Ukweli ambao hausemwi; Biashara ya utumwa ilikuwepo kabla ya kuja kwa wageni barani Afrika

Pure_sapiens

JF-Expert Member
Dec 25, 2016
2,197
2,025
Habari wana jf.
Natumaini ni wazima wa afya.
Niende moja kwa moja kwenye mada.

Biashara ya utumwa ni biashara inayohusiana na kuuza na kununuwa binadamu sokoni kama bidhaa nyingine.

Kuna maandiko mbalimbali ya kihistoria yanaelezea biashara ya utumwa barani Afrika huku muendeshaji mkuu wa biashara hiyo walikuwa ni wageni(waarabu na wazungu)From outside of Afrika.Hii ni biashara ambayo si kupoteza utu wa mwafrika lakini ilidumaza maendeleo ya Bara la Afrika.

Richa ya kushamiri kwa bishara hii ya utumwa ndani ya Afrika lakini ilikuwa abolished mwaka 1873. Lakini kuna ukweli ambao hausemwi au wana historia wanajaribu kuuficha kuhusu biashara hii ya utumwa.

Je ni kweli biashara ya utumwa ililetwa na waarabu na wazungu?
Hili ni swali ambalo tunatakiwa kuifanyia uchunguzi na kulipatia majibu.

8b02097de21aaefd718e6d4a5fb60018.jpg


Kuna baadhi ya maandiko yanasema kuwa biashara ya utumwa iikuwepo karne nyingi sana kabla ya kuja kwa wageni kutoka nje ya Afrika. Unapojaribu kusoma kuhusu Ngoni Migration utagunduwa kuna vitu vingi sana vimeficha kuhusu historia hii ya Wangoni hadi kuja Tanzania.

Mfano wangoni walipigana vita mbalimbali dhidi ya makabila wapinzani lakini walipokuwa wanawashinda waliwakamata mateka na kuwachukuwa utumwani(only fittest shall rule). Lakini historia haisemi kuwa kuna utumwa ulikuwepo kabla ya kuja kwa wakoloni.

8b2d485fbed46719e63af2e371efe136.jpg
Hawa ni baadhi ya watumwa walichukuliwa na Waafrika wenzao.
1419b60491d6ec65572bb1cef5ffb123.jpg
Wana historia kuna faida gani kuficha hii historia ya utumwa kabla ya kuja kwa wakoloni,Je kwanini tuwalaumu wageni kwa kuendesha biashara hii wakati wa Afrika wenyewe walichukuana utumwani.

Naomba kuwasilisha
 
Habari wana jf.
Natumaini ni wazima wa afya.
Niende moja kwa moja kwenye mada.

Biashara ya utumwa ni biashara

inayohusiana na kuuza na kununuwa binadamu sokoni kama bidhaa nyingine.

Kuna maandiko mbalimbali ya kihistoria yanaelezea biashara ya utumwa barani Afrika huku muendeshaji mkuu wa biashara hiyo walikuwa ni wageni(waarabu na wazungu)From outside of Afrika.Hii ni biashara ambayo si kupoteza utu wa mwafrika lakini ilidumaza maendeleo ya Bara la Afrika.

Richa ya kushamiri kwa bishara hii ya utumwa ndani ya Afrika lakini ilikuwa abolished mwaka 1873. Lakini kuna ukweli ambao hausemwi au wana historia wanajaribu kuuficha kuhusu biashara hii ya utumwa.

Je ni kweli biashara ya utumwa ililetwa na waarabu na wazungu?
Hili ni swali ambalo tunatakiwa kuifanyia uchunguzi na kulipatia majibu.

8b02097de21aaefd718e6d4a5fb60018.jpg


Kuna baadhi ya maandiko yanasema kuwa biashara ya utumwa iikuwepo karne nyingi sana kabla ya kuja kwa wageni kutoka nje ya Afrika. Unapojaribu kusoma kuhusu Ngoni Migration utagunduwa kuna vitu vingi sana vimeficha kuhusu historia hii ya Wangoni hadi kuja Tanzania.

