Ukweli kuhusu Rwanda, watutsi, Paul Kagame na uchochezi wa mch. Mtikila

Mobutu aliangushwa kipindi cha Mkapa na Gen Mboma akiwa mkuu wa majeshi wa Tanzania alikuwa wa kwanza kutambua mapinduzi yale kabla hata ya Mkapa kusema lolote tena kupitia BBC!
Pamoja na Mobutu kusaidiwa na majeshi ya nje ikiwemo Sudan yenye jeshi bora lakini bado wakala kichapo kikali huku kupitia BBC wakongo wakilalamika kuwa Makamanda wakuu wa vita wa waasi wa Banyamulenge watakuwa Watanzania kutokana na kiswahili chao kilivyo tofauti!
Tanzania ilikanusha kushiriki na haijawahi lakini inawezekana uamuzi wa kupeleka Congo Batalion ya JWTZ ni kwenda kurekebisha makosa tuliyoshiriki kwasiri na Kagame na washirika wake wanajua sasa wanarudishwa walipokuwa awali tena kwa nguvu.
 
Nina mashaka na hii historia unayotuletea. Imekaa ama kuegemea upande mmoja tu. Inawezekana kagame kafanya yote hayo ila tukumbuke chanzo cha wahutu huko 1956 kutaka kuwaondoa watutsi kilikuwa nini??
Wakati mwingine tafadhari weka historia iliyosimama bila kuegemea upande wowote ule mkuu. Bila shaka utakuwa umeegemea upande mmoja sana juu ya hili. Wana historia wanasema kabla ya kuafikiana na kuisoma histori, mtambue mwanahistoria husika! Habari za mauaji nchini rwanda..ukimuuliza mhutu atakupa jibu tofauti na atakalokupa mtutsi.
Leo hii tanzania ukimfuata slaa umuurize kuhusu ccm na serikali yake majibu yatatofautiana sana na jinzi mwigulu atakavyo kujibu..

Tafadhari usitumie mwanya wa uvivu tulio nao watz wengi kwenye kuutafuta ulweli kutudanganya.
 
safi naona watu mnafunguka...ni vyema kuijua historia kabla haujajadili...mi nipo darasani bado...ila nna swali ni kweli yale madai ya mtikila kwamba nyerere sio mtanganyika kiasili?...ingawa nna mashaka na mtikila kua nae atakua mhutu!
 
Haya mleta mada rudisha feedback kwa bosi wako kagame mwambie watanzania wamechachamaa
 
Kweli watutsi hatari kwa propaganda,Kagame 'shujaa' wa Tz! mleta uzi ungekuwa karibu lazima tungepigana, ------- zako,na kamwambie kagame pumbafu pia.Tanzania inakuhu we mleta uzi? pumbafu kabisa, unatumia udhaifu wa JK kututukana kama Taifa,Kagame 'shujaa' wa Tanzania! pumbafu familia yenu nzima.
 
Hayo ni mawazo yako NasDaz ila sio lazima yawe na ukweli ndani yake.Wakati Kagame analipigania hili Taifa yenye historia ya kipekee hapa barani Afrika dhidi ya mchokozi Idd Amin,Mtikila alikuwa wapi?Kagame atabakia kuwa mmoja wa mashujaa wa Tanzania wakati Mtikila atabakia kuwa mtu muoga,Asiye mzalendo na anayetumika na Wanasiasa wasio waadirifu katika Taifa hili la Tanzania.

TECH WIZ,

Post yako imeniudhi sana.Kagame ni shujaa wa Tanzania?
 
Last edited by a moderator:
Mobutu aliangushwa kipindi cha Mkapa na Gen Mboma akiwa mkuu wa majeshi wa Tanzania alikuwa wa kwanza kutambua mapinduzi yale kabla hata ya Mkapa kusema lolote tena kupitia BBC!
Pamoja na Mobutu kusaidiwa na majeshi ya nje ikiwemo Zimbabwe yenye jeshi bora lakini bado wakala kichapo kikali huku kupitia BBC wakongo wakilalamika kuwa Makamanda wakuu wa vita wa waasi wa Banyamulenge watakuwa Watanzania kutokana na kiswahili chao kilivyo tofauti!
Tanzania ilikanusha kushiriki na haijawahi lakini inawezekana uamuzi wa kupeleka Congo Batalion ya JWTZ ni kwenda kurekebisha makosa tuliyoshiriki kwasiri na Kagame na washirika wake wanajua sasa wanarudishwa walipokuwa awali tena kwa nguvu.

