Ukweli kuhusu Mtela Mwampamba

Ukweli kuhusu Mtela Mwampamba

Piga kazi mwanangu, achana na chama cha kikanda na kidini, zito ameona maisha yako rehani ameamua kuachana na magaidi, mimi ni mtu wa arusha lkn kiukweli cdm ni ya kikanda badala ya kuwa ya kitaifa zaidi, hata huku arusha watu wakristo ndio wanakishabikia cdm pamoja na wachaga

Hvi mechi ya man na livepool sangapi
 
Jina la mtela Allan mwampamba limeendelea kukua kwa kasi kubwa katika medani za siasa hapa nchini hasa baada ya kijana huyo machachari jukwaani kujiunga na Chama Cha Mapinduzi akitokea chama cha Upinzani Chadema na kuwachachafywa viongozi na wanachama wa chadema kwa kutoa siri zao za ndani na mipango mbalimbali ya uhujumu iliyokuwa ikiandaliwa na chama hicho dhidi ya CCM na Serikali yake.

Wakati wa sokomoko la kusimamishwa akina mwampamba na shonza ndani ya chadema kutokana na kukua na kushamiri kwa makundi ya urais ndani ya chama hiko yakiongozwa na Zitto kabwe dhidi ya Dr Slaa, kiongozi mmoja wa chama cha siasa ambae pia ni mmoja wa wanajamvi maarufu kama tandaleone aliandika kuwaasa chadema juu ya nguvu na uwezo wa vijana hao kutoka kusini mwa Tanzania lakini kama ilivyo kawaida ya uongozi wa chadema hawakusikia nasaha hizo na hatimae sasa maneno ya tandaleone yametimia ambapo vijana Mtela amekuwa kaa la moto linalochoma nyumba ya chadema.

Kwa takribani miezi 6 tangu mtela ajiunge na CCM ameshavujisha mipango zaidi ya 14 iliyokuwa ikiendelea ambayo ilikuwa ya Chadema ya kuihujumu CCM na amekuwa akifanya hivyo katika vikao vya ndani vya CCM na hata katika majukwaa.

Kijana huyo kwa sasa ni mwanachama na mwajiriwa wa UVCCM na leo hii yupo pamoja na wajumbe wengine wa baraza kuu la taifa la UVCCM katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya Chama Kisiwandui Zanzibar akimpitisha Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo ya Vijana Ndugu Sixtus Mapunda.

Maisha ya Mtela ndani ya CCM yamekuwa ya faraja na yanayotamaniwa na kijana yeyote mwenye ndoto za kisiasa, mtela amepata fursa ndani ya CCM ambayo aliikosa chadema kwani fursa aliyoipata Mtela CCM kwa chadema inapatikana kwa watoto wa kichaga na wale wanaotoka uchagani tu. (ushahidi wa majina upo ya vijana ambao si waajiriwa wala wanachama vindakindaki wa chadema lakini wanafaidika na fursa ndani ya chadema kwa kuwa tu wanatoka katika maeneo hayo tajwa)

Mtela fanya siasa na simamia kweli hata ikiwa ukweli huo unatishia maisha yako, sisi tutakukumbuka hata baada ya kufikwa na yale wanayopanga yakufike, Tanzania ijayo itakukumbuka na Dunia itakukumbuka.
Awe makini kaa hilo lisimuunguze yeye mwenyewe!as 4 CDM mtela is as non existent as the so called Red mercury!!
 
Mbona mnalilia sana MANSOOR? Chukueni hilo gharasha kama kawaida yenu mlizike kisiasa kama akina SHIBUDA, MPENDAZOE , MILLYA na wengine.
Sasa jamaa ukiitwa -------- utachukia??huyo mwampamba mwenyewe unaemsifia ni garasa toka CDM unatutajia majina ili tukuone unajua kuchambua siasa ama huna kazi za kufanya??gt on ur sense dogo..
 
Kwanza nijipe pongezi Mimi mwenyewe kwa kufanikisha kumaliza salama kifungo changu(ban) hapa JF.

