Haraka ya nini ?Nikajua nakutana na video ya mwita aki 'usain bolt' boda boda.
Kumbe holaas.
Ni uhabithi kuchokozwa ukajikunyata, mbona huo ni mwanzo tu.Unashabikia Vurugu, kibao kikigeuka wakishughulikiwa ipasavyo zinakuja thread Za kusema wanaonewa
Tuliza masaburi wewe.Unashabikia Vurugu, kibao kikigeuka wakishughulikiwa ipasavyo zinakuja thread Za kusema wanaonewa
Bwana wako huyo.Kufukuza mfukuzeni lakini kwenye sanduku la ndio mtashangaaa......Mshindi wa jimbo la Ukonga ni Bw....
Hivi yule wa Kinondoni ile hedhi ya Marathon ilikoma?Kama haki awamu hii ikisimama imara na kutenda haki kwa mujibu wa sheria na za nchi na pia kuonyesha jamii kuwa viongozi na watawala wetu wanahofu ya Mungu kulingana na imani zetu za dini za asili na hata za kikristo na kiislam. Naamini tutapata viongozi wema na wa kweli.
Kiongozi anayepatikana kwa hila ya wazi mpaka yeye mwenyewe akajua amepatikana kwa hila na kwa uchafu wa wizi na kumwaga damu za watu hawezi kuwa mtetezi wa wananchi zaidi ya mteteze wa serikali iliyojaa watu walioshiba kodi za wanyonge.
Wapenda haki wote wangejitokeza kufuatilia yale yatakayojiri Ukonga na Monduli siku ya uchaguzi. Kuanzia Mabalozi ,viongozi wa dini na watetezi wa haki za binadamu ili tujue kuwa nani muongo kati ya wale wanaolalamika kufanyiwa dhulma na wale wanaotetea vitendo vya vinavyosadikiwa na kuitwa ni vya hujuma na dhulma.
Waitara nimefuatilia Kauli zake na kampeni zake na wapambe wake nikagundua kuwa ni mtu anayetegemea kubebwa jambo ambalo halina tija kwa Taifa.
Anadanganya watu kuwa Bila CCM hakuna maendeleo na kusahau kuwa Makada wa CCM ndio wanaokimbilia misamaha ya kodi na kukiuka haki ya kuwapelekea watanzania wote maendeleo kwani wote wanastahili mana wanalipa kodi.
Kodi ni kwa maendeleo ya wote sio kwa sababu ya CCM pekee . Tena CCM wakae kimya mana wao ndio wanaozitumbua kodi za nchi hii kwa kuwa wamejaa kwenye vyeo vikubwa vyenye matumizi makubwa ya fedha za walipa kodi. Wawapelekee wananchi wote maji,afya,elimu, umeme na barabara bila kujali vyama vingenevyo maeneo yasiyo na CCM wasipeleke wakurugenzi na maDC kwani wanapelekwa kufanya kwa ajili ya kusimamia maendeleo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuondolee umbwiga wako hapa, hilo zigo lenu la mavi bakini nalo wenyewe, kama mumemchoka mpigeni kipapai arudi kolomije.Siku Makonda akihamia chadema atapata mapokezi makubwa
na kusafishwa kwa kila aina ya Omo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kufuzwa mahali usipohitajika ni vurugu?Unashabikia Vurugu, kibao kikigeuka wakishughulikiwa ipasavyo zinakuja thread Za kusema wanaonewa
Kwi! Kwi! Kwi!
Tena mbaya sana!!Mytake - Usaliti ni laana .