Ukweli kuhusu blood group O

Ukweli kuhusu blood group O

ankol

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2012
Posts
2,628
Reaction score
4,970
Habarini wadau,

Sinauhakika kama ni jukwaa husika. Lakini nilikua napenda kujuzwa tu kua ni kweli kwamba mtu mwenye blood group O si rahisi kupata ugonjwa wa UKIMWIi? Hapa mtaani kuna binti anaishi na jamaa ambaye ameathirika wanaishi kama mume na mke.

Sasa yule mdada baada ya kusikia maneno ya chinichini kuwa eti naye atakuwa ameathirika akaja na kadi ya angaza ikimwonyesha kuwa amepima na yuko fiti tu kisha akadai eti yeye ana blood group hiyo ndio mana hata afanyaje hawezi pata VVU.

Nimeshangazwa nikaamua nililete kwenu.Kuna ukweli wowote kuhusu hili?
 
kama ni kweli nitajiona mwenye bahati sana kuwa kwenye group O.
mimi binafsi sipati maradhi mara kwa mara
 
Unless apate a fellow blood group O for the Antigens to colaborate Mostly O rhesus negative O-
 
Group O huwa hawashambuliwi na maradhi ya mara kwa mara. Mimi sijaumwa mda mrefu sana, nakumbuka mara mwisho kuumwa tena malaria ni 2004. Baada ya hapo nikienda hospital kufanya checkup kila mwishoni mwa mwaka niko fit kabisa.

Ila kwa swala la HIV siwezi ongelea maana huwezi jua pengine jamaa umuandaa vizuri kabla ya tendo so hawezi pata michubuko itakayomsababishia maambukizi kuhamia kwake. Ila kuupata inawezekana sana wala si sababu ya group O ni maandalizi tu
 
Big ulitafuna hako kabinti nini...kwanini alikuletea kadi ya majibu? Ila usijali ukiona hujafa jua bwana mkubwa hajaamua wee endelea kula bata ila kama mfukoni mambo hayajakaa vyema nenda kwenye vyoo vya hospitali siku hizi kuna Condom za bure zinawekwa!
 
ingekua hivo wasingekufa watu wengi na ngoma kama ilivo sasa, blood group O wako wengi kuliko blood groups nyingine duniani... Inasemekana wenye O- ngoma haiwa-affect, sema hiyo ni speculation hamna mwenye proof kwa hiyo usijidanganye, O+ ni wengi ila O- ni wachache sana hata damu yao inatafutwa kwa kazi mno
 
Habarini wadau,

Sinauhakika kama ni jukwaa husika. Lakini nilikua napenda kujuzwa tu kua ni kweli kwamba mtu mwenye blood group O si rahisi kupata ugonjwa wa UKIMWIi? Hapa mtaani kuna binti anaishi na jamaa ambaye ameathirika wanaishi kama mume na mke.

Sasa yule mdada baada ya kusikia maneno ya chinichini kuwa eti naye atakuwa ameathirika akaja na kadi ya angaza ikimwonyesha kuwa amepima na yuko fiti tu kisha akadai eti yeye ana blood group hiyo ndio mana hata afanyaje hawezi pata VVU.

Nimeshangazwa nikaamua nililete kwenu.Kuna ukweli wowote kuhusu hili?

Mkuu, hakuna ushahidi wa kisayansi. Ichukuliwe kama maneno ya mitaani au ya kujifariji tu.
 
Nyoo jidanganyeni tu Shangazi yangu tumemzika Novemba na alikuwa group O. UKIMWI Upo na unaua wote hata group X.

Kwa o-, ni sawa nina ushahidi wa watu kama 3,hivi.na ni group la damu lenye watu wachache sana duniani, inakadiliwa kuwa ni kama 10%tu ya population ya dunia ndio wenye group hili la damu.
 
Unasemea O ipi?
O-
O+

Ni 0-,ni kweli kwani nina ushahidi wa hili kwa watu kama 3,na nimeshauliza sana madaktari, nao hawana majibu ya uhakika inakuwaje, ila wanakubali kuwa group 0-haambukizwi, hata mmpime mala ngapi, na kwa muda gani.
 
Ipo document nimeshawahi isoma nikalikuta hili jambo ila walifafanua kuwa kuna hilo kundi la O+ maalumu kitaalamu nimesahau ila ngoja niitafute niwaletee na WHO imekataza kuliweka wazi jambo hili coz watu watamiss use group na kujiona wote wenye O wapo safe.Document hiyo ilisema kuwa huwa wanapata ila wanakuwa carrier tu na unakuwa hausumbui.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom