Ukweli ambao prof.Muhongo ameficha

Ukweli ambao prof.Muhongo ameficha

Akiwa Kama Waziri Wa Wizara Hiyo Majukumu Yake Ni Yapi? Anatakiwa Kusimamia na Kutekeleza au Kubuni? Jaribu Kutumia Hata Akili Kidogo Tu Kuliko Kulalamika Wewe Mama. Huoni Kama Mgao Wa Umeme Umepungua? Huoni Kama Umeme Umefika Vijijini Kwa Wingi Na Kwa Muda Mfupi. Kwenye Mambo Ya Msingi Achana na Siasa Za Maji Taka Zisizokuwa Na Tija. Ndo Nyie Msiolitakia Mema Hili Taifa.
Angalia Sana We Mama(Salary Slip)
Ndio nini hiki ulichokiandika sasa yaani wewe kila neno unaanza na herufi kubwa au ndio masharti ya Lumumba hayo???
kweli wajinga kama wewe ndio mtaji wa sisiemu.
 
Nipashe hawawezi kwenda kinyume na bosi wao. Hakika Mengi anatumia kila aina ya silaha aliyonayo kupambana na Prof Muhongo
 
Mengi pole sana muhongo namba nyingine hawezekaniki yeye ni mtu wa kazi wewe majungu.
 
Mengi yule mzee aliyetaka apewe gesi ya bure iti kisa yeye ni tajiri hapa nchini.
Hivi katika matajiri wa nchi hii Menginyupo hata kwenye kumi bora? Yeye utajiri wake labda ni wa kubadilisha wanawake tu
 
Nikumbushe mengi anawalipa kiasi gani kumpakzia uongo muhongo?
wazazi wako wamefanya kosa kubwa sana kukutoa mirembe kabla hujapona sisi hatuwezi kukubali kutumia na ccm kama toilet paper kama unavyotumiwa wewe
 
binafsi naamini ya kuwa prof. mhongo ni musomi mzuri tu na anajua taratibu za uandishi na usemaji katika tasnia ya taaruma duniani kote ya kuwa kama utafanya jambo ambalo lilishafanyika na watu wengine huko nyuma basi huna budi kuwanukuu yale waliyoyafanya na kama utasema au utaandika bila kutaja michango yao basi wewe ni mwizi kama walivyo wezi wengine wa kuku, pesa na n.k mhongo hili suala analifahamu vyema kwa hiyo pindi atakapokuwa anahukumiwa basi nami nami pia nashauri aadhibiwe kwa kosa hili pia kwani hili ndo kosa kubwa kuliko makosa mengine yote duniani ukiacha kosa la kuua ambalo ni kinyume na mapenzi ya mwenyezi mungu
 
wazazi wako wamefanya kosa kubwa sana kukutoa mirembe kabla hujapona sisi hatuwezi kukubali kutumia na ccm kama toilet paper kama unavyotumiwa wewe
Mkuu Kill 3, nenda kwenye hoja bana. Hiyo haikusaidii
 
Hapa Dodoma mgawo mkali wa umeme usio rasmi unaendelea hakyanani tena!
 
Kwa bahati nzuri Prof Muhongo hahongeki. Itakuwa shughuli pevu kwa Mengi
hata sisi tunajua wezi na waongo kama Muhongo lazima wawe na wapambe kama wewe JK asipofukuza Muhongo ntatembea uchi mpaka Ikulu.
 
Hapa Dodoma mgawo mkali wa umeme usio rasmi unaendelea hakyanani tena!
Fuatilia kwenye mamlaka husika utajulishwa kinachoendelea. By the way nimetoka jana Dodoma na sijaexperience tatizo hilo labda wakati ule mitambo ya pale Mtera ilivyoharibika
 
Back
Top Bottom