agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,391
Una kg ngapiDuuuh pole sana.
Jikubali tu mkuu utakuwa na amani.
Una kg ngapi?Duuuh pole sana.
Jikubali tu mkuu utakuwa na amani.
Una kg ngapiDuuuh pole sana.
Jikubali tu mkuu utakuwa na amani.
Una kg ngapi?Duuuh pole sana.
Jikubali tu mkuu utakuwa na amani.
Ahsante mkuu ila kwa sasa nataman mwili flani wenye kitambi maana kila kitu kinanafasi yake kulingana na sehem uliyopo mwili wangu unaninyima michongo mingi kutokana na kutaminika kwa watu ninaotakiwa kufanya nao kaziUna mwili mzuri Sana boy hapo upeleke dojo tu upate stamina na nguvu za kutosha mwili usitake kunenepa Sana.
Na kushauliwa fanya BMI kwanza kisha ujue uko katika underweight,over weight, obesity
Ukipata majibu ndio utajua uanzie wapi mzee baba Ni ushaur tu.
52Una kg ngapi
Una kg ngapi?
Una mwili mzuri sana achana na uneneMimi huyooView attachment 1172843
Mkuu unaenda kushoto,kulia au wakata kona?Mimi huyooView attachment 1172843
Hapa unamtafutia na magonjwa tuWe kula vitu vya sukari na mafuta tu ila nyama ndio nzuri kwa kujaza misuli. Hakikisha hukosi bakuli ya supu ya ng'ombe deile.
Mchana ugali na nyama ya kitimoto roast.
Jioni kuku choma na chips zitakufaa sana mkuu. Huku ukisindikizia na malta.
Nakupa mwezi na nusu tu, ulete majibu hapa.
Weee Jamaa acha kumkufuru Mungu unawajua vimbaumbau wewe???? Mamaee mpaka misuli naiona unataka Ubonge upeleke wapi????? Sasa huo ulionao ndo mwili wa kiume labda kama demu wako kasema usiponenepa anakuacha Ukapagawaa ukaja mbiombio huku kuomba ushauri kwa kitu cha kijinga..Sipend hali ya umbaumbauView attachment 1172845
Sema mkuu Mkanda umetoboa tundu la mwisho kabisaa...!! Kuna waanaume wembamba nawajua wewe afadhali mara kumiWanaoitaji picha N.B mahitaji msaada sereously huu wembamba unaninyika michongoView attachment 1172849
watu wa jf mshaanza uchokozi wenu!Mkuu unaenda kushoto,kulia au wakata kona?
Hahaha tatizo bila kuridhika hunenepi, inabidi ukubaliane na hali ya maisha kwanza. Then unene utakuja tu.Huyu sharobaro ataweza kusