Ukoo wetu, sijui tunakwama wapi?

Ukoo wetu, sijui tunakwama wapi?

Hakuna anaemiliki hata nyumba 3

Hakuna ambae ukifika kwake ukitaka chakula chochote unaandaliwa hata bila kuona shemeji amekunja sura

Hakuna mwenye hata magari binafsi mawili

Hakuna hata anayemiliki kampuni

Hakuna hata anayemiliki lodge za kisasa mjini

Hakuna hata ambae safari za ulaya, America na Asia ni vitu vya kawaida

Hakuna ambae ukienda kwake unahisi uko likizo flani

@Hivi wakuu hawa watu wanaoexperince haya maisha walimpa Nini Mungu na wengine tunakwama wapi?

Life is too disgusting
When you feel you are just surviving while others are living
Nendeni kwa Yesu
 
Nyumba tatu zote za nini?Mtu anaweza kuwa na nyumba moja au asiwe nayo kabisa amepanga tuu na ana uhakika wa maisha mpaka kufa kwake, siyo wote wanafikiria kama wewe, kuna watu wanapanga apartment dola 2000 kwa mwezi na hawana nyumba
 
Hakuna anaemiliki hata nyumba 3

Hakuna ambae ukifika kwake ukitaka chakula chochote unaandaliwa hata bila kuona shemeji amekunja sura

Hakuna mwenye hata magari binafsi mawili

Hakuna hata anayemiliki kampuni

Hakuna hata anayemiliki lodge za kisasa mjini

Hakuna hata ambae safari za ulaya, America na Asia ni vitu vya kawaida

Hakuna ambae ukienda kwake unahisi uko likizo flani

@Hivi wakuu hawa watu wanaoexperince haya maisha walimpa Nini Mungu na wengine tunakwama wapi?

Life is too disgusting
When you feel you are just surviving while others are living
umeongea kwa uchungu daaah pole sana
 
Mkuu ni kawaida tu hiyo haswa Kama umezaliwa katika sehemu ambazo kwao elimu na biashara vilikuwa ni vitu extra.

Mimi moja ya wazazi, kwao walikuwa wanakaa nyumba ya tope na maezekeo ya kizamani. Mvua ikinyesha ni kisanga ila Ni mtu mmoja tu ndiye aliyevunja hiyo laana ya umaskini hadi kizazi chetu tuna unafuu. Kuliona Hilo suala Kama Ni laana bhasi jua ndio jukumu lako kulibadilisha.. Historia hubadilishwa tu
 
Hakuna anaemiliki hata nyumba 3

Hakuna ambae ukifika kwake ukitaka chakula chochote unaandaliwa hata bila kuona shemeji amekunja sura

Hakuna mwenye hata magari binafsi mawili

Hakuna hata anayemiliki kampuni

Hakuna hata anayemiliki lodge za kisasa mjini

Hakuna hata ambae safari za ulaya, America na Asia ni vitu vya kawaida

Hakuna ambae ukienda kwake unahisi uko likizo flani

@Hivi wakuu hawa watu wanaoexperince haya maisha walimpa Nini Mungu na wengine tunakwama wapi?

Life is too disgusting
When you feel you are just surviving while others are living
Anza wewe kuwa na yote hayo. Kinakushinda nini?
 
Back
Top Bottom