania na vifaa vya kivita, chakula, mafuta, maji na kila kitu vinagharamiwa na UN. Nchi ya Bagladesh bajeti yake ya ulinzi inakuewa funded kwa pesa inazozipata kwenye peace keeping operations, kwa sasa hiyo ni biashara nzuri sana ndio maana mataifa kama India, Pakistan na mengineyo yanajitahidi kuwa na ushawishi mkubwa UN HQ NY kwaajili ya kupata nafasi za kupeleka wanajeshi wake kwenye kulinda Amani.

Mchango wangu ni huo tu, ila unapoongea ndugu yangu jaribu kutetea hoja zako kwa ushahidi mzito usifanye blabla, mtu wa kawaida tu akisoma anaona wazi kuwa wewe ni haohao, amfai ninyi hata kidogo, mimi nawajua sana nimefanyakazi pale BENACO Ngara kwenye Refugee operation kwa miaka mingi, Watusi hawana mpango hata kidogo, samahani lakini ndivyo ilivyo. Kwataarifa ni kwamba kabala ya jeshi letu kwenda huko kuna senior officers wetu walikamatwa wakimfanyia intelligence Kagame, huyo ni wa kuogopa kama ukoma.
 
Kagame atakuwa shujaa kwa bsbs na kimada wako na toa pumba zako..kagame akiwa shujaa wa Tanzania na kina Msuguri wawe nani?
 
nyie wanyarwanda ni wapuuz sana hata mjitetee vipi kunasiku lazima mtarudi kwenu -------......mnafikiri watu hawaoni maujinga yenu?
 
Siwezi kupoteza mda kubishana..,but hata pia FRED RWIGYEMA ALIKUWA MTUTSI NA ALIPIGANA KUIKOMBOA TANZANIA DHIDI YA NDULI IDD AMINI, AKISAIDIANA NA JESHI LA JWTZ...! NAMSHAANGAA MCHUNGAJI MTIKILA ATAWATUKANA WATUTSI AMBAO WALIPIGANIA UKOMBOZI WA TAIFA LETU,

Ilikua vipi tena Kagame akamuua FRED RWIGYEMA, huoni kwamba mtikila yuko sahihi anaposema kwamba ni Shetani/Nyoka?

Mtikila alichokosea tu ni kushindwa kutofautisha Watusi waliobadilika na wale wanaoendeleza ule ushetani uliokuwepo tangu kabla ya uhuru, vinginevyo alichoandika ni sahihi. Hata kagame alikili hili pale aliposema kwamba ni vitu vya miaka ya 60! Kama unafuatilia haya ndio hasa kiini vita iliyosababisha Watusi kukimbia miaka hiyo hiyo.
 
nyie wanyarwanda ni wapuuz
sana hata mjitetee vipi kunasiku lazima mtarudi kwenu
-------......mnafikiri watu hawaoni maujinga yenu?

Exactly! You know what you are talking ...! siku zao zinahesabika ... Vinginevyo WAWE NA ADUBU NA WAJIHESHIMU.
 
Kumbe Kagame ni mmoja wa mashujaa wetu halafu hawa watu wengine wasaliti wanataka kuiandika historia upya?Hawatafanikiwa kamwe na Kagame atalindwa kwa gharama zote na Watanzania.Wanasiasa wasio wazalendo siku zote huwa wasaliti.Nilijua tu Kagame alikuwa innocent.

nikirejea waraka wa mtikila, nyerere ana vinasaba vya kitutsi. Kadhalika ni mpango wake kuona Bahima empire inakua. Sasa kagame kumsaidia Nyerere hamwoni kuwa ni mkakati?
 
Na huyu mwandishi nae amezidi kuwa biased na bandiko lake.Hivi kuna uthibutisho wa Kagame kushiriki Kagera War?

Hata kama ingekua kweli ana haki gani ya kutusi taifa hili kupitia matusi yake kwa JK?Shameless Dictator!
 
Sasa naanza kuielewa dhana ya ukombozi inayotamkwa na CDM na wafuasi wake... Hivi VITA YA KAGERA unaweza kuiita ni vita ya ukomboZi????????????? Huu ni uwendawazimu wa kiwango cha kutia hasira.
Tulikuwa tunamkomboa nani dhidi ya nini?????????? Hivi vita ta kulinda mipaka utaita ni ya UKOMBOZI???????
Naona aibu kuona kuna watu humu wanamtukana mtikila na eti kumtukuza kagame kuwa alishiriki kuikomboa nchi yetu,,,,,, hii ni aibu.
Na ukweli ni kwamba, vita ya kagera nayo ilikuwa ni mkakati ulele wa "TRIPLE K" (kambarage.kagame,kaguta) wa kuwaondoa WABANTU na kuwaweka WATUTSI kwenye utawala wa maziwa makuu. Sitaki kumsema nyerere kwa sababu NAMUHESHIMU
kulikomwanasiasa yeyote wa maziwa makuu, lakini uoendeleo wake wa wazi kwa WATUTSI and associates ni wa kutiliwa mashaka makubwa.
Vita vya uganda ni kitendawili, na mauaji ya watutsi 1994 nayo yana utata mkubwa,nakumbukq neno GENOCIDE kwa mara ya kwanza nililisikia tokq kwa nyerere alipoitisha mkutano wa waandishi wa habari kwa ajili ya kulaaani mauaji yale. Yeye aliguswa kuliko binadamu wote... WHY????!!!!
Kagame/kaguta wanaijua nguvu ya TZ, wanajua kuwa tunawajua vizuri, wanajua athari za sisi kuwepo CONGO na wanaelewa tafsiri ya sisi kuwepo KONGO.
Kama ni visa na visasi, basi tuna kilq sababu ya kuwaadabisha hawa cockroaches kwa mustakabali mwema wa hili eneo letu lq maziwa makuu.
Wekeni siasa na ushabiki pembeni kwani hawa mende wa kitutsi ni mfupa kwenye koo
 
