Siku sio nyingi utaanza kutumia internet ya satellite huku unakenua.Haya yote yana tija gani kwenye maisha ya kawaida? Mliosoma Jogorafia mmesoma vitu vya kipumbavu!
Unajua lipo umbali wa mile ngapi jutoka duniani?Ivi hata kwa macho tu ya kawaida toka kesho nje alafu angalia jua... kweli lina ukubwa wa mamilioni ya size kuliko Dunia ?
Isingekuwepo hiyo unadhani kungekuwa na ndege?Haya yote yana tija gani kwenye maisha ya kawaida? Mliosoma Jogorafia mmesoma vitu vya kipumbavu!
Nani alienda huko kipima hiyo galaxy ndio akagundu kuwa ni kubwa kuliko Dunia? Acheni kuparamia nature msije potea kama Juma NatureIli Dunia ifanane kwa ukubwa na Jua, zaidi ya Dunia milioni moja zitahitajika kuungana ili kufikia saizi kamili ya Jua.
Ikiwa umelipunguza Jua kutoka kwenye saizi yake halisi hadi kufikia saizi ya jicho la binadamu, basi ukubwa wa Galaxy yetu, Milky Way, utakuwa sawa na Dunia.
Mwanga unaotoka kwenye galaxy iliyo karibu zaidi nasi, Andromeda, unachukua takriban miaka milioni 2.5 kufika duniani. Hii ina maana kwamba mwanga tunaouona leo kutoka Andromeda ulianza safari yake miaka milioni 2.5 iliyopita!
Kwa upande mwingine, mwanga unaotoka kwenye Jua unachukua takriban dakika 8 tu kufika duniani.
Pamoja na umbali wake mkubwa, Andromeda bado ni kubwa sana. Ikiwa utachukua saizi ya Jua jinsi linavyoonekana kwa jicho la kawaida angani, basi Galaxy ya Andromeda itqkuwa mara sita kubwa zaidi ya Jua! Galaxies ni kubwa sana!
Ni sahihi kuona hivyo kwa sababu Wazungu wameweza kutengeneza ndege, satellites na rockets na hata kufika mwezini wakati kuna Waafrika bado wanatumia punda kama usafiri.Wazungu wanatuongopea sana kuhusu Universe.
Milk way mara galaxies ,mara kwenye universe kuna galaxy kibao....sisi tupo kwenye milk way ,mara kuna majua kibao , mara nyota nazo ni jua...mara jua ni nyota.
Inawezekana wanatuongopea ila kwa jinsi sisi africa tulivyo nyumbu na magoigoi ,utaweza vipi kujitetea?Wazungu wanatuongopea sana kuhusu Universe.
Milk way mara galaxies ,mara kwenye universe kuna galaxy kibao....sisi tupo kwenye milk way ,mara kuna majua kibao , mara nyota nazo ni jua...mara jua ni nyota.
Wazungu ni kama aliens kutoka sayari nyingine.Km mwanga wake unachukua miaka mamilion hvo wao walijuaje km iko hvo?mambo mengne nikulishana matango pori tu
Uwepo wa milima na mabonde unathibitisha hilo... kwenye flati pekee ndo unaweza kuona mlima au bonde...Thibitisha,
Umeelezea kwa mifano mizuri sana. Njia sahihi ya kumfanya mtu aelewe anachoambiwa. Kuna kitabu nilisoma, profesa wa mahesabu alikwenda kijijini. Wananchi siyo wasomi na ukiwaambia ni profesa wa mahesabu hawawezi kujua ni mtu wa aina gani. Basi ikabidi aliyemtambulisha aseme ''huyu ni bingwa wa mahesabu, anaweza kuhesabu majani yote ya miembe iliyo hapa kijijini''. Watu wakashangaa 'wahaaa, kweli ni bingwa''Ili Dunia ifanane kwa ukubwa na Jua, zaidi ya Dunia milioni moja zitahitajika kuungana ili kufikia saizi kamili ya Jua.
Ikiwa umelipunguza Jua kutoka kwenye saizi yake halisi hadi kufikia saizi ya jicho la binadamu, basi ukubwa wa Galaxy yetu, Milky Way, utakuwa sawa na Dunia.
Mwanga unaotoka kwenye galaxy iliyo karibu zaidi nasi, Andromeda, unachukua takriban miaka milioni 2.5 kufika duniani. Hii ina maana kwamba mwanga tunaouona leo kutoka Andromeda ulianza safari yake miaka milioni 2.5 iliyopita!
Kwa upande mwingine, mwanga unaotoka kwenye Jua unachukua takriban dakika 8 tu kufika duniani.
Pamoja na umbali wake mkubwa, Andromeda bado ni kubwa sana. Ikiwa utachukua saizi ya Jua jinsi linavyoonekana kwa jicho la kawaida angani, basi Galaxy ya Andromeda itqkuwa mara sita kubwa zaidi ya Jua! Galaxies ni kubwa sana!
Umeandika pumba tupu bwana mdogo.Uwepo wa milima na mabonde unathibitisha hilo... kwenye flati pekee ndo unaweza kuona mlima au bonde...
Ulifundishwa sayari ziko 7?Sayansi ya anga ni ngumu sana. Kuna mambo ya kufikirika mengi.
ILa kadri miaka inavyoenda na technolojia kukua tunagundua baadhi ya mambo yaliyogunduliwa kale si sahii.
Katika zile sayari 7 nilizofundishwa miaka ile nadhani kuna baadhi zishatoka kwenye sifa ya sayari. Mf. Pluto.
Yaani ndiyo watudanganye kwamba dunia sijui iko kama punje ya ulezi ukiwa wapi?Isingekuwepo hiyo unadhani kungekuwa na ndege?
Kama pumba chukua basi kalishe kuku au nguruwe...Umeandika pumba tupu bwana mdogo.
Ndiyo jua ni kubwa kuliko dunia.maana Kwa umbali lilipo jua Hadi Dunia ni km150 milioni lakini Bado tunaliona ni kubwa.Tofauti na Dunia.Hili limedhibitishwa na wanaanga ambao wameweza kufika sayari ya mars pamoja na Mimi nitadhibitisha mwaka 2027 nitakapo enda huko mars.maana wao kadri wanavyopaa kwenda juu ndiyo Dunia Inaonekana ndogo zaidi Hadi kufikia kama kufanana na punje ya mchangaIvi hata kwa macho tu ya kawaida toka kesho nje alafu angalia jua... kweli lina ukubwa wa mamilioni ya size kuliko Dunia ?