Ukweli kesi ya mzungu na Airbus yetu

Ukweli kesi ya mzungu na Airbus yetu

Mkuu kuijua sheria ni kutamu sana hapo serikali haitakua na uwezo wa ku prove maana itahitajika documentation ambazo hazipo zitakataliwa maana zitakua ni za kupika
Kamanda hata gharama za kulipia abiria hotelini,ndege nyingine,mawakili, cancellation of flight hazipo?kweli hii hukumu imekuuma.
 
Kamanda hata gharama za kulipia abiria hotelini,ndege nyingine,mawakili, cancellation of flight hazipo?kweli hii hukumu imekuuma.
Mbona vyote hivyo nilishavisema hivyo pitia post za nyuma utaona
 
Sasa kwanini asilipwe ela yake???, dawa ya deni kulipa, ukiangalia hapo mkorofi ni serikali kwa kutokumlipa huyo mzungu deni la haki kabisa ,deni lililosajiliwa na mahakama yetu wenyewe, kwanini serikali haitaki kumlipa huyo mzungu???, huyo mzungu ni haki yake kupigania haki yake.

Hivi watanzania na serikali yetu hatuoni aibu kwa serikali yetu kutotii hukumu ya mahakama yetu katika shauri hilo???. Ni aibu.
Ingieni barabarani ili ikamatwe tena
 
mbona mimi naona kama ATCL kama shirika lina kila sababu ya kulipwa fidia na huyo mkulima, kwa sababu ndege yake imetumiwa kama chambo katika ugomvi wake na serikali?

Kesi ya mkulima ilikua ni yeye na serikali, haya hiyo imeisha kwa hukumu ya gauteng serikali imeshinda, sasa turudi kwa ATCL kama shirika, inaweza kulianzisha kivyake kuwa huyu mkulima kawaharibia biashara na bado kawatia hasara....

au sio hivyo wajuzi?
 
Mkuu hakika umeeleweka

KUna kitu sijakiona hakikizungumzia ,
1. zile barua mbili alizoandika mzungu kw akabudi
2. swala la kufukuzw ahuko arusha na kupokonywa mashamba tena.
3. swala kuzuiwa kuingia nchini ( sijuhi atakazia vipi hayo makubaliano na huku amezuiwa kuingia nchini.)
 
Back
Top Bottom