Ukweli kuhusu ATCL Boeing 787-8

Naona 0019 Ethiopian airlines waeioder kwa maana hiyo nao wameamua kuchukua hiyo terribe teens,je wao wamenunu kwa USD ngapi je ni USD 99 au? Wamepigwa kama sisi


Ukisoma taarifa mbalimbali ikiwemo Boeing wenyewe ndege hizi zimewekewa price listing ya $224 , lakini bei zake halisi zimepunguzwa ili kuvutia wateja. Katika msingi kama huu kuna uwezekano kuwa Boeing na serikali ya Tanzania walikubaliana bei ya chini tofauti na bei ya Tangazo lakini pia wakaamua wasipublish bei hiyo ya makubaliano ili kulinda heshima ya ndege kibiashara.
Sina hakika sana na hili ila ni mawazo na mtazamo wangu binafsi kuwa kama ukiuza au ukanunua bidhaa kwa nusu bei ya thamani yake kuna uwezekano mkubwa ukashusha heshima ya bidhaa hiyo na pengine kuwapa watu walakini wa usalama wa matumizi yake na hivyo kushindwa kupata abiria, na pengine hata kwa kampuni nzima na hivyo kuathiri hata ndege nyingine za brand nyingine ulizonazo katika fleet.

Katika mtazamo huo hiki kinachotokea sasa hakikutarajiwa na pengine damage yake huenda ikawa sawasawa au zaidi ya kile kampuni/serikali ilichojaribu kukilinda...

Haya ni mawazo na mtazamo wangu tu binafsi, sio facts!
 
Hujaelewa nini hapo shabiki wa Bashite, au umeazima akili za Bashite?
Kifupi mmetupigisha watanzania kwa ujuaji wenu, wewe kila kitu anafanya raisi wa nchi, mambo yakiharibika hakuna wakumtowa kafara.

Si usubiri tuone, unajua Raisi wetu mpendwa ana subira. Akikiwasha wanaojifanya wajanja wanamkoma.

Hapa kazi tu
 
Embu nifupishie kuwa nani ameitumia hiyo ndege na ilitumika kwa muda gani? Na pia hizo tarehe zote vipengele kwa kifupi vinaashiria nini hadi Dec 2016. macho yananiuma nimeshindwa kusoma yote vizuri.
Wewe kweli ni kichwa maji yaani bogas yaani pamoja na maelezo yote ya mleta uzi bado upo mweupe tu kichwani?
 
Tatizo ni usiri usio na maana na unaotia mashaka
 
s
sawa
 
hapa ndopale mtu hajawai hata kununua baiskeli anataka kuelekeza namna ya kununua ndege!!! Tz bhana...
Kiufupi inaonesha tumeibiwa tena kutokana na kiherehere cha kununua ndege wanasema hakukuwa hata na business plan pale ATC..
sijui Ni kiherehere chanani hiki?
 
Naona 0019 Ethiopian airlines waeioder kwa maana hiyo nao wameamua kuchukua hiyo terribe teens,je wao wamenunu kwa USD ngapi je ni USD 99 au? Wamepigwa kama sisi
Kwa Ethiopia kununua huo mtumba kwa kwa bei ya juu siyo rahisi watakuwa wameokota kwa 99 m$
 
This whole thing regarding those planes is so terribly convoluted...

So much information...you don't know for sure who's telling the truth and who's not!

But oh well...nowadays anybody can be an expert on anything and everything.

Naomba unisaidie hiyo link aliyorusha yenye bei ya 99m ni ipi? Umeiona na mimi nikajisomee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…