Mkuu RCM !! hivo kwa muktadha wako huu, wataka sema hujaona laana kumfika mlengwa???
au macho yako hayaoni!!!
Naomba, ntapendelea na nitaheshimu ukweli wako.... "Hebu niaambie kwa nini TANZANIA baada ya mwaka 1970 hadi hii leo ipo ktk ufakiri na umaskini wa kutupa tupo under $0.01 GNP ".......Juu ya kuwa Nchi hii imependelewa sana kwa kila neema alizotoa Mwenyeezi Mungu kwa Tanzania....
Saguda47 Hanitoni mattargsm abdulrahmana Dr.adams faida FYI, kabla ya mwaka 1970 Tanzania tulikuwa na kila aina ya huduma, miundombinu, Tz sh currency value GDP high/ GNP above standard Educations level ya kuridhisha , health bora, nk nk nk