Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,882
- 38,513
Dogo.Kula kitimoto kutwa X3
Dogo.Kula kitimoto kutwa X3
Hapana sio Mimi wameeditHivi kumbe una maneno hiviππ
Cbinadamu hatuna jemaUjinga wa demu ukishanenepa na kitambi ataanza kukuzodoa hata hupendezi kama zamani.π€£π€£π€£
Ni sawa na mimi nikinyoa naonekana super HB ila mamsap ananiambia nakuwa na sura ya kitoto sana. Naamua kufuga nywele zikiwa nyingi amaanza upo rough sana kama babu yani hata hupendezi πππ huoni vijana wenzio walivyo smart yani.
Hapo natamani kama nimpe tusi ila naamua tu kuwa jentromeni.
Ngoja nije kwanza tuongee.Hapana sio Mimi wameedit
π€£π€£Mwambie troublemaker namsalimia.Ujinga wa demu ukishanenepa na kitambi ataanza kukuzodoa hata hupendezi kama zamani.π€£π€£π€£
Ni sawa na mimi nikinyoa naonekana super HB ila mamsap ananiambia nakuwa na sura ya kitoto sana. Naamua kufuga nywele zikiwa nyingi amaanza upo rough sana kama babu yani hata hupendezi πππ huoni vijana wenzio walivyo smart yani.
Hapo natamani kama nimpe tusi ila naamua tu kuwa jentromeni.
Mkuu una mwili mzuri wewe basi tu hujajua.
π€£π€£π€£π€£π€£ ntamfikishia salamuπ€£π€£Mwambie troublemaker namsalimia.
Mkuu daah Hawa wanawake Ni balaaa nikinyoa nywele utasikia mmhhh hata hujapendeza bichwa baya nikianza kufunga mwele utasikia mhhhh yaan kama tapeli flani hv sijui wanatakaga Nini haswaUjinga wa demu ukishanenepa na kitambi ataanza kukuzodoa hata hupendezi kama zamani.
Ni sawa na mimi nikinyoa naonekana super HB ila mamsap ananiambia nakuwa na sura ya kitoto sana. Naamua kufuga nywele zikiwa nyingi amaanza upo rough sana kama babu yani hata hupendezi huoni vijana wenzio walivyo smart yani.
Hapo natamani kama nimpe tusi ila naamua tu kuwa jentromeni.
π€π€Ana mwili mzuri sana me napenda wembamba
Akili za kisenge...hizi punguza matusi ya rejareja phara weweJiamini ..wewe unaonekana ata ukiambiwa umwagiwe sperms ndo unenepe na utakubari
Mkuu acha kudreamatise kwenye issue ya msingiUjinga wa demu ukishanenepa na kitambi ataanza kukuzodoa hata hupendezi kama zamani.
Ni sawa na mimi nikinyoa naonekana super HB ila mamsap ananiambia nakuwa na sura ya kitoto sana. Naamua kufuga nywele zikiwa nyingi amaanza upo rough sana kama babu yani hata hupendezi huoni vijana wenzio walivyo smart yani.
Hapo natamani kama nimpe tusi ila naamua tu kuwa jentromeni.
No dear agata mwili wangu na position yangu kimaisha ni two different things...!Mwili wake upo vizuri tu
Apana mkuu mwili wangu na postion yangu katika jamii, na kimaisha ni vitu viwili tofauti kabisaSasa mbona wewe mnene mkuu embu acha masihara halafu shukuru wewe ni mfupi. Sisi ni vimbau mbau halafu ni warefu.
Hahahaaa haa unazingua Unforgetable: Ni kweli mwili wangu ulikuwa smart sana kwa kipind hiko nikiwa katika maisha hayo ya favourite yake ila kwa sasa mwili wangu na postion yangu ni vitu viwili visivyokaribiana hata kidogoHuu mwili mbona ndo wenyewe utakua hujapata wakuupetipeti...
πππππππππππππππππππππππππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Mkuu daah Hawa wanawake Ni balaaa nikinyoa nywele utasikia mmhhh hata hujapendeza bichwa baya nikianza kufunga mwele utasikia mhhhh yaan kama tapeli flani hv sijui wanatakaga Nini haswa
Utakua sh*ga wewe. namashaka na weweAkili za kisenge...hizi punguza matusi ya rejareja phara wewe
napenda nyama jaman but i hate my bodyUkitaka kupungua uzito ukitoa pombe na nyama kwenye ratiba yako umefanikiwa
ungeambatanisha bac japo na ka photo nyie vimbau mbau ndio ugonywa wangu ajabu ss nikimpta kimbau mbau anakuwa chibonge baada ya muda