Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 816
Kuna tatizo kubwa sana kwenye ndoa sasa hivi kwani tatizo la wanandoa kutokuwa waaminifu ni kubwa mno. Unakuta Mume na Mke wote wanatoka nje ya ndoa. Mimi kama mwanamume nakiri kabisa tatizo kubwa lina anzia kwa wanaume kwa factors nyingi ila mimi nitaomba tujadili factor moja tu na ndo maana hii mada nikaiweka hapa jukwaani.
1. Wanaume kutowarizisha wake zao - Ukweli ni kwamba wanaume wengi hawapigi mzigo nyumbani either sababu ya kuchepuka sana nje, majukumu, ulevi au upungufu wa nguvu za kiume ambalo nalo ni tatizo kubwa sana sasa hivi.
Mimi nimeshatembea na wake za watu karibia kumi hivi na wote sababu kubwa anasema mumewe hamtii au hamrizishi. Wengine unakuta wana miaka mitatu tu ya ndoa lakini tayari shemeji analalamika kutorizishwa na mumewe.
Hili janga ni kubwa sana na ndio maana wamama wengi especially 35 and above wanatoka sana nje ya ndoa.
Sasa wanaume lazima tujirekebishe inatakiwa tuwagonge hawa wamama na kama tatizo ni nguvu za kiume basi Ma Dakrati watusaidie.
1. Wanaume kutowarizisha wake zao - Ukweli ni kwamba wanaume wengi hawapigi mzigo nyumbani either sababu ya kuchepuka sana nje, majukumu, ulevi au upungufu wa nguvu za kiume ambalo nalo ni tatizo kubwa sana sasa hivi.
Mimi nimeshatembea na wake za watu karibia kumi hivi na wote sababu kubwa anasema mumewe hamtii au hamrizishi. Wengine unakuta wana miaka mitatu tu ya ndoa lakini tayari shemeji analalamika kutorizishwa na mumewe.
Hili janga ni kubwa sana na ndio maana wamama wengi especially 35 and above wanatoka sana nje ya ndoa.
Sasa wanaume lazima tujirekebishe inatakiwa tuwagonge hawa wamama na kama tatizo ni nguvu za kiume basi Ma Dakrati watusaidie.