waterproof
JF-Expert Member
- Aug 14, 2020
- 388
- 352
- Thread starter
-
- #61
Sasa wakishajua watafaidika na niniWanaoenda huko wanaproof kama kuna viumbe vilitoka huko kuja huku ndomana wanahangaika kutafta..mtu hawekez mahala pasipo na kitu shekhe..hawa wazungu wanajua what happed...na wamefanya siri
Ndo natafuta majibuUlaaniwe
Mkuu ulaaniwe nilijua unakuja na majibu.
Hahahha..hakikaSasa vijana wa siku hizi mnakula chipsi mayai mfuko wa sement mtauweza wapi? Enzi hizo mgeni alikua akikutembelea unamchinjia mwana-mbuzi kama kifungua kinywa, mchana unatafuta ndama yule alienona ndio anatokoswa. Pembeni hapo kuna balasi la mvinyo anashusha taratibu. Nini bana.
Umejuaje?Ndo maana Vatican kuna documents za mambo mazito kama haya imeamua kuhold.
Haitaki kabisa mtu mwingine au ufalme mwingine iguse hayo mambo.
Ila hizo Pyramids hazijajengwa na kiumbe chochote kutoka sehemu zingine zaidi ya wanadamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo mengine jaribu mkuu kutafuta hata Google. Nenda walau google unaweza ukaelewa machache.
Kweli kabisaa Africa ni mama land historia za dunia nyingi zinaanzia Africa na naweza kusema waafrica ndio wana wa Israel halisi hao wengine wanajipendekeza tuTatizo letu Waafrica hatujui historia yetu na wala hatutaki kuitafuta kuijua zaidi. Nyie mna physical evidences kwamba pyramid zipo kwenye bara lenu na sio kwamba zipo Misri tuu bali Sudan, Ethiopia, Mali na kwingineko. Tunachokijua ni ku quote biblia na kuwapa credit Waislael eti ndio walijenga. Swali dogo la kujiuliza, kwanini wajenge pyramids Africa na Sio kwao?
Jamani ebu someni kuhusu KEMET - the black land ambapo kwa sasa inaitwa Egypt. .
Kuna kabila uko Mali inaitwa DOGON hawa jamaa wana uelewa mkubwa kuhusu ulimwengu wetu na inasadikika kwamba ni kizazi cha hao mababu zetu waliojenga hizo pyramid.
Waafrica tuna historia nzuri sana ila inapumbazwa na dini na pia propaganda za wazungu kutaka kuonesha kwamba sisi ni inferior. Hii historia tunayosoma mashuleni na kwenye biblia sio ya ukweli, imechakachuliwa.
Usiamini Google kwa 100%Mambo mengine jaribu mkuu kutafuta hata Google. Nenda walau google unaweza ukaelewa machache.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wanefili waliangamizwa na Gharika na sio waisrael, alafu israel ilikua bado ilizaliwa na Yakobo mbeleni kabisa.
Nimeona mkuu upo sahihi, Mambo ya Walawi na Hesabu kidogo nilivirukagaMkuu Nibiru Luna wanefili walioangamizwa wakati wa Gharika (kipindi cha nabii Nuhu) Mwanzo 6:4.
Na kuna wanefili ambao walibaki duniani wakaja kuangamizwa na waisrael waliotoka Misri, kipindi cha Joshua, wakati wanateka nchi ya Kanaani mji wa Yeriko Hesabu 13:33
Kweni hua yana futi ngapi toka chini kwenda juu?japo nimeona story zenye kiashiria cha uongo wa sijui majitu gani yalikua yakiishi NibiruHabari wana JF ni muda mtefu sijashiriki nanyi Ila nimerudi na suala linalo sumbua dunia kuhusu pyramids zilizoko Egypt zilijengwa na nani? Mwaka gani? Na kwasababu gani?
BAADHI YA WATU WASEMAVYO:
1. Pyramids zilijengwa na viumbe kutoka anga za juu, ambao waliwahi kuja duniani miaka 5,000 iliyopita na kuishi Mashariki ya Kati.
