Pluto sio sayariPluto ni sayari au sio sayari
Sasa sisi tuliosoma enzi za mwalimu tuliambiwa pluto ni sayariPluto sio sayari
Sayari no lazima iwe na sifa hizi tatu:
1. Umbo la tufe (umbo duara dufu kama chungwa) pluto✅✅
2.Lazima izunguke jua, na sio sayari nyingine, Hapo pia Pluto✅✅
3. Lazima njia yake iwe safi, yaani isiwe miongoni mwa magimba mengi kwenye njia moja kuzunguka jua, Hapo pluto ❌❌❌
Ni kwenye hiyo sifa ya tatu ambapo Pluto inafeli kuwa Sayari
UZuri kila jambo kwenye sayansi haliwezi kuandikwa hadi kuwe na ushahidi, so kila uchokiona kwenye sayansi kinakuwa na ushahidi wa nadharia na mazingira broNani alienda huko kipima hiyo galaxy ndio akagundu kuwa ni kubwa kuliko Dunia? Acheni kuparamia nature msije potea kama Juma Nature
Mkuu Kama utaitaji company Kwa trip yako ya marsNdiyo jua ni kubwa kuliko dunia.maana Kwa umbali lilipo jua Hadi Dunia ni km150 milioni lakini Bado tunaliona ni kubwa.Tofauti na Dunia.Hili limedhibitishwa na wanaanga ambao wameweza kufika sayari ya mars pamoja na Mimi nitadhibitisha mwaka 2027 nitakapo enda huko mars.maana wao kadri wanavyopaa kwenda juu ndiyo Dunia Inaonekana ndogo zaidi Hadi kufikia kama kufanana na punje ya mchanga
Muambie sayansi inabadilika, sio kama msahafu.Nimesikitika sana kwamba miaka yote nimefundishwa Pluto ni sayari, halafu leo wanangu wanafundishwa Pluto siyo sayari na sayari zinaishia 8 tu.
Nyie Wanasayansi uchwara mmesababisha wanangu watuone mimi na Walimu wangu ni vilaza. Pumbavu zenu sana.
NdiyoIvi hata kwa macho tu ya kawaida toka kesho nje alafu angalia jua... kweli lina ukubwa wa mamilioni ya size kuliko Dunia ?
Ni sahihi kabisa mkuu!!Sasa sisi tuliosoma enzi za mwalimu tuliambiwa pluto ni sayari
Mkuu sio kweli huo umali wa jua hadi dunia ni zaidi maradufuMkuu Kama utaitaji company Kwa trip yako ya mars
Huo ndio umbali.lakini huo umekadriwa tu na wana sayansi,hovyo inawezekana ikazidi kidogo milioni 150 km au ukapungua kidogo.Vitabu vingi vya geography Vimeandika Hivyo.Mkuu sio kweli huo umali wa jua hadi dunia ni zaidi maradufu
Mkuu sio kweli huo umali wa jua hadi dunia ni zaidi maradufu