SubiriJibu
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 1,803
- 1,863
- Thread starter
- #141
Sweke was a great leader. Allisimama katika kile alichokiamini.sijamuona siku nyingi lakini naambiwa aliweka rekodi ya kuwa consulting engineer miaka Sita tu baada ya ku graduate. Sina hakika huwa anapita huku JF.
Subirijibu anahitaji uponyaji wa nafsi. Sote binadamu tuna mwili, roho na nafsi. Uponyaji wa nafsi ni mgumu na muhimu kuliko ule wa mwili na Roho. Tuendelee kumuombea.
JF ni kiboko!
Mfano, ukiudunda mwili wa Benedict Mutungirehi kwa magumi, mateke, mieleka na pia kwa kumtwanga na viti, si tatizo kwa sababu uponyaji wa mwili wake ni rahisi.
Nakupongeza kwa phylosophy hii. Ni kweli Mutungirehi alikimbizwa hospitali, mwili wake ukapata uponyaji huo, akapona kirahisi akarudi kuwa President of DARUSO hadi January 1995 tulipomuondoa kwa referendum.