La Princesa
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 1,040
- 1,136
Habari zenu wana intelligensia......
Kumekuwa na story nyingi sana kuhusu existence ya Mungu na jinsi dunia inavyopata shida.....hii imesababisha watu wengine kuhisi kuwa hakuna Mungu,ama story za Mungu ni myths zilizotengenezwa nabbinadamu ili dunia iwe sehemu nzuri ya kuishi.
Katika utafiti wangu usio rasmi nimegundua kuwa Munguy yupo na ana UPENDO wa ajabu hata kufikia hatuaa ya kuwa Mwalimu mwema ili tu viumbe vyake tuelewe UPENDO wake kwetu.....
Nimesoma kitabu kinaitwa "dramatic events of the earth "Mwamdishi anasema The earth was created by God-so As to be a SPECTACLES to other Planets and other existing creatures,seen and unseen ones....So Hapa nlichogundua ni kuwa ilikuwa ni Lazima Mungu awaoneshe viumbe vyake jinsi dhambi ilivyo mbaya na matokeo ya dhambi yakoje...Alifanya hivyo kwa sababu Lucifer almaarufu SHETANI alikuwa amekwisha anzisha movement mbinguni kuwa,GOD IS NOT FAIR AND HE NEVER DO DEMOCRACY.....
Due to the mentioned situation Mungu aliamua kuumba sayari ya Dunia iliyokuwa tupu na Uchi,akaweka tunda la katikati ili kuweka the so called Democracy ambayo shetani alikuwa ambayo alikuwa akiihubiri..So Matokeoyyakawa mwanadamu democracy aliyopewa ilimahinda na Mungu alijua Adam Atafail na ndio maanakkifo cha Yesu kiipangwa hata kabla ya dhmbi kutokea,Baada ya anguko la Dunia hapo ndipo sayari zingine na viumbe vingine vilipoona ubaya wa Dhambi na na demokrasia fake ambayo Lucifer alikuwa akiitangaza....
Kwa kumalizia nimegundua kuw Mungu awajua walio wake,kwa sababu ajua mwanzo wako na mwisho wako,ajua utokapo na uingiapo..Zaburi34:1-6,
Kumekuwa na story nyingi sana kuhusu existence ya Mungu na jinsi dunia inavyopata shida.....hii imesababisha watu wengine kuhisi kuwa hakuna Mungu,ama story za Mungu ni myths zilizotengenezwa nabbinadamu ili dunia iwe sehemu nzuri ya kuishi.
Katika utafiti wangu usio rasmi nimegundua kuwa Munguy yupo na ana UPENDO wa ajabu hata kufikia hatuaa ya kuwa Mwalimu mwema ili tu viumbe vyake tuelewe UPENDO wake kwetu.....
Nimesoma kitabu kinaitwa "dramatic events of the earth "Mwamdishi anasema The earth was created by God-so As to be a SPECTACLES to other Planets and other existing creatures,seen and unseen ones....So Hapa nlichogundua ni kuwa ilikuwa ni Lazima Mungu awaoneshe viumbe vyake jinsi dhambi ilivyo mbaya na matokeo ya dhambi yakoje...Alifanya hivyo kwa sababu Lucifer almaarufu SHETANI alikuwa amekwisha anzisha movement mbinguni kuwa,GOD IS NOT FAIR AND HE NEVER DO DEMOCRACY.....
Due to the mentioned situation Mungu aliamua kuumba sayari ya Dunia iliyokuwa tupu na Uchi,akaweka tunda la katikati ili kuweka the so called Democracy ambayo shetani alikuwa ambayo alikuwa akiihubiri..So Matokeoyyakawa mwanadamu democracy aliyopewa ilimahinda na Mungu alijua Adam Atafail na ndio maanakkifo cha Yesu kiipangwa hata kabla ya dhmbi kutokea,Baada ya anguko la Dunia hapo ndipo sayari zingine na viumbe vingine vilipoona ubaya wa Dhambi na na demokrasia fake ambayo Lucifer alikuwa akiitangaza....
Kwa kumalizia nimegundua kuw Mungu awajua walio wake,kwa sababu ajua mwanzo wako na mwisho wako,ajua utokapo na uingiapo..Zaburi34:1-6,