Mfano wangoni walipigana vita mbalimbali dhidi ya makabila wapinzani lakini walipokuwa wanawashinda waliwakamata mateka na kuwachukuwa utumwani(only fittest shall rule). Lakini historia haisemi kuwa kuna utumwa ulikuwepo kabla ya kuja kwa wakoloni.

8b2d485fbed46719e63af2e371efe136.jpg
Hawa ni baadhi ya watumwa walichukuliwa na Waafrika wenzao.
1419b60491d6ec65572bb1cef5ffb123.jpg
Wana historia kuna faida gani kuficha hii historia ya utumwa kabla ya kuja kwa wakoloni,Je kwanini tuwalaumu wageni kwa kuendesha biashara hii wakati wa Afrika wenyewe walichukuana utumwani.

Naomba kuwasilisha

Hata kama ulikuwepo watu wanazungumzia utumwa katika kupanuka na kukua kwake. Utumwa katika udhalimu wake. Sio utumwa tu. Biashara ya utumwa kuvuka mabahari na udhalimu ulioambatana nao ndiyo uliozungumziwa. Jiepushe kutetea mambo usiyoyaelewa. Fika pale Elmina Ghana ujionee mwenyewe hutaandika uulivyoandika.
 
Hata kama ulikuwepo watu wanazungumzia utumwa katika kupanuka na kukua kwake. Utumwa katika udhalimu wake. Sio utumwa tu. Biashara ya utumwa kuvuka mabahari na udhalimu ulioambatana nao ndiyo uliozungumziwa. Jiepushe kutetea mambo usiyoyaelewa. Fika pale Elmina Ghana ujionee mwenyewe hutaandika uulivyoandika.
Sidhani kama utakua sahihi sana kumjibu mtoa hoja kwa maneno ya namna hiyo, eti kutetea mambo asiyoyaelewa. Jaribu basi kujibu hoja yake kwa uyakinifu na si kwa mhemko ili nasi wengine tupate faida.
 
Sidhani kama utakua sahihi sana kumjibu mtoa hoja kwa maneno ya namna hiyo, eti kutetea mambo asiyoyaelewa. Jaribu basi kujibu hoja yake kwa uyakinifu na si kwa mhemko ili nasi wengine tupate faida.

"Je ni kweli biashara ya utumwa ililetwa na waarabu na wazungu?"

Mtu anapouliza swali kwa mtindo huo tayari amekwisha jenga hoja mapema kuwa wanaosema ama walioandika kuwa mataifa hayo mawili yalileta biashara ya utumwa Africa Mashariki na Magharibi hawako sahihi wa kuwa utumwa ulikuwako tokea zamani. Amefanya utetezi tayari kwa kuukataa ukweli huo wenye ushahidi mwingi sana. Nilichokifanya mimi ni kwenda moja kwa moja katika mazingira ya mantiki yake na kuipinga papo hapo kwa kumkumbusha ushahidi mkubwa ambao upo mpaka leo kuwa Wazungu (Wareno na Wadachi) waliikuza biashara ya utumwa Afrika Magharibi. Ningeweza kufanya hivyo kwa Afrika Mashariki pia. Jibu langu ndani yake lilisisitiza kwa nguvu kuwa ni kweli na nikamshangaa kwa nini anautilia mashaka ukweli huo. Katika duru kama hizi mleta mada anapaswa kuikagua mada yake vya kutosha kabla ya kuitumbukiza kwenye kadamnasi ya fikra nyingi zilizo pevu. Umenilaumu kuwa nimehemuka kwa kuwa nimepinga vikali swali la jinsi hiyo. Wapo watu wengi tu bado wanamwona mtu mweusi kuwa ni mtumwa kwao na wale waliowafanya wenzao kuwa watumwa siku zote hujitetea kwa kusema "Mbona hata nanyi zamani mlichukuana watumwa?" Usinilaumu ndugu yangu najua ninachokisema. Swali kama hilo halileti faida yoyote kwetu kulijadili kwa sababu linasura ya kutaka kuufuta ukweli ambao pande husika zingine zimeshindwa namna ya kuleta matengenezo. Mwaka 2014 kule Accra, Ghana katika pwani ya Elmina ujumbe toka Liverpool Uingereza ullifika ili kufanya matengenezo ya jinsi hiyo. Waungwana waliombana radhi kwa udhalimu ule uliofanyika Afrika Magharibi enzi hizo. Walifanya matengenezo. Hivyo basi badala ya kujaribu kulainisha makovu ya biashara ya utumwa Africa (uliovuka mabahari) wapenda maendeleo wangezungumzia haja ya kuleta matengenezo ya uharibifu wa kibinadamu ullioletwa na biashara ya utumwa uliovuka mabahari.
 
