Ukweli kuhusu Dr. Dau na NSSF

Kewan
Nondo Kama hizi ndio zinahitajika na Idara ya Usalama wa Taifa inapaswa ianzie hapa kupata details za kutosha.

Hapa naona kama kuna ukweli kwa asilimia kubwa.

Hii ni hujuma ya kutisha kabisa kwa shirika nyeti kama NSSF.
Kwani walikwambia hawana details BEN?????? Hii post ni ukweli mtupu ila mleta mada atashambuliwa na kutukanwa.
 
Yote uliyoeleza ni UKWELI ila najua utatukanwa na kushambuliwa sana hapa. Umetoa "SUMMARY" tu, mengine mengi umeyaacha, si vibaya. Mwenye kuelewa ataelewa. Ni chungu kumeza!!!
 
hayo yameshasemwa sana hakuna jipya hapo, na dr dau keshaondolewa nssf, ataletwa mwingine kutoka kanisani mambo yote yataenda vizuri. save your breath mkuu.
Yamesemewa wapi ndugu? Mimi ndio kwanza nayasikia. Nilifikiri Dr alikua msafi sana kiasi hata cha kupewa ubalozi kumbe ni jipu? Nakubaliana 100% na mleta hoja kwamba miradi ya nssf ni "whiteelephant" na uwezekano wa kurudisha mtaji ni mdogo sana. Nenda moshi jengo la nssf kubwa kama sijui nini. Kama kuna wapangaji watano ni bahati.
 
Upuuzi ule ule tu sasa kwakuwa Dau kaoa Mpemba wapemba wote hawatakiwi kufanya kazi NSSF. Kesho huyu mtu akisema mke wa Mchechu ni mchaga kwahiyo wachaga wote walioajiriwa NHC wamependelewa utamuelewa?
Kwenye issue ya "upemba" naona mtoa mada kakosea. Ubaguzi haufai, isipokuwa mengine aliyosema ni ya ukweli
 
Hivi kuna mafisadi kama waislamu? Nadhani ulipata ile list ya waliokwepa kodi na ma engineer namba moja wa wizi bandarini asilimia 90 ni waislamu. sasa usidhani kwamba utaniaminisha kwamba waimba kwaya ni wezi akati wezi unasali nao kila ijumaa pale "kwa mtoro"

Na kwenye elimu hata msijisifie kabisa though ni kweli baadhi ya waislam waliosoma ni vichwa kama kina Lipumba lakini uwepo wa wasomi wa kiisilamu wenye akili ni sawa na kutafuta punje ya sukari kwenye gunia la mchanga.

Tatizo waislamu mkikosolewa kidogo na waimba kwaya mnaanza kupaniki. Mi nimetembea sana mikoa ya waislamu na hali inatisha huko. Mna ujinga mwingi upo kichwani na bado kwenye elimu mna safari ndefu. Hata vyuoni hao wachache waliopo bado ni vilaza wa kutupwa.
 
Kwenye issue ya "upemba" naona mtoa mada kakosea. Ubaguzi haufai, isipokuwa mengine aliyosema ni ya ukweli
NI kweli ni kinyume na imani ya dini zetu na sheria za nchi kumbagua mtu kwa misingi ya rangi, kabila, jinsia au sehemu anayotokea.
 
upo biased sana,jitahidi kujenda hoja
 
Hawajamlaumu kamishna wa TRA kwakuwa zaidi ya 90% ni wakristo ila kukiwa na waisilamu mahali hata wakifika 10% basi ni shida.
 
