Ukweli kuhusu dunia (earth)

Ume ni
Biblia inasema siku atakaposhuka Yesu Masihi kila jicho litamuona na wao wanamuandaa yesu feki ambaye akitua ulaya afrika haitamuona lakini Biblia imesema wote tutamuona kwahyo niwazi dunia sio tufe ila hii kutufundisha Kuwa tufe ili watakapomleta huyo fake tuamini hatuwezi muona kwani dunia ni tufe. Ni hivo tu kama utakubali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenishake kidogo
 
Back
Top Bottom