mkuu weka kumbukumbu yako vizuri,baada ya kuangushwa kwa utawala wa mobutu laurent kabila alichukua uongozi wa drc,lakini m7 na kagame niya yao ilikuwa kumpa uongozi banyamulenge mmoja jina limenitoka kwahiyo walianzisha vita vya kumtoa kabila hapo ndipo zimbabwe kwa upande wa mashariki na angola kwa upande wa magharibi waliingiza vikosi vyao majeshi ya uganda na rwanda yalipigwa vibaya utakumbuka vikosi vya uganda vikiongozwa na mdogo wake m7 vilizungukwa pande zote na jeshi la angola, siyo kweli kwamba zimbabwe walimsaidia mobutu, mugabe alimsaidia kabila na siyo mobutu
 
Kagame kapigania wa Tanzania huu ni Uzushi Kagame na Museveni walishiriki vita ya uganda lengo likiwa kuja kushika madaraka na si kuipigania Tanzania kwa kweli ulieanyisha huu uzi umechekemka vinginevyo kama umetumwa basi upo sahihi.
 
Mlete mada ndugu Tanzaniaist nafikiri historia huijui vizuri au kwa makusudi umeamua kuandika kwa kuegemea upande mmoja. Inawezekana una interest na Kagame pamoja na watutsi wenzake au wewe ni sehemu yao. Binafsi ninatoka kijiji kilichoko mpakani Manyovu-Kasulu na kijijini upo mchanganyiko wa watu wenye asili ya Watutsi kwa hiyo ninawafahamu tabia zao. Si hivyo tu nimesoma nao shuleni nikiwa sekondari ambako nilikutana na wale waliokuwa wanatoka Mwese wilaya ya Mpanda. Kwa hiyo ninachotaka kueleza hapa ni matokeo ya kuishi na watu hawa na kupata nafasi ya kuongea nao kujua historia lakini pia mitazamo yao. Naamini watanzania wengi hatuwachukii watutsi kama watutsi lakini tabia yao ndiyo inayotufanya tupunguze mapenzi kwao. Tabia ya kutaka wao ndiyo waendelee kuwa watawala kwa nguvu zote na kutokubali kutawaliwa/kuongozwa na watu wa jamii nyingine ndiyo kitu mimi kinakikatisha tamaa na watu hawa. Wahutu kwa asili ni wapole na wakimya na ndicho kilichopelekea kama kwa Burundi kuweza kuwawatawala kwa muda mrefu. Lakini wakichokozwa wanaweza kugeuka kuwa wabaya zaidi kama ilivyotokea Rwanda baada ya Kagame na kundi lake kuitungua ndege iliyokuwa na maraisi wawili mmoja wa Rwanda na mwingine wa Burundi wote wakiwa wahutu. Kumbuka kuwa wakati huo tayari raisi wa Rwanda alikuwa ameshakubali serkali ya pamoja na RPF, Kitendo cha kuitungua ndege yake ndicho kilichoamusha hasira za wahutu kwa nchi ya Rwanda. Kwa hiyo pamoja na kesi zilizoendeshwa Arusha ningetamani siku moja mtu aliyeamrisha ndege ile ipigwe naye afikishwe kwenye vyombo vya sheria. Kwa Burundi pamoja na mauaji mengi ambayo watutsi waliwafanyia wahutu lakini bado baada ya uchaguzi wa Kidemokrasia mwaka 1993 uliopelekea mhutu Ndandaye Melkior kuchaguliwa kwa muda mfupi wahutu walisahau yote yaliyokuwa yametokea nyuma na walikuwa tayari wamekubali kuwa na serkali ya umoja pamoja na watutsi. Lakini Watutsi kwa tabia/roho ile ile ya kutokuwa tayari kuongozwa na mhutu waliamua kumuua Ndadaye na ikapelekea tena wimbi jipya la wakimbizi kuja Kigoma. Tabia hii ya kutokuwa tayari kukaa pamoja na wengine na kuwa tayari kuongozwa nao ndiyo mbaya na ambayo watutsi wote wanatakiwa kuiacha. Dunia hii kila mtu ana haki ya kuishi kwa amani hivyo hakuna sababu ya watutsi kuendeleza ubabe wa kufikiri wao wamezaliwa kuwa watawala na ndiyo maana nafikiri Kagame amechukia/anachukia kwa kuambiwa akae na wahutu walioko DRC kwa mazungumzo.
 
