Namkubali wapi huyu mkuda[emoji3][emoji3][emoji3]
😂 😂 😂
Namkubali wapi huyu mkuda[emoji3][emoji3][emoji3]
HelloMwanaume hutaki mwanamke anayevaa wigi, ila unataka anayesuka rasta za bandia, hapa hua siwaelewi wanaume wenzangu
troublemaker alikuwa anakuuliziaNilivyoona mention yako moyo umefanya pah!
Maana hali ya hewa haisomeki kabisa.
Nimeona, anaonekana amesha kata tamaa.
Sisi tuendelee na yetu, asituletee troubles.
Usijali mkuu, kazi yangu ni kykupeni ukweli hata kama unaenda kinyume na imani yakoKuna kaukweli tunaomba endelea kutushushia mapoints
Huwezi kuelewa kama hauna tafakuriKama Hujamuelewa Mtoa Post Gonga Like!
😂 😂 😂 😂 dah!
Aache kabisa troubles!
Ila wewe na mimi tutasimamisha mahusiano yetu kesho, halafu tutajitafakari upya baada ya kumaliza ubatizo na Messi.
Mfumo mbovu unaozungumziwa nimeeleza kwa kirefu hapo juu labda kwa kukuongezeaNimejaribu kusoma mpaka mwisho lakini sijaelewa huo mfumo ni wa taifa gani au karne ipi
Masikini moyo wangu😞😞
Yani moyo wangu uko juu juu kila jina la Messi ama Ernesto likitajwa
Haya naendelea kusubiri hatma yangu itakuwa ipi
mtoa uzi ww unataka nn hasa
Hahahah!acha kuota basi...wakati mchumba angu Aguero namtegemea anitolee hatrick leoUmenichekesha, Leicester anaweza kufanya maajabu labda. Nikaachana na habari za hao mitume wa mpira.
Ngoja niangalie game hapa, hope uko kwa jirani.
Kamwe usijaribu kutafuta furaha kwa mtu mwingine mfano mwanaume au mpenzi wako, furaha ya kweli inatoka ndani yako, ukitegemea kupata furaha kwa kumtegemea mtu fulani au kuolewa na mtu fulani, utafurahia siku za usoni tu then baadae kidogo utaanza kuupata ukweli halisi,1.Kupenda sawa ila sio kutamani...hivi mwanaume unamtamani kwa lipi,yani unamtamanije mwanaume? [emoji23] [emoji23]
2.................
3................
4.Sio kweli
5.Ukweli 100%
6.Sio kweli
7...............
8..............
9...............
😂😂😂😂😂😂Mwanaume anapokuwa mwanaume mwanamke lazima akimbilie jikoni haraka
Usitafute furaha kwa kutegemea kutoka kwa mtu mwingine, furaha ya kweli iko ndani yako
Ungeeleza ili tuweze kujadili vyemaUmeongea kweli mkuu isipokuwa point ya kwanza napingana nayo kiasi Fulani..