Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,737
- 18,930
Mkuu kuijua sheria ni kutamu sana hapo serikali haitakua na uwezo wa ku prove maana itahitajika documentation ambazo hazipo zitakataliwa maana zitakua ni za kupikaMkuu, umenitafakarisha khs specific damages na general damages.