Napenda kusema haya ili kuondoa Mkanganyiko na maswali yasiokuwa na ulazima, Mimi Mtela Mwampamba ni mtumishi wa Chama cha Mapinduzi na niko katika Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi(UVCCM) na mimi ndie Mkuu wa kitengo cha Habari na mawasiliano ya UMMA makao makuu ya umoja wa vijana wa CCM.

Naomba ifahamike hivyo na nitatoa ushirikiano wa kutosha hapa JF kwa maswala yanayohusu UVCCM na Mwisho napenda kuwakumbusha kwamba Vinavyoelea ziwani hata baharini pia vinaelea na Haramu kwako Halali kwa Mwenzio.

VIVA UVCCM VIVA.

Mtela Mtela naomba uisome Katiba yote ya UVCCM via CCM,alafu nitafute,ili uniambia ni Halali au Halamu
 
Jina la mtela Allan mwampamba limeendelea kukua kwa kasi kubwa katika medani za siasa hapa nchini hasa baada ya kijana huyo machachari jukwaani kujiunga na Chama Cha Mapinduzi akitokea chama cha Upinzani Chadema na kuwachachafywa viongozi na wanachama wa chadema kwa kutoa siri zao za ndani na mipango mbalimbali ya uhujumu iliyokuwa ikiandaliwa na chama hicho dhidi ya CCM na Serikali yake.

Wakati wa sokomoko la kusimamishwa akina mwampamba na shonza ndani ya chadema kutokana na kukua na kushamiri kwa makundi ya urais ndani ya chama hiko yakiongozwa na Zitto kabwe dhidi ya Dr Slaa, kiongozi mmoja wa chama cha siasa ambae pia ni mmoja wa wanajamvi maarufu kama tandaleone aliandika kuwaasa chadema juu ya nguvu na uwezo wa vijana hao kutoka kusini mwa Tanzania lakini kama ilivyo kawaida ya uongozi wa chadema hawakusikia nasaha hizo na hatimae sasa maneno ya tandaleone yametimia ambapo vijana Mtela amekuwa kaa la moto linalochoma nyumba ya chadema.

Kwa takribani miezi 6 tangu mtela ajiunge na CCM ameshavujisha mipango zaidi ya 14 iliyokuwa ikiendelea ambayo ilikuwa ya Chadema ya kuihujumu CCM na amekuwa akifanya hivyo katika vikao vya ndani vya CCM na hata katika majukwaa.

Kijana huyo kwa sasa ni mwanachama na mwajiriwa wa UVCCM na leo hii yupo pamoja na wajumbe wengine wa baraza kuu la taifa la UVCCM katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya Chama Kisiwandui Zanzibar akimpitisha Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo ya Vijana Ndugu Sixtus Mapunda.

Maisha ya Mtela ndani ya CCM yamekuwa ya faraja na yanayotamaniwa na kijana yeyote mwenye ndoto za kisiasa, mtela amepata fursa ndani ya CCM ambayo aliikosa chadema kwani fursa aliyoipata Mtela CCM kwa chadema inapatikana kwa watoto wa kichaga na wale wanaotoka uchagani tu. (ushahidi wa majina upo ya vijana ambao si waajiriwa wala wanachama vindakindaki wa chadema lakini wanafaidika na fursa ndani ya chadema kwa kuwa tu wanatoka katika maeneo hayo tajwa)

Mtela fanya siasa na simamia kweli hata ikiwa ukweli huo unatishia maisha yako, sisi tutakukumbuka hata baada ya kufikwa na yale wanayopanga yakufike, Tanzania ijayo itakukumbuka na Dunia itakukumbuka.

Umekuja tena kivingine? Kweli nimeamini maneno ya Msaafu Rais Karume kuwa;

ImageUploadedByJamiiForums1378037364.243744.jpg
 
Kweli CCM wameaoza na ujinga wote huo na akili ndogo wanakuweka kwenye umma sijui mawasiliano ? Hakika sikutegemea kwamba njaa hadi unaamua kufanya propaganda .Kumeb you only wanted ka mrija kako uwe unakulana Chadema hakuna mkaanza vurugu? Haya tunakumulika mkuu huchomoki hapa .

heshima yako mkuu Lunyungu i micd you lots
 
Last edited by a moderator:
huyu ni mamluki hawez badilika leo yupo ccm kesho njaa ikiuma akaaidiwa chips kuku atahujumu tena.kama alivyosema ktk nukuu yake kinacho elea ziwani hata baharini kitaelea kisho mtoni na hata bwawani mradi akidhi njaa yake
 
Jina la mtela Allan mwampamba limeendelea kukua kwa kasi kubwa katika medani za siasa hapa nchini hasa baada ya kijana huyo machachari jukwaani kujiunga na Chama Cha Mapinduzi akitokea chama cha Upinzani Chadema na kuwachachafywa viongozi na wanachama wa chadema kwa kutoa siri zao za ndani na mipango mbalimbali ya uhujumu iliyokuwa ikiandaliwa na chama hicho dhidi ya CCM na Serikali yake.

Wakati wa sokomoko la kusimamishwa akina mwampamba na shonza ndani ya chadema kutokana na kukua na kushamiri kwa makundi ya urais ndani ya chama hiko yakiongozwa na Zitto kabwe dhidi ya Dr Slaa, kiongozi mmoja wa chama cha siasa ambae pia ni mmoja wa wanajamvi maarufu kama tandaleone aliandika kuwaasa chadema juu ya nguvu na uwezo wa vijana hao kutoka kusini mwa Tanzania lakini kama ilivyo kawaida ya uongozi wa chadema hawakusikia nasaha hizo na hatimae sasa maneno ya tandaleone yametimia ambapo vijana Mtela amekuwa kaa la moto linalochoma nyumba ya chadema.

Kwa takribani miezi 6 tangu mtela ajiunge na CCM ameshavujisha mipango zaidi ya 14 iliyokuwa ikiendelea ambayo ilikuwa ya Chadema ya kuihujumu CCM na amekuwa akifanya hivyo katika vikao vya ndani vya CCM na hata katika majukwaa.

Kijana huyo kwa sasa ni mwanachama na mwajiriwa wa UVCCM na leo hii yupo pamoja na wajumbe wengine wa baraza kuu la taifa la UVCCM katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya Chama Kisiwandui Zanzibar akimpitisha Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo ya Vijana Ndugu Sixtus Mapunda.

Maisha ya Mtela ndani ya CCM yamekuwa ya faraja na yanayotamaniwa na kijana yeyote mwenye ndoto za kisiasa, mtela amepata fursa ndani ya CCM ambayo aliikosa chadema kwani fursa aliyoipata Mtela CCM kwa chadema inapatikana kwa watoto wa kichaga na wale wanaotoka uchagani tu. (ushahidi wa majina upo ya vijana ambao si waajiriwa wala wanachama vindakindaki wa chadema lakini wanafaidika na fursa ndani ya chadema kwa kuwa tu wanatoka katika maeneo hayo tajwa)

Mtela fanya siasa na simamia kweli hata ikiwa ukweli huo unatishia maisha yako, sisi tutakukumbuka hata baada ya kufikwa na yale wanayopanga yakufike, Tanzania ijayo itakukumbuka na Dunia itakukumbuka.

Hili jina ndo kwanza tunalisikia.Jina hili halijawahi kuwa tishio wala mvuto ndani ya chadema.Hivyo huna haja ya kumpamba sana(kama jina lake).Hajawahi kuwa na influence yoyote ndani ya chadema,alikuwa mwsnachama kama wanachama wengine wanaopewa fursa ya kuonyesha uwezo,uwajibikaji na uaminifu ndani ya chama.Lakini akafanyatofauti,chadema wakaamua kumfukuza.Hata huko alikoajifunze kuwa mwaminifu na mwajibikaji kwenye chama unachokiamini.Ni tabia yake kutoa mipango na mikakati ya chama,si ajabu hata huko CCM akahama na kwenda kwengine na KUROPOKA mambo mengi ya chama.Mwapamba umeonyesha si wa kutumainiwa kwa kuwa una TABIA ya kuropoka na kujipamba sana kana jina lako.
 
Kwanza nijipe pongezi Mimi mwenyewe kwa kufanikisha kumaliza salama kifungo changu(ban) hapa JF.

Napenda kusema haya ili kuondoa Mkanganyiko na maswali yasiokuwa na ulazima, Mimi Mtela Mwampamba ni mtumishi wa Chama cha Mapinduzi na niko katika Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi(UVCCM) na mimi ndie Mkuu wa kitengo cha Habari na mawasiliano ya UMMA makao makuu ya umoja wa vijana wa CCM.

Naomba ifahamike hivyo na nitatoa ushirikiano wa kutosha hapa JF kwa maswala yanayohusu UVCCM na Mwisho napenda kuwakumbusha kwamba Vinavyoelea ziwani hata baharini pia vinaelea na Haramu kwako Halali kwa Mwenzio.

VIVA UVCCM VIVA.

mkuu wa propaganda a.k.a tambwe hiza
 
Kwanza nijipe pongezi Mimi mwenyewe kwa kufanikisha kumaliza salama kifungo changu(ban) hapa JF.

Napenda kusema haya ili kuondoa Mkanganyiko na maswali yasiokuwa na ulazima, Mimi Mtela Mwampamba ni mtumishi wa Chama cha Mapinduzi na niko katika Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi(UVCCM) na mimi ndie Mkuu wa kitengo cha Habari na mawasiliano ya UMMA makao makuu ya umoja wa vijana wa CCM.

Naomba ifahamike hivyo na nitatoa ushirikiano wa kutosha hapa JF kwa maswala yanayohusu UVCCM na Mwisho napenda kuwakumbusha kwamba Vinavyoelea ziwani hata baharini pia vinaelea na Haramu kwako Halali kwa Mwenzio.

VIVA UVCCM VIVA.
Hivi huu ndio utaratibu wa CCM?

Mtu unapewa cheo halafu wewe mwenyewe unaenda kujitangaza kwenye magazeti na mitandao?
 
Nalaani mda niliokuwa nipo chipukizi, but ilikuwa enzi ya single party!
Nililazimisha mwanahalis kusomwa kwenye ofisi ya umma (jeshini upanga) baadaye wote hata wakuu wakaanza kulisoma kwa uhuru. Kwahiyo ccm ulitazkiwa kuikataa kwa namna yoyote. Kwangu hatuwajui ccm wanangu wanafundishwa kuwa ccm ni uhalifu, DHAMBI.
 
Hili jina ndo kwanza tunalisikia.Jina hili halijawahi kuwa tishio wala mvuto ndani ya chadema.Hivyo huna haja ya kumpamba sana(kama jina lake).Hajawahi kuwa na influence yoyote ndani ya chadema,alikuwa mwsnachama kama wanachama wengine wanaopewa fursa ya kuonyesha uwezo,uwajibikaji na uaminifu ndani ya chama.Lakini akafanyatofauti,chadema wakaamua kumfukuza.Hata huko alikoajifunze kuwa mwaminifu na mwajibikaji kwenye chama unachokiamini.Ni tabia yake kutoa mipango na mikakati ya chama,si ajabu hata huko CCM akahama na kwenda kwengine na KUROPOKA mambo mengi ya chama.Mwapamba umeonyesha si wa kutumainiwa kwa kuwa una TABIA ya kuropoka na kujipamba sana kana jina lako.
Maana ya Mwampamba siyo kujipamba ila ni mdudu anayeitwa majimoto.
 
Mhm huyu mtu, pale mbozi wanamchukia sana kwa kuwasaliti nakupokea kitita cha hela kutoka kwa mbunge Zambi,kwakupewa ahadi kuwa atagombea 2015, Dunia haina siri waulize watu wa mboz,
 
Mhm huyu mtu, pale mbozi
wanamchukia sana kwa kuwasaliti nakupokea kitita cha hela kutoka kwa
mbunge Zambi,kwakupewa ahadi kuwa atagombea 2015, Dunia haina siri
waulize watu wa mboz,
hana lolote njaa tupu, yani nawshangaa sana magamba wanaona wamepata mtu,, hovyooooooooooooooo
 
Back
Top Bottom