Hayakuhusu!
Le mutuz a.k.a William Malecela alikuja hapa na kulalamika kuwa UVCCM mmekuwa kimya kwenye mijadala ya rasimu ya katiba na akafika mbali na kuhoji UVCCM ya sasa imekuwa sio machachari kama ile ya enzi zile za mwaka 47.
Ningependa wewe kama msemaji wa UVCCM utoe ufafanuzi juu ya maswali yafuatayo:
Je UVCCM mmesusia mpango wa kuhamasisha wanachama wenu kutetea maslahi ya CCM kwenye katiba mpya kama wafanyavo Jumuiya ya Wazazi CCM hadi kufikia hatua ya mjumbe wa jumuiya hiyo ya wazazi kulalamika mitandaoni??
Je UVCCM mmegoma kulishwa maneno na Nape Nnauye that why hamuonekani mkiendesha mabaraza ya katiba kama aliyolalamika William Malecela hapa jamvini???
vipi mkuu siku ile pale nam hotel wakati mkiwakamua vijana wa chadema ili wawataje mbowe na slaa kuwa ni magaidi ndiyo ulikuwa unapewa maelekezo ya hicho kitengo?
Kwanza nijipe pongezi Mimi mwenyewe kwa kufanikisha kumaliza salama kifungo changu(ban) hapa JF.
Napenda kusema haya ili kuondoa Mkanganyiko na maswali yasiokuwa na ulazima, Mimi Mtela Mwampamba ni mtumishi wa Chama cha Mapinduzi na niko katika Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi(UVCCM) na mimi ndie Mkuu wa kitengo cha Habari na mawasiliano ya UMMA makao makuu ya umoja wa vijana wa CCM.
Naomba ifahamike hivyo na nitatoa ushirikiano wa kutosha hapa JF kwa maswala yanayohusu UVCCM na Mwisho napenda kuwakumbusha kwamba Vinavyoelea ziwani hata baharini pia vinaelea na Haramu kwako Halali kwa Mwenzio.
VIVA UVCCM VIVA.
Slaa anaelimu ya Theologia(dini) na mbowe ana zero form six Ihungo secondary but mimi nina Degree kwa hio kweli hawa jamaa sio size yangu.
Ndio mkuu!!!!
Ndio mkuu!!!!
Sasa huyo msomi wenu unadhani yuko sahihi? Mtu anaposema maneno 'ukweli kuhusu' haimaanishi cheo. ukweli ni undani. Cheo si undani wa mtu. Mtela kachemsha kuleta madaSitayari kasha jitambulisha kwa cheo chake au hutaki?
Umepewa mkataba wa ajira wa muda gani? au umeambiwa tu kwa mdomo kwamba umeajiriwa ?
Umenikumbusha ule wimbo wa Muumini wakati akiwa Mchinga Sound....:smile-big:
Mbowe anaheshima Gani? au kuzaa na wabunge wa viti maalum ndio heshima!!!
Tunaanza ziara UVCCM mwisho wa mwezi huu.stay tuned
Hayakuhusu!
Kumbe lile duka ni lako, jiandae kuuza majivuPia ninaDuka langu pale Mtaa wa ngomati Keko. karibu sana kuna nguo nzuri sana za watoto.
huoni unaongeza mgogoro mwingine ndani ya UVCCM?
Ndo nini sasa?, acha kutuaribia jamvi. R.U.B.I.S.H.
Mimi Mtela Mwampamba ni mtumishi wa Chama cha Mapinduzi na niko katika Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi(UVCCM) na mimi ndie Mkuu wa kitengo cha Habari na mawasiliano ya UMMA makao makuu ya umoja wa vijana wa CCM.