Watanzania hebu muanze kutumia akili walau kidogo, hao waliomtangulia wao kazi yao ilikuwa kupanga tuuuu kipindi chao chote walichokaa bila kutekeleza ?
Kwamba walitamani kupunguza mgawo wa umeme, walitamani kupunguza bei ya kuwekewa umeme, walitamani kupeleka umeme vijijini...kama ndivyo basi ni dhahiri kuwa walihitaji kuondoka na kupisha mtekelezaji.
Ni lini mmeanza kutoa credits kwa mipango, ahadi na matamanio ? au ni kwa Prof Muhongo tu ? hao mawaziri woote wasiotekeleza wajibu wao huwa mnawapongeza kwa ahadi na mipango yao mizuri ya miaka nenda rudi ?
Watanzania tuache unafiki.