Wikipedia ni online encyclopedia. Hata wewe unaweza ku-load information kuhusu kagame kupitia simu au PC yako
 
Mwaka huu tutasikia mengi, eti Kagame ameshiriki kumwondoa Idi Amin, siku zote hizo si ingekuwa inajulikana. Kama una utetezi wa kupinga hoja ya Mtikila weka vizuri tuelewe sio kusema sema tu vitu ovyo hata havieleweki, naona wewe unapata shida watutsi kubaguliwa lakini wenyewe kuwabagua wenzao hakuna tatizo.
 
Harafu tufanye connection na campaign zinazofanywa na Mseveni kufanya Nyerere aitwe mtakatifu, kweli watutsi kwa propaganda za kujikweza hamjambo. Huo utakatifu wake mwisho Kyaka na Rusumo, kumbe ndio maana JK hamwiti Nyerere baba wa Taifa, yeye anaita mzee Nyerere tu, nilikuwa simwelewi vya kutosha, kumbe project ya Hima empire ilianza tangu 50's. Mzee Moi wa Kenya alishawahi tamka kuwa ni Kenya tu ambayo hajawahi tawaliwa na Mtusi alikuwa right mzee wa watu

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Unajidanganya wewe,Mtaanza kuondoka nyinyi madarakani kabla ya Kagame.Mimi sio Mnyarwanda ila naongea kutokana na hali halisi.Watanzania wengi wanaichukia CCM kwasababu ya matendo yao ya kinyama dhidi ya Wafuasi wa Vyama vya Upinzani.Unadhani Watanzania walio wengi wanaounga mkono Upinzani watakuwa tayari kutoa ushirikiano Kwa majeshi yenu ya CCM mara mtakapovamiwa na Nchi adui?No way.
Stupi.d comment from stupi.t fellow. Hivi kweli wewe mtanzania kweli !!!!!?????. I urge responsible authorities to uncover you and stripoff your citizeship. When it comes to outside threat to our national security, hamna cha Slaa wala Kikwete wote wanatakiwa wawe wamoja. Copy that.
 
haya mambo yanaweza kuwa na ulakini. Ni juzi tu serikali ya Kagame ilimpa tunzo Nyerere na aliyekuwepo pale kupokea tunzo ni mama Maria Nyerere.
Pia ikumbukwe Nyerere Mzee wetu ambaye tunampenda sana aliwasaidia kina Kagame na Museveni kuiangusha serikali ya Mobotu seseko wa DrC Congo.

Na toka siku hiyo Congo haijawahi kupata kuona amani ndani na mashariki ya Congo.

Nina kila sababu ya kumlaumu Mzee kwa kujingiza kwenye mess ambayo maelfu ya watu wamekufa na wanaumia mpaka hii leo.

Sikubaliani na Kikwete katika mambo mengi, hasa uchumi na kufahamiana aliyonayo pamoja watu wanasema jmaa ni mdini lakini sio mdini.Na kwa suala la diplomasia kikwete amekomaa na anajua anacho ongea.

naamini iko siku ukweli utakuwa wazi hawa wazee waliacha mess nyingine mno mbayo itachukua muda kuclean up na mfano mmoja ni Congo na uganda katika maziwa makuu.

Mungu ibariki Tanzania yetu.

Tuepushe na hawa mb..... na ikikukupendeza ewe Mungu tuwamalize wote popote walipo duniani.
 
sasa kwa nini watu mnaowatetea watutsi hamlalamikii jinsi watutsi wanavyoigawa Congo na kutaka kuunda taifa jipya la kitutsi mashariki ya Congo? bado naamini kuwa watutsi si watu wa kuishi nao nchi moja ni wakolofi sana na wnahatarisha maisha ya watu wengine wasiofanana nao Pua.
 
Mkuu kusema wakoloni waliwapa elimu wakristo kuliko waislamu ni muendelezo wa uchochezi unaolekea kuota mizizi!Inawezekana una lengo jema ktk makala yako hii lakini umenitia shaka uelewa wako wa historia kwa hii kauli yako!1) tambua huu mtandao unatembelewa na watu wasiopungua laki 2 kwa siku hivyo lazima uwe makini na kalamu yako2) Simama kwenye ukweli maana hayo maafa unayoona Mtikila anachochea kama alivyosema Mh Kagame pia kupitia maandiko yako unafanya kile kile!
Mkuu, yupo kazini!
 
Back
Top Bottom