Mapiramidi hayo yalitumika kama mnara wa kuongozea ndege zao kuona wapi Mashariki ya Kati ilipo, wakati zikishuka kutoka anga za juu.
Viumbe hao maarufu kwa jina la Annunaki walikuja duniani na kugundua kuna madini mengi ya dhahabu na kuanza kuchimba kisha kusafi kwenda kwenye sayari yao iitwayo Nibiru.
Maana ya 'Annunaki' ni walioshuka kutoka juu, na 'Nibiru' ni sayari ipitayo yaani Crossing Planet.
Mapango yote yaliyopo duniani, ikiwemo yale ya Amboni mkoani Tanga waliyachimba wao hao Annunaki.
Baada ya viumbe hao Annunaki kuondoka kurejea kwao Nibiru, ndipo Wafalme wa Misri waliamu kuyatumia kama makaburi ya wao kuhifadhiwa humo.
Ujenzi wa pyramids ulifanyika kwa ufundi na ustadi mkubwa, kiasi kwamba mpaka sasa hakuna mtambo wa kuweza kupandisha au kunyanyua mawe yaliyotumika kujenga.
Mfano, jiwe moja lina uzito wa tani 2,500 sawa na kilo 2,500,000.
Yalijengwa kwa kuoanishwa au kuwa sanjari na yota za orion ambazo zimejipanga huko anga za juu.
View attachment 1726340
2. Ujenzi wa Pyramids ulifanyika kwa ustadi wa kulinganishwa na nyota za Orions, kama hivi.
View attachment 1726341
3. Michoro ya Pyramids sanjari na nyota za Orions. Je, mfalme au mhandisi gani wa dunia angeweza kujenga Pyramids kwa ueledi uliotumika enzi hizo?
View attachment 1726342
4. wengine wanasema hayo ni makaburi ya watawala wa zamani wa Misri yaan mafarao so kwa sasa yamebaki Kama kumbukumbu Na ni moja Kati ya vivutio vvikubwa huko Egypt hasa katika masuala ya dini.
Je,, UKWELI ni UPI juu ya hizi pyramids na ujenzi wake na Kazi yake ...?
Naomba kuwasilisha wakuu
Aise !Habari wana JF ni muda mtefu sijashiriki nanyi Ila nimerudi na suala linalo sumbua dunia kuhusu pyramids zilizoko Egypt zilijengwa na nani? Mwaka gani? Na kwasababu gani?
BAADHI YA WATU WASEMAVYO:
1. Pyramids zilijengwa na viumbe kutoka anga za juu, ambao waliwahi kuja duniani miaka 5,000 iliyopita na kuishi Mashariki ya Kati.
Mapiramidi hayo yalitumika kama mnara wa kuongozea ndege zao kuona wapi Mashariki ya Kati ilipo, wakati zikishuka kutoka anga za juu.
Viumbe hao maarufu kwa jina la Annunaki walikuja duniani na kugundua kuna madini mengi ya dhahabu na kuanza kuchimba kisha kusafi kwenda kwenye sayari yao iitwayo Nibiru.
Maana ya 'Annunaki' ni walioshuka kutoka juu, na 'Nibiru' ni sayari ipitayo yaani Crossing Planet.
Mapango yote yaliyopo duniani, ikiwemo yale ya Amboni mkoani Tanga waliyachimba wao hao Annunaki.
Baada ya viumbe hao Annunaki kuondoka kurejea kwao Nibiru, ndipo Wafalme wa Misri waliamu kuyatumia kama makaburi ya wao kuhifadhiwa humo.
Ujenzi wa pyramids ulifanyika kwa ufundi na ustadi mkubwa, kiasi kwamba mpaka sasa hakuna mtambo wa kuweza kupandisha au kunyanyua mawe yaliyotumika kujenga.
Mfano, jiwe moja lina uzito wa tani 2,500 sawa na kilo 2,500,000.