Halafu unaowatolea mfano ni wanasiasa na naamini kwenye majimbo yao hata waislamu mlishiriki kuwachagua.. kwa hiyo hapo usilalamike chochote. Na kama walikuwa wabovu ni Rais Pia mwisilam aliyewapa mamlaka... "your ignorance your problems" matatizo yenu waislam msitupe sisi waimba kwaya....... hata wale watoto wa kizanzibar pale forodhani wao wapiga mbizi tu kila siku kuwafurahisha watalii bado wakisikia kuna mwimba kwaya ka hustle kafika chuo na kapata kazi basi wao nao waanza kulalamika... "eti serikali yapendelea wakristo" kihoja cha mwaka..... your ignorance, your problems
 
Katika maelezo yako mtoa mada kuna vitu haujaweka sawa.
Udini: Haujasema wangapi wamepewa ajira kutokana na uisilam wao na elimu zao zipo vipi
Ubadhilifu: Haujasema ni kiasi cha shilingi ngapi zimeibiwa na Kabla shirika lilikuwa linatoa faida sh ngapi na baada ya Dr. Dau ni shilingi ngapi.
Kifupi naona kama watanzania tuna matatizo kuna dini nyingine wanajiona wao ndio wana elimu na uwezo wa kuongoza na nyingine hawana uwezo huo hilo ni tatizo kubwa na muda mfupi tutapata jibu.
 
Changamoto kubwa ktk mada ya udini ni ushahidi. Wanaomtuhumu Dau wanaonesha ushahidi kwa wakristo kunyimwa ajira kutokana na dini yao. Hii ni dhulma. Upande wa pili wataje kiongozi mkristo aliyeweka mfumo wa kuwabeba wakristo huku akiwadhulum waislam tokana na dini yao. Lkn tunaona pia bungeni upande wa bara wa bara wakristo ni zaidi ya 70%. Niwaachie mtupe maelezo kwa hili.
 
Hizi mada kila nikiziona nazikwepa lakini leo lazima niseme. Hivi hizi chuki dhidi ya uisilamu ni ili nini hasa? Inashangaza hata watu nilokuwa nikiona wanuwezo wakuchambua mambo kama kina Ben nk nao wanageuka wadini namna hii. Sasa mtu anasema hizo ndo facts,kuna fact gani hapo zimewekwa? Angeweka idadi ya watumishi NSSF,Nafasi zao kila mmoja,dini zao, elimu zao, namna walivyopatikana then hapo angalau ungesema ameweka facts. Lakini kwa hoja hizo halafu mtu anasema kabisa ni "facts"

Pili, lengo la hii mada ni udini tu na sio utendaji, Ukisoma utagundua kila mahali jamaa anasema mara kuajiri "wenzuti" mara kutengeneza tu nafasi za ajira kwa "wenzetu" bila kujali mahitaji nk. Nadhani mada ya udini ilishaletwa mara nyingi hapa ila inaonekana kuna watu kila kukicha hawridhiki bila ya kuwachokoza waisilamu. Hizi ni chuki za wazi wazi tu wala hakuna kupepesa macho.

Tatu,kama mleta mada angekuwa na lengo nzuri kwa nchi angeleza mapungufu ya NSSF kama shirika na sio kidini. Unaposema ungezeko la gharama(unazotaka kumaanisha kuwa hazikuwa za lazima) ila unasema kwasababu ya kuajiri "wenzetu" ili tu kuengeneza nafasi ni udini mtupu na sio uchambuzi huru. NSSF kama yalivomashirika mengine lazima liwe na shida zake na Dr Dau kama binadamu anaweza kuwa na mapungufu yake ila kwanini ishu iwe UISILAMU wake? Mchambuzi huru angeweka miradi ya shirika,faida na hasara za shirika (kwenye hasara akionesha na implicit cost kwa shirika) gharama zilizopaswa kubebwa na shirika kwenye miradi mbalimbali na gharama halisi zilizotumika (ili akisema ni inflated cost) tuwenze oanisha na akiwa na data kutoka ripoti za auditing zikimsapoti bila kuweka chuki za udini HAKIKA hata mimi ningemunga mkono. Ila kwa namna alivowasilisha narudia ni UDINI MTUPU.

Nne, kwa ndugu zangu wakristo nchi hii ni yetu sote. Hakuna kundi linalomiliki wala lenye hisa nyingi kwenye mali au isho yoyote inayomilikiwa na umma. Kwakuwa kwalipindi kirefu nafasi nyingi zimeendelea kushikiliwa na wakristo haimaanishi kuwa nafasi hizo ni zenu,NO. Waisilamu wanahaki kama ambavyo ninyi mnavyo. Na mkiendelea kuchokonoa hizi habari ninyi ndio mtapata hasara kwakuwa kwenye mashirika ya umma na hata serikalini sio tu kwa awamu hii bali hata ya JK ilopita ninyi ndio wengi na tukita usawa wengi wa ndugu zenu watakwenda na maji. Mahali paliwa na waisilamu hata 3 na 97 wakiwa wakristo bado haridhiki. Hata hivyo natambua kuwa kuna wakristo wacheche wasio kwenye hili kundi la udini kama "Lusungo" (kama alivodai hapo juu) nawaomba muwasaidie wenzenu kubadilika.

Mwisho,ndugu zangu waisilamu tutambue tu kuwa kuna baadhi ya watu wanatuchokoza kwa maksudi kwa sababu za chuki na wanazozijua wao,. Hakika dini yetu ni ya unyenyekevu. Mtume (SAW) aliigwa na watu wengi kwasababu ya tabia zake njema. Wakati mwingine tujaribu kuzuia hasira zetu(najua sio rahisi) na tuoneshe ubora wa dini yetu kwakuwaelewesha wenzutu bila kutumia kauli kali zaidi,huende akapatikana mwenye kuogoka kwasababu tu za tabia zetu In sha Allah. Amani ya Allah iwe juu yenu sote.
 
Achana nae...Anapost kwa hisia za udini badala ya kuangalia mambo ya msingi...

Anaambiwa NSSF kuna UFISADI mkubwa...Kuna KUSHUKA UFANISI...Kuna KUONGEZEKA kwa gharama kubwa za uendeshaji....

Hayaangalii hayo yeye anaegemea kwenye UDINI tuuuuu
Bala,

Kwa faida ya JF unaweza kutuwekea ushahidi wa ufisadi mkubwa wa NSSF ambao umesababishwa na Dr Dau, pamoja hizo tuhuma za kushuka kwa ufanisi.

Tutoe tongotongo mkuu.
 
Lile la pale round about limeupendezesha mji.
 
sasa kuna wajinga wanatetea hapa povu linawatoka utadhani mtu wao anasingizwa.




wa tz sijui tutabadilika lini.
Hivi nyie wagalatia msio na akili ni nani aliyewaroga? Unaamini vimaneno vya kizushi tu
 
Siungi mkono ufisadi kama kweli upo. Haya mambo yamekuwa yakiongewa kwa muda mrefu hasa hili la udini. Minong'ono ni mingi sana ila hakuna ushahidi wa wazi wazi.
labda ni comment kwenye mada.

Mtoa mada amesema kuna limit ya matumizi yaani 15% ya collections sasa kwa kusema kwamba gharama za uendeshaji zimezidi, ina maana amevunja sheria na kutumia zaidi ya 15%?

Kuhusu kuajiri kwa mafungu basi nadhani hata Mkulo alikuwa akifanya hivyo. Nakumbuka mwaka 1997 Mkulo aliwachukua vijana toka UDSM na kuwaajiri bila kufanya interview, wengine ni wakubwa tu hapo NSSF.

Hayo ya ufisadi nadhani tume itayaweka wazi kama itaundwa kama alivyopendekeza mtoa mada.
 
Tatizo sio hawa wakristo, tatizo ni dini yao! ni mafunzo ya dini yao na wachungaji wao kuwa muislamu ni wa kuchukiwa popote alipo! ndio maana nilitoa mfano wa mchungaji kulalamika waislam wanaivamia ulaya na anaumia kabisa! hiyo roho ya hyo mchungaji ndo roho za wakristo zilivyo juu ya waislam! anyway uislam si dini ya kuiangalia dunia sana, ni dini inayofocus maisha ya milele kesho akhera huko! hatuitegemei serikali sie, we always stand alone
 
Mbona yule aliyejenga nyumba Mchechu mnasema nyumba kamaliza ila haziuziki?? Mbona yeye hamsemi investment ya leo tutaiona kesho?? Au kwakuwa yeye mkristo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…