Ukweli kuhusu maisha halisi ya mwanamke

Ukweli kuhusu maisha halisi ya mwanamke

1. Mwanamke anapenda na kutamani kama mwanaume.

2. Mwanamke yuko juu kuliko mwanaume, ndio maana amedhoofishwa kwa kuaminishwa kuwa yuko chini ya mwanaume ktk dini, tamaduni, jamii n.k mfano kufunika uso kama ninja ili asitamaniwe

3. Mwanamke huandaliwa tokea akiwa mtoto mdogo kuja kumtumikia mumewe, wakati huo mwanaume huandaliwa kuja kummiliki mwanamke kama kiwanda cha kumzalishia watoto.

4. Mwanamke anafundishwa tokea akiwa mtoto mdogo kumtegemea mwanaume. Hata apate kazi yenye malipo ya Tsh milioni mia moja bado ataomba pesa kwa mwanaume.

5. Mwanamke huishi kwa kutafuta mwanaume mwenye sifa kama za baba yake, ukimuoa akipata mtu mwenye sifa za baba yake ambazo wewe huna atachepuka tu cycle huendelea.

6. Mwanamke ni kiumbe huru kama alivyo mwanaume, kuamini kwamba atakuwa na mwanaume mmoja unajidanganya, nature haipangiwi.

7. Mwanaume hutaka kumfanya mwanamke mtumwa, hufanikiwa siku chache baadae mwanamke hutaka kuwa huru kwa sababu si asili yake kuwa mtumwa, ugomvi huibuka.

8. Ndoa ni utumwa utake usitake ndoa ni kifungo ukiingia jiandae kuishi kama gerezani.

9. Mwanaume ni kama askari magereza mwanamke ni kama mfungwa katika ndoa, hivyo basi kuishi kwa amani ni kitu ambacho hakiwezekani.

Tunaishi katika mfumo mbovu tunahitaji uhuru na mabadiliko ndani yetu.
Ndoa inajengwa na watu wawili tu, kama bado mnaruhusu mambo ya nje yawaendeshe then kazi unayo. Uwe kwenye ndoa au usiwepo
 
Jamaa amekwama Kinoma!
Sijaelewa kabisa au ni mfumo mpya anataka kuuanzisha maana hata USA kuna jamaa huko Wako alianzisha dini yake na walimsambaratisha na wafuasi wake wote
 
Namba nne nakazia ...

Namba tano sitaki hata kusikia
 
1.Kupenda sawa ila sio kutamani...hivi mwanaume unamtamani kwa lipi,yani unamtamanije mwanaume? 😂 😂
2.................
3................
4.Sio kweli
5.Ukweli 100%
6.Sio kweli
7...............
8..............
9...............
 
1.Kupenda sawa ila sio kutamani...hivi mwanaume unamtamani kwa lipi,yani unamtamanije mwanaume? [emoji23] [emoji23]
2.................
3................
4.Sio kweli
5.Ukweli 100%
6.Sio kweli
7...............
8..............
9...............
So, Don ana sifa za mzee[emoji3][emoji3]
 
Mzee mkaksiiii[emoji3][emoji3][emoji3]
Mzee akiingia nyumba yote kimyaaa.. utadhani Simba kaingia.

Usimchukie bana binadamu hatufanani.. kuna wazee nunda hadi ukiona rafiki zako baba zao walivo marafiki unatamani ubaba ungekuwa unabadilishwa.

R.I.P mzee wangu ulikuwa pc sana.
Hahahahaha naomba nisiseme kwa kweli
 
Mzee mkaksiiii[emoji3][emoji3][emoji3]
Mzee akiingia nyumba yote kimyaaa.. utadhani Simba kaingia.

Usimchukie bana binadamu hatufanani.. kuna wazee nunda hadi ukiona rafiki zako baba zao walivo marafiki unatamani ubaba ungekuwa unabadilishwa.

R.I.P mzee wangu ulikuwa pc sana.
Haha
 
Back
Top Bottom