Kagame ni nyoka yule,yaani Rwanda wahutu kuongoza tena wasahau,labda kagame afe
 
Haya mleta mada rudisha feedback kwa bosi wako kagame mwambie watanzania wamechachamaa
Precisely! Hoja anazojenga hazina uzito na zimeegemea kutetea mambo tunayoyajua vizuri na kukosoa vitu vinavyoeleweka vizuri ili kujenga taswira ya aliemtuma. Hatumuungi mkono Mtikikila na hatumtaki lakini Tanzania tunaijua historia, kajipange upya.
 
Kumbe Kagame ni mmoja wa mashujaa wetu halafu hawa watu wengine wasaliti wanataka kuiandika historia upya?Hawatafanikiwa kamwe na Kagame atalindwa kwa gharama zote na Watanzania.Wanasiasa wasio wazalendo siku zote huwa wasaliti.Nilijua tu Kagame alikuwa innocent.
Tanzania imeshiriki katika ukombozi wa nchi nyingi barani Afrika na hilo halijatoa kibali cha Rais wa Nchi kutukana na kuua watu kama kuku.

Hatuangaliii hoja ya Mtikila na waraka wake angalia ushahi wa Taarifa ya UN juu ya umafia wa Kagame DRC!!!
Kama unataka kusaidia usiangalie kabila lako!!!
 
Hapa Tz tunasikitika sana na mauaji ya Waandishi takribani zaidi ya kumi sasa na mamanyaso dhidi ya upinzani!!
Ukweli ni kwamba upo Ushahidi kwamba Paul Kagame ameua zaidi ya Waandishi 100, Maaskofu na wapinzani wengi!!!!!!!!!
Mauaji ya halaiki yanatisha!!!
Kagame amelowa damu ya watu wengi hakika Mungu hawezi kumuacha akae hapo aendeleee kuua!!!!
Siku za Kagame zinahesabika asipotubu Mbele yake kuna giza zito na nene!!!
Damu ya wahutu inamulilia Mungu kutoka ardhi ya Rwanda!!!
 
Nyie Wanyaruanda Pumbafu sana... Kuna kitu hamkijui kuhusu UTANZANIA ...
and soon with your SKELETON kagame ... Mtakipata. I WORNED YOU!!!!!

Lugha baba...kama huwezi kiingereza acha...au ni mitaala ya shukuru kawambwa...du...kweli kazi tunayo
 
Hapa Tz tunasikitika sana na mauaji ya Waandishi takribani zaidi ya kumi sasa na mamanyaso dhidi ya upinzani!!
Ukweli ni kwamba upo Ushahidi kwamba Paul Kagame ameua zaidi ya Waandishi 100, Maaskofu na wapinzani wengi!!!!!!!!!
Mauaji ya halaiki yanatisha!!!
Kagame amelowa damu ya watu wengi hakika Mungu hawezi kumuacha akae hapo aendeleee kuua!!!!
Siku za Kagame zinahesabika asipotubu Mbele yake kuna giza zito na nene!!!
Damu ya wahutu inamulilia Mungu kutoka ardhi ya Rwanda!!!

Evidence baba...sio kuropoka tu taarifa ulizopata kwenye gazeti la udaku...hapa ni jukwaa la great thinkers not mediocre speculators
 
mkuu weka kumbukumbu yako vizuri,baada ya kuangushwa kwa utawala wa mobutu laurent kabila alichukua uongozi wa drc,lakini m7 na kagame niya yao ilikuwa kumpa uongozi banyamulenge mmoja jina limenitoka kwahiyo walianzisha vita vya kumtoa kabila hapo ndipo zimbabwe kwa upande wa mashariki na angola kwa upande wa magharibi waliingiza vikosi vyao majeshi ya uganda na rwanda yalipigwa vibaya utakumbuka vikosi vya uganda vikiongozwa na mdogo wake m7 vilizungukwa pande zote na jeshi la angola, siyo kweli kwamba zimbabwe walimsaidia mobutu, mugabe alimsaidia kabila na siyo mobutu

Ni kweli nimechanganya,Zimbabwe walimsaidia Kabila (father) lakini Mobutu alisaidiwa na Sudan plus majeshi kutoka nchi zingine ambazo hazikuwa wazi.
 
Back
Top Bottom