Hanitoni
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 1,146
- 990
mkuu vitu vingine sio vya hadithi za sungura na fisi.hii kitu acha kbsa ndugu na iogope.usitegemee ukiwa na laana unajijua sahau hyo watu ndo wanajua ww umelaanikaKatika hali ya kawaida watu wa kale waliaminishwa vitu hivi yaani baraka na neema kuwa vipo alihali kiuhalisia ni kitu ambacho hakipo.. hii ni kwa upande wangu.
Umewahi kujiuliza kwann wanaotoa laana na baraka weng wao husemekana ni wazazi au wazee/walezi kuliko mtoto kutoa laana kwa mzazi?
Je hii laana ilipangwa kwa wakubwa tu wao ndo watoaji wa laana na baraka?
Jibu ni kwamba enzi za mababu zetu maneno haya laana na baraka yalitumika kujenga watoto kukaa katika malezi mazur yaan wasifanye vitu vibaya vya kuweza kuikwaza jamiii lasivyo walitishia watapata laana and vice vesa kwa baraka maneno haya yalitumika kama silaha tu na sikweli.
Na kama kuna ukweli uliwahi kumuona mtu kapata laana papo kwa papo? Hii imejengwa akilini mwa watu kuwa laana huja baadae...hakuna ukweli wowote na ili jambo ni imani tu tumejengewa kama ilivyo imani zingne.