Ukweli kuhusu kuchepuka kwa wanandoa;

Ukweli kuhusu kuchepuka kwa wanandoa;

engjozee

Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
6
Reaction score
5
UKWELI ni kwamba watu huchepuka pale miili yao na akili zao zinapowasha tamaa za ile kitu kwa kumtathmini mwanamke mwingine tofauti na mke/mume wake kuwa anaweza kumpa raha anayoiassume. Tathmini hiyo huielekeza sana kwenye muonekano wa nje (mvuto) wa aliyemtamani.Wasiochepuka wamezipa nidhamu mind zao + uvumilivu kuwa mke/mume aliyenaye ndio chaguo lake na hakuna cha ziada huko nje, akitakacho atakipata kwa aliyenaye km kuna tofauti watazirekebisha na kusonga mbele.
ONYO: Kutokuchepuka kunahitaji mind, body and spiritual disciplines sio kirahisi tu ndio maana wengi yamewashinda.
Mimi nimeweza kujizuia kuchepuka , je wewe?
 
LILE ALL WEDDINGS KILA MWANANDOA ANAJIONA SPECIAL,ANTICIPATING FOR A HAPPILY EVER AFTER!!!!!!:lol::lol::lol:. Anasahau kwamba hata hawa wachepukaji sugu were once THE SUBJECT OF HAPPILY EVER AFTER THEORY!!!!!!!! Wanahisi divorcee did not work their a.sses hard enough, didnt volunteer had enough, did not persevere hard enough.

In the end they discover life is just a series of down endings, Karma is really a bi.tch and aint no body special to one bit!:lol:.Staying doesnt make you a winner, and leaving doesnt make you one either! Unakinywa tu kikombe chako na kutuliza mpapa.:tape2:
 
Back
Top Bottom