Kama dunia duara, je unaweza ukatoka Tanzania ukazunguka kwa muelekeo uleule na ukaja tena kutokea Tanzania?

mr pipa

JF-Expert Member
Jul 26, 2021
2,330
4,854
Sote tunaujua mpira ya mpira ambao uotumika kuchezwa na wachezaji vipi ule si duara kama dunia!? Leo hii ukiuchukua mpira ukachukua makapeni ukauchora mstari kwa uelekeo uleule ukazungusha, mwisho unatokea palepale ulipo anzia kuchora, nadhani umeelewa, okee!!

Basi leo hii ukachukua ndege yako ambayo ina speed, yaani ile kilometa 1500 kwa dakika 5, ukaja ukaanzia safari Tanzania, ukaipiga gia haswa kwa kuatokea Tanzania na kufuata uelekeo wa Kaskazini yaani ukapita nchi zote duniani je unaweza kutokea Kusini kwa kuifikia ile point ya Tanzania ulipoanzia safari..?

Pia naomba kuthibitishiwa hilo kwa kunihesabia nchi, mabara, kwa kuanzia unapotoka Tanzania kwenda Kaskazini na kuirudia tena Tanzania na kutokea Kusini kurudi Tanzania ili tuipate hiyo maana ya dunia duara, mana tukianza kujibiana kisayansi hapa tutadanganyana na mtuambie nani alizunguka na akarudia palepale, msije na hoja za setelaiti au ukiwa kwenye ndege nooo, mtupe mifano inayoonekana
 
Sote tunaujua mpira yah mpira ambao uotumika kuchezwa na wachezaji vipi ule si duara kama dunia!? Leo hiyi ukiuchukua mpira ukachukua makapeni ukauchora mstari kwa uelekeo uleule ukazungusha, mwisho unatokea palepale ulipo anzia kuchora, nazani umeelewa, okee!! Basi leo hiyi ukachukua ndege yako airoplein ambayo ina speed, yaan ile kilometa 1500 kwa dakika 5, ukaja ukaanzia safari tanzania, ukaipiga gia haswa kwa kuatokea tanzania na kufuata uelekeo wa kaskazini yaani ukapita nchi zote duniani je unaweza kutokea kusini kwa kuifikia ile point ya tanzania ulipoanzia safari..??
Kwanza kwa kukurekebisha...
Dunia ni umbo tufe/sphere (3D),
duara/round ni (2D)

Pili ishafanyika countless times...
Kuna articles na scientific journals kibao, hata images za satellites.

Tatu ,hebu uje kwenye forums za kujadili mambo ya kitaifa,tunataka uteuliwe kuwa Mkurugenzi wa ATCL, hizi habari nj debate za watoto wa Sekondari.
 
Sote tunaujua mpira yah mpira ambao uotumika kuchezwa na wachezaji vipi ule si duara kama dunia!? Leo hiyi ukiuchukua mpira ukachukua makapeni ukauchora mstari kwa uelekeo uleule ukazungusha, mwisho unatokea palepale ulipo anzia kuchora, nazani umeelewa, okee!! Basi leo hiyi ukachukua ndege yako airoplein ambayo ina speed, yaan ile kilometa 1500 kwa dakika 5, ukaja ukaanzia safari tanzania, ukaipiga gia haswa kwa kuatokea tanzania na kufuata uelekeo wa kaskazini yaani ukapita nchi zote duniani je unaweza kutokea kusini kwa kuifikia ile point ya tanzania ulipoanzia safari..??
Ukianza safari ya kuelekea mashariki kwenye mstari ulionyooka, bila kujali muda utakao tumia. Utatokea palepale ulipoanzia. Hii imekuwa proved kwa muda mrefu.
 
Sote tunaujua mpira yah mpira ambao uotumika kuchezwa na wachezaji vipi ule si duara kama dunia!? Leo hiyi ukiuchukua mpira ukachukua makapeni ukauchora mstari kwa uelekeo uleule ukazungusha, mwisho unatokea palepale ulipo anzia kuchora, nazani umeelewa, okee!! Basi leo hiyi ukachukua ndege yako airoplein ambayo ina speed, yaan ile kilometa 1500 kwa dakika 5, ukaja ukaanzia safari tanzania, ukaipiga gia haswa kwa kuatokea tanzania na kufuata uelekeo wa kaskazini yaani ukapita nchi zote duniani je unaweza kutokea kusini kwa kuifikia ile point ya tanzania ulipoanzia safari..??

Jibu: Longitude vs Latitude vs GPS coordinates.
 
Sote tunaujua mpira yah mpira ambao uotumika kuchezwa na wachezaji vipi ule si duara kama dunia!? Leo hiyi ukiuchukua mpira ukachukua makapeni ukauchora mstari kwa uelekeo uleule ukazungusha, mwisho unatokea palepale ulipo anzia kuchora, nazani umeelewa, okee!! Basi leo hiyi ukachukua ndege yako airoplein ambayo ina speed, yaan ile kilometa 1500 kwa dakika 5, ukaja ukaanzia safari tanzania, ukaipiga gia haswa kwa kuatokea tanzania na kufuata uelekeo wa kaskazini yaani ukapita nchi zote duniani je unaweza kutokea kusini kwa kuifikia ile point ya tanzania ulipoanzia safari..??

