OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 5,139
- 12,913
1. Mwanamke anapenda na kutamani kama mwanaume.
2. Mwanamke yuko juu kuliko mwanaume, ndio maana amedhoofishwa kwa kuaminishwa kuwa yuko chini ya mwanaume ktk dini, tamaduni, jamii n.k mfano kufunika uso kama ninja ili asitamaniwe
3. Mwanamke huandaliwa tokea akiwa mtoto mdogo kuja kumtumikia mumewe, wakati huo mwanaume huandaliwa kuja kummiliki mwanamke kama kiwanda cha kumzalishia watoto.
4. Mwanamke anafundishwa tokea akiwa mtoto mdogo kumtegemea mwanaume. Hata apate kazi yenye malipo ya Tsh milioni mia moja bado ataomba pesa kwa mwanaume.
5. Mwanamke huishi kwa kutafuta mwanaume mwenye sifa kama za baba yake, ukimuoa akipata mtu mwenye sifa za baba yake ambazo wewe huna atachepuka tu cycle huendelea.
6. Mwanamke ni kiumbe huru kama alivyo mwanaume, kuamini kwamba atakuwa na mwanaume mmoja unajidanganya, nature haipangiwi.
7. Mwanaume hutaka kumfanya mwanamke mtumwa, hufanikiwa siku chache baadae mwanamke hutaka kuwa huru kwa sababu si asili yake kuwa mtumwa, ugomvi huibuka.
8. Ndoa ni utumwa utake usitake ndoa ni kifungo ukiingia jiandae kuishi kama gerezani.
9. Mwanaume ni kama askari magereza mwanamke ni kama mfungwa katika ndoa, hivyo basi kuishi kwa amani ni kitu ambacho hakiwezekani.
Tunaishi katika mfumo mbovu tunahitaji uhuru na mabadiliko ndani yetu.
2. Mwanamke yuko juu kuliko mwanaume, ndio maana amedhoofishwa kwa kuaminishwa kuwa yuko chini ya mwanaume ktk dini, tamaduni, jamii n.k mfano kufunika uso kama ninja ili asitamaniwe
3. Mwanamke huandaliwa tokea akiwa mtoto mdogo kuja kumtumikia mumewe, wakati huo mwanaume huandaliwa kuja kummiliki mwanamke kama kiwanda cha kumzalishia watoto.
4. Mwanamke anafundishwa tokea akiwa mtoto mdogo kumtegemea mwanaume. Hata apate kazi yenye malipo ya Tsh milioni mia moja bado ataomba pesa kwa mwanaume.
5. Mwanamke huishi kwa kutafuta mwanaume mwenye sifa kama za baba yake, ukimuoa akipata mtu mwenye sifa za baba yake ambazo wewe huna atachepuka tu cycle huendelea.
6. Mwanamke ni kiumbe huru kama alivyo mwanaume, kuamini kwamba atakuwa na mwanaume mmoja unajidanganya, nature haipangiwi.
7. Mwanaume hutaka kumfanya mwanamke mtumwa, hufanikiwa siku chache baadae mwanamke hutaka kuwa huru kwa sababu si asili yake kuwa mtumwa, ugomvi huibuka.
8. Ndoa ni utumwa utake usitake ndoa ni kifungo ukiingia jiandae kuishi kama gerezani.
9. Mwanaume ni kama askari magereza mwanamke ni kama mfungwa katika ndoa, hivyo basi kuishi kwa amani ni kitu ambacho hakiwezekani.
Tunaishi katika mfumo mbovu tunahitaji uhuru na mabadiliko ndani yetu.