Rebel volcano
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 403
- 86
dawa ni kuweka sawa vifaa vyote kwanzia malaria,na.........presheni zote najifanyia mwenyewe tu,na liwalo na liwe kama mnaendelea na mgomo endeleeni ila kale kamshahara serikali ihakikishe hakaingii kwenye account za wauwaji wenye magwanda ya madoctor!
lazma kieleweke meza pana sifkirii kama ni busara kukaa tena wakati mwanzo walikaa wakaona waliokaa nao hawafai!
lazma kieleweke meza pana sifkirii kama ni busara kukaa tena wakati mwanzo walikaa wakaona waliokaa nao hawafai!