Ukubwa wa pua.........

ha ha ha, jamani wote tumeumbwa kwa sura na mfano wa Muumba ati.
mwenzangu huko ulikokuwa jana usirudi tena, maana duh...........!!!!!!!!!!
 
dah jamaa ana ngoma 52" flat skrini. itakuwa hata harufu ya kikwapa cha jirani jamaa anaiskia. fulu mnuso magnet.
 
Ukiwa na pua kama hii waweza nusa harufu ya pilau mtaaa wa saba!
 
Jamani huu sasa ulemavu, nasikia huyu jamaa kwao ndo anaonekana kuwa na pua ndogo!
 
Majaaliwa tu hayo....mbona mtu akiwa na nanii kuubwa anaona fahari! Japo wengine ukimsifia nani yako kubwa nakasirika anataka aambiwe ndogo....mimi nachanganyikiwa, wengine vikubwa wanapenda wengine wanapenda vidogo, hata kama yeye ni mkubwa!
 
Duuuh!!! kama haijawa doctored, basi jamaa amejaali!!!
 
Angeweza kupunguza kipande kidogo kutoka kwenye pua yake akaongezea kwenye sikio lake la kulia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…