Yalijengwa kwa kuoanishwa au kuwa sanjari na yota za orion ambazo zimejipanga huko anga za juu.
View attachment 1726340
2. Ujenzi wa Pyramids ulifanyika kwa ustadi wa kulinganishwa na nyota za Orions, kama hivi.
View attachment 1726341
3. Michoro ya Pyramids sanjari na nyota za Orions. Je, mfalme au mhandisi gani wa dunia angeweza kujenga Pyramids kwa ueledi uliotumika enzi hizo?
View attachment 1726342
4. wengine wanasema hayo ni makaburi ya watawala wa zamani wa Misri yaan mafarao so kwa sasa yamebaki Kama kumbukumbu Na ni moja Kati ya vivutio vvikubwa huko Egypt hasa katika masuala ya dini.
Je,, UKWELI ni UPI juu ya hizi pyramids na ujenzi wake na Kazi yake ...?
Naomba kuwasilisha wakuu
lini uliyaona hayo mambo mazito waliyoyahold huko vatican au umesikia tu,maana umeongea kwa uhakikaNdo maana Vatican kuna documents za mambo mazito kama haya imeamua kuhold.
Haitaki kabisa mtu mwingine au ufalme mwingine iguse hayo mambo.
Ila hizo Pyramids hazijajengwa na kiumbe chochote kutoka sehemu zingine zaidi ya wanadamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
musa na harun waliyakuta mapiramid yameshajengwa kitambo sana,mapiramid yapo miaka 3000 kabla ya kristo musa na harun wamekuja miaka 480 kabla ya kristo juzi tu,hapo mudi alihadithiwa au alikremu vibayaPyramids zimejengwa na Mussa (Moses) na ndugu yake (Haaruni). Hii ni kwa mujibu wa Quran na yalijengwa kwa command maalum (wahyi) kutoka kwake ambapo structure ya ujenzi wake imefanywa kuwezesha watu wa misri wawe wakiswali humo na kuelekea katika true north (Qiblah) kwa wakati huo kabla Qiblah hakijabadilishwa. [We inspired Moses and his brother "Settle your people in Egypt in houses and make your houses (facing the Qiblah."...10.87).
Tafsiri: Na tukampelekea Musa na ndugu yake WAHYI huu: 'Watengenezeeni majumba watu wemu katika Misri na zifanyeni nyumba zenu ndio mwahali mwa ibada...'
Tafsri kwa kiingereza na kiswahili sio nzuri sana kuelezea maana ya aya hii lakini mambo ya msingi ya kuzingatia
1. Ujenzi wa Mapyramid ulifanywa katika kipindi cha Musa na ndugu yake Haaruni kwa amri ya (ya Kihimaya) au WAHYI kutoka kwa Mungu. Hivyo teknolojia yote iliyotumika katika ujenzi wa Pyramids si wa kiuwezo wa kawaida wa kibinaadamu ila ujenzi ulifanywa na binaadamu.
2. Majumba hayo yamejengwa kwa kuyaelekeza Qiblah ya wakati huo (Masjid Aqsa) ambapo Qibla hicho ni true north ya yalipo majumba hayo. Kumbuka Qiblah hapo mwanzo haikuwa Makkah kama ilivyo sasa.
3. Lengo la majumba hayo ni makazi na kuabudia(pamoja na mambo memgine).
Mambo ni mengi ila mida hautoshi lakini kwa ufupi pyramids yamejengwa kwa mfumo huo.
ulijuaje kama uligusa mawingu?? kuna dalili zozote zinaonesha hivyo?Yani wwe unataka kusema wagunduzi wa mitambo ya nuclear washindwe kujenga hayo? Wenzio zamani walikuwa wanakula story na Sir God live live unashangaa hayo mambo. Mnara wa babeli ulijengwa uligusa mawingu tafuta jengo refu zaidi duniani sahv afu angalia linafika wapi?
Tulikuwepo sema wewe ulikuwa unakaa buza Kwa rulengekipindi iko sisi wanadamu hatupo eeeegh?