Hapo umeongelea kuhusu mateka wa vita na si biashara ya utumwa, waliwateka watu ili wawafanyie kazi na si kuwauza, wangoni hao hao walitekwa na wahehe wakawafanyia kazi pia ndo maana jeshi la wahehe lilipata siri ya mbinu za wangoni, mtindo huu wa kuwateka watu wakati wa vita ndio umeleta mapinduzi makubwa ya technolojia duniani, baada ya vita vya pili urusi na marekani iliwateka wanasayansi wengi wa kijerumani ambao walienda kutoa siri nyingi za technolojia ya mjerumani na kwasababu haya mataifa yalikuwa na uwezo yakavhukua zile siri yakaweka kwenye utekelezaji yakafanikiwa.....kwahiyo wewe unaongelea mateka wa vita si biashara ya utumwa
 
Habari wana jf.
Natumaini ni wazima wa afya.
Niende moja kwa moja kwenye mada.

Biashara ya utumwa ni biashara inayohusiana na kuuza na kununuwa binadamu sokoni kama bidhaa nyingine.

Kuna maandiko mbalimbali ya kihistoria yanaelezea biashara ya utumwa barani Afrika huku muendeshaji mkuu wa biashara hiyo walikuwa ni wageni(waarabu na wazungu)From outside of Afrika.Hii ni biashara ambayo si kupoteza utu wa mwafrika lakini ilidumaza maendeleo ya Bara la Afrika.

Richa ya kushamiri kwa bishara hii ya utumwa ndani ya Afrika lakini ilikuwa abolished mwaka 1873. Lakini kuna ukweli ambao hausemwi au wana historia wanajaribu kuuficha kuhusu biashara hii ya utumwa.

Je ni kweli biashara ya utumwa ililetwa na waarabu na wazungu?
Hili ni swali ambalo tunatakiwa kuifanyia uchunguzi na kulipatia majibu.

8b02097de21aaefd718e6d4a5fb60018.jpg


Kuna baadhi ya maandiko yanasema kuwa biashara ya utumwa iikuwepo karne nyingi sana kabla ya kuja kwa wageni kutoka nje ya Afrika. Unapojaribu kusoma kuhusu Ngoni Migration utagunduwa kuna vitu vingi sana vimeficha kuhusu historia hii ya Wangoni hadi kuja Tanzania.

Mfano wangoni walipigana vita mbalimbali dhidi ya makabila wapinzani lakini walipokuwa wanawashinda waliwakamata mateka na kuwachukuwa utumwani(only fittest shall rule). Lakini historia haisemi kuwa kuna utumwa ulikuwepo kabla ya kuja kwa wakoloni.

8b2d485fbed46719e63af2e371efe136.jpg
Hawa ni baadhi ya watumwa walichukuliwa na Waafrika wenzao.
1419b60491d6ec65572bb1cef5ffb123.jpg
Wana historia kuna faida gani kuficha hii historia ya utumwa kabla ya kuja kwa wakoloni,Je kwanini tuwalaumu wageni kwa kuendesha biashara hii wakati wa Afrika wenyewe walichukuana utumwani.

Naomba kuwasilisha
Aisee kumbe bure kabisa wanatuongopea!!!!!
 
Back
Top Bottom