Ukweli kuhusu ATCL Boeing 787-8

Embu nifupishie kuwa nani ameitumia hiyo ndege na ilitumika kwa muda gani? Na pia hizo tarehe zote vipengele kwa kifupi vinaashiria nini hadi Dec 2016. macho yananiuma nimeshindwa kusoma yote vizuri.
Kisebengo haya mambo mazito wewe subiria hoja za Bashite huku hakukufai
 
Nanukuu

Buyers would probably pay less than half the current $211.8 million list price of the 787-8 version, Kelly said. The 787 teens have a market value of $115 million each for a single-unit or small lot sale, according to Avitas estimates. Airlines will probably demand 10 percent to 15 percent discounts, bringing the price closer to $100 million, Kelly said.
 
Acha upuuzi wewe mtoto huyo rais wako ndiye aliyepiga dili hili. Kisha anawaita wenzie wapiga deal. Huyu mtu tumefanyajazi nae tunamjua kinoma. Si msafi hivyo mnavyodhani.

Embu elezea hayo unayodai eti kapiga dili, shuka kama hata unakidunchu cha maelezo zaidi ya kufata mkumbo bila kufikiria.

Jisikitikie
 
Kisebengo haya mambo mazito wewe subiria hoja za Bashite huku hakukufai

Eeeeeeeh kawaambie visebengo wenzako. Mimi hapa nimejaa tele nawapa yao hawa wadaku na wafata mikumbo wanaotutia aibu watanzania wengine sie.
 

Haya nakupa tu vionjo ili ujue serikali ipo makini na inachokifanya na jiaandae ukipenda utajumuika na Timu ya Wataalam watakaoenda kukagua maendeleo ya ujenzi wa ndege yetu!
 

Attachments


Boeing's most turbulent saga of the past decade is finally over

Soma vizuri Article hiyo kama wasiwasi wako ni kwa nini two years ndio delivery ifanywe. Boeing waliweka wazi hapo itachukua miaka miwili (tangu Juni 2016) kukamilisha mchakato wa kuwafikishia waliozinunua kwa ndege zote za terrible teens. Watanzania hampendi kuumiza akili lakini msingeshindwa kujua kwamba Boeng na Airbus kwa sasa wamezidiwa kutokana na order nyingi zilizotolewa na mashirika ya ndege. Hivyo ni kituko kuamini Tanzania ingeweza kupata Brand new in two years.
 
Hiyo clip ya Aljazira, hata wafanyakazi pamoja na Engineers waliotengeneza hii ndege wanaogopa kupanda. Yaani ukiitazama hii clip ina mambo ya ya ajabu sana kuhusu hii ndege na inatia mashaka.
 
Ushauri wangu ni huu tu
Si vibaya serikali kununua hiyo ndege lakini kwa bei ya soko kwa maaana around 100m na itakuwa vizuri kwa shirika la ndege kupata ndege kubwa kwa half price kwa shirika changa kama shirika letu la tz. Lakini kama watakua wamepiga hela kwa bei ya ndege mpya around 211m basi litakuwa ni boonge la scandal.

Peace Tz.
 
Hivi huyu cocochanel ni mtanzania kweli au mhamiaji tu. Maana uandishi wake wa Kiswahili unatia shaka.
 
Usemayo ni kweli mkubwa
 
Hivi huyu cocochanel ni mtanzania kweli au mhamiaji tu. Maana uandishi wake wa Kiswahili unatia shaka.

Ha ha haaaaaa

Unasahau kuwa wengine akina mimi tulizaliwa tunaongea kilugha cha makabila yetu, na sasa tunajifunza kiswahili chenu.

Usijali mdau mimi mutanzania mnono haswa.
 
Reactions: mij
Jamani tuacheni hizi maneno tutakosa ndege ,jamaa hachelewi ata wapa wajeda subirin!! =
 
Alinunua meli mbovu baada ya kusakamwa sana akaipeleka JW ili tusioji. Sasa kauziwa kituko kingine,sijui hiki atakipeleka wapi ili tusioji.
 
Wewe kweli halinzuli ulisikia wapi inaanza kwenye ndege kwanza kwa wananchi wako then uko lakini ndege upumba tu MTU tuna uana mitaan hali mbaya kweli iyo ni seri nzuri au upumbavu jitambueni kidogo mtakufa namtaani watu kam nyie tuna wala nyuma
 
Hii comment yako hawataijibu watakuwa wanairuka tu kwa kuwa wakiijibu Nyumbu watawashutukia
 
Kwani Bombadia ni mpya? Ndege gani mpya zinafunguka milango angani? Au kwanini haziashirii uko wazi kabla haijapaa?

Hiyo boingi wamepigwa kwenye bei au wametudanganya bei halisi. Boingi wenyewe walishazishusha bei. Imekuaje Magu kanunua kwa bei ya hizi za sasa zisizo na mawaa ya za mwanzo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…