1 Ukichukua pipa (ndege) kuelekea mashariki unaweza toka Dar ukapitia India, China, Japan, Hawaii, California, kabla ya kuamua kwenda Washington D.

2. Hapo #1 ukiwa una simama simama kila baada ya masaa machache machache kuwasalimia Modi, Xi, Kim, nduguze Obama, Arnold Schwarzenegger kabla ya kumtokea bwana Joe Biden ; mmoja baada ya mwingine Kwa vile hao ni majirani wenye kupakana sawia Kila mmoja mashariki kwa magharibi wa mwingine.

3. Hapo #2 ni kama kusimama mikese, mdaula, chalinze, ruvu, mlandinzi, kibaha, kibamba, mbezi (Luis), kimara, ubungo nk ukiwa ukisikiliza Dar mpaka Moro na wanaume TMK.

4. Kutokea Washington waweza choma kusini (ukipenda) hadi Miami stop over "Mar-a-Lago" ukasalimiana na bwana Trump kabla ya kuwekeana miadi kuonana na Faye masaa machache tu baadaye hapo Dakar Senegali uelekekeo wako ukiwa mashariki.

5. Kutokea hapo #4 zunadhani ukiendelea uelekeo wako kuwa mashariki huwezi kuja kuonana na bwana chalamila kama vipi mje mkanywe naye japo Chimpung'u?

6. Hapo #5, vipi ukiamua kutumia njia uliyofikuw Dakar kurudi kuwaaga kwa mara nyingi be, Miami, Washington DC, California, Hawaii, China, India kama ulivyokuja?

7. Hadi hapo unasema Je ndugu?
 
Mkuu Leo bangi umevuta asbuh sana,haya mawazo najua ni ya ndumu tu maana huwezi waza vitu vigumu hivi.Kifupi waliotufundisha nao hawakuwa wanajua lolote maana sahizi Kuna wanaosema Dunia ni flat screen.Kifupi mwanadamu anajifanyaga anaujuzi wa mambo ila hata mwezini marekani naskia hawajawahi kwenda ni mbwembwe tu.
 
Sote tunaujua mpira yah mpira ambao uotumika kuchezwa na wachezaji vipi ule si duara kama dunia!? Leo hiyi ukiuchukua mpira ukachukua makapeni ukauchora mstari kwa uelekeo uleule ukazungusha, mwisho unatokea palepale ulipo anzia kuchora, nazani umeelewa, okee!! Basi leo hiyi ukachukua ndege yako airoplein ambayo ina speed, yaan ile kilometa 1500 kwa dakika 5, ukaja ukaanzia safari tanzania, ukaipiga gia haswa kwa kuatokea tanzania na kufuata uelekeo wa kaskazini yaani ukapita nchi zote duniani je unaweza kutokea kusini kwa kuifikia ile point ya tanzania ulipoanzia safari..??
Uelewa wa kawaida kabisa ambao haihitaji kuwa na elimu kubwa sana. Marekani walipambana na Japan vita ya pili ya dunia kwa namna gani ilihali ukiangalia kijiografia zinaonekana mbalimbali kwenya ramani iliyopo flat.

Pili unadhani ndege ikisafiri kutoka Marekani kwenda Japan inachukua uelekeo wa mashariki ama magharibi? Kama ulikuwa hufahamu: Ndege ikiwa unafanya safari kutoka Japan kwenda Marekani haichukui uelekeo wa Magharibi kwa maana ipite nchi za bara la Asia halafu Ulaya halafu bahari ya Atlantic ndio ifike Marekani la hasha huwa inachukua uelekeo wa Mashariki kupita bahari ya Pacific. Kama hujaelewa nilichoeleza chukua ramani iangalie halafu fuatilia nilichokiandika hapa kams ndivyo hufanyika.

Japo kwenye dunia duara ama ni umbo la pulizo/ puto huo ni mjadala mwingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua circumnavigation of the earth? Usikimbie sayansi kisa ugumu unakosa maarifa ya msingi kama haya.

Ilishakuwa proved kitambo ni moja ya point inayothibitisha kwamba dunia ni sphere... google it "circumnavigation of the earth".
 
Uelewa wa kawaida kabisa ambao haihitaji kuwa na elimu kubwa sana. Marekani walipambana na Japan vita ya pili ya dunia kwa namna gani ilihali ukiangalia kijiografia zinaonekana mbalimbali kwenya ramani iliyopo flat.

Pili unadhani ndege ikisafiri kutoka Marekani kwenda Japan inachukua uelekeo wa mashariki ama magharibi? Kama ulikuwa hufahamu: Ndege ikiwa unafanya safari kutoka Japan kwenda Marekani haichukui uelekeo wa Magharibi kwa maana ipite nchi za bara la Asia halafu Ulaya halafu bahari ya Atlantic ndio ifike Marekani la hasha huwa inachukua uelekeo wa Mashariki kupita bahari ya Pacific. Kama hujaelewa nilichoeleza chukua ramani iangalie halafu fuatilia nilichokiandika hapa kams ndivyo hufanyika.

Japo kwenye dunia duara ama ni umbo la pulizo/ puto huo ni mjadala mwingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
msituletee siasa mbona nishasema taja nchi hizo tukianzia tanzania?
 
Kunawatu wengine bhana wanakela sana hata mtu wa darasa lasaba tu anaweza kufikiria tu na kuelewa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom