Science improve nani yupo juu ya mwenzake?
Wakina sir Newton,Galileo,Louis Pasteur, Charles Darwin, Albert Einstein,Otto hahn wanyamaaaaaaa wakina Nicole Tesla, Aristotle, Faraday, Mendeleev enzi hizo wanafanya vikao vyao hawakutaka sio tu mwanamke auzuliwe vikao vyao Basi hata kuwa mhudumu tu waku wakuhudumia maji ya Kilimanjaro..
Mwanamke Ni chanzo Cha uhai hiyo Ni heshima kubwa sana na ibakie hivyo milele na milele.
Ukija na hoja za mwanamke Ana akili kuliko mwanaume au yupo juu ya mwanaume basi tunakuwa tunawatukana wazee,magwiji,ma-guru,mababu walioleta mwanga kwenye hii dunia.
Namalizia kwakusema pole najua mapenzi yanakutesa ndo Mana umekuwa mwanafilosofia