Ukonga Kumekucha: Waendesha bodaboda wamtimua Waitara

Ukonga Kumekucha: Waendesha bodaboda wamtimua Waitara

Waitara ameshashindwa uchaguzi. Bila policcm atapata shida sana kutetea Kiti chake
 
huko ukonga mjiandae polis wote wa dar ffu kujaa huko kuhakikkisha mh. waitara anaibuka kidedea. pia mawakala wataingia vituoni baada ya saa 2
 
Ukonga liwe jimbo la mfano. Ikiwezekana watu wote wanaopenda demokrasia ya kweli na wenye uzalendo kwa Taifa letu, twende Ukonga siku ya uchaguzi kwaajili ya kulinda demokrasia. Tukiendelea kuogopa, hii biashara ya kijinga ya kununua viongozi itaendelea. Ni lazima ikomeshwe.

Kama Waitara hataki kutumikia wananchi, akafanye kazi zake binafsi lakini asiwachezee akili wananchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Una hoja hasa !
 
huko ukonga mjiandae polis wote wa dar ffu kujaa huko kuhakikkisha mh. waitara anaibuka kidedea. pia mawakala wataingia vituoni baada ya saa 2
Kila polisi au askari yeyote wa nchi hii ana ndugu yake Ukonga
 
Amekimbizwa mithili ya kibaka aliyekwapua simu , amekabiliwa na tuhuma za usaliti , hii ni baada ya kwenda kuomba kura kijiwe cha bodaboda .View attachment 852851
Ninachoona hapo ni kuwa hao bodaboda walikuwa hawajapewa pesa,amini kampeni zikiendelea utaona wanambeba kwenye pikipiki na bendera za CCM. Nishashiriki sana kampeni za CCM kipindi cha nyuma,watamtafuta mwenyekiti wa waendesha bodaboda na kumpa pesa za kutosha na baadae atapewa jukumu la kuwaunganisha bodaboda na CCM baadae mtashangaa wakiiunga mkono CCM na watakuwa tayari hata kuwashambulia. CHADEMA ina madhaifu sana katika kupiga kampeni ikitarajia kampeni za kujaza mikutano. Nina meeengi sana ya kuwaambia CHADEMA kwa nini hata madiwani wenu wananunulika kiurahisi as kabla sijaachana na siasa za TZ na kuzamia ng'ambo nimeshiriki sana nikitarajia Lowassa atakuwa raisi kupitia CCM.
 
Ninachoona hapo ni kuwa hao bodaboda walikuwa hawajapewa pesa,amini kampeni zikiendelea utaona wanambeba kwenye pikipiki na bendera za CCM. Nishashiriki sana kampeni za CCM kipindi cha nyuma,watamtafuta mwenyekiti wa waendesha bodaboda na kumpa pesa za kutosha na baadae atapewa jukumu la kuwaunganisha bodaboda na CCM baadae mtashangaa wakiiunga mkono CCM na watakuwa tayari hata kuwashambulia. CHADEMA ina madhaifu sana katika kupiga kampeni ikitarajia kampeni za kujaza mikutano. Nina meeengi sana ya kuwaambia CHADEMA kwa nini hata madiwani wenu wananunulika kiurahisi as kabla sijaachana na siasa za TZ na kuzamia ng'ambo nimeshiriki sana nikitarajia Lowassa atakuwa raisi kupitia CCM.
Kwa taarifa tulizonazo mpaka muda huu ni kwamba Waitara ametimuliwa , sasa kama rushwa itatembea basi sawa bali tunachofahamu ni kwamba hela yake italiwa bure tu , tegemeo la ccm acha liendelee kuwa polisi na tume , wananchi wamekwisha ikataa .
 
Mytake - Usaliti ni laana .
Ndugu nimekuwa nafuatilia sana post zako na haina shaka wewe ni mwanachama wa CHADEMA. Takupa udhaifu mmoja hai mmoja unaokikumba chama chenu na amini kabisa ninachokuambia.

Unakumbuka katika mkoa wa Shinyanga halmashauri ya Msalala mlikuwa na diwani mmoja tu wa CHADEMA aliyekuwa kata ya BUGARAMA BULYANHULU, huyu pamoja na kuwa peke yake kukibeba chama chenu si Mbowe wala kiongozi yoyote aliyewahi kwenda japo kumsikiliza changamoto zake za kisiasa hata zile za kifamilia (uchumi) ukizingatia alikuwa peke yake na hivyo chama kingemuona kama mtu muhimu na sioni sababu hata kwa nini viongozi wote wangelikuja hata siku moja kumsalimia na kumtia nguvu lkn hakuna lolote lililofanyika hadi akazidiwa nguvu na kuamua kuunga juhudi za Jiwe. Si hivyo tu soon hata mwenyekiti wa kijiji cha Kakola ulipo mgodi wa Bulyanhulu atajiunga hivi karibuni maana hana msaada wowote wa chama isipokuwa viongozi wako Dar tu wanakula bata. CHADEMA ya sasa ni dhaifu mno na inaishi kwa kulalamika tu kwani kila siku napata updates za kinachoendelea. Amini Waitara atapita kwa kura nyingi tu kwani CCM haitegemei kura za majukwaani yenyewe inazifuata nyumba kwa nyumba kupitia mabalozi
 
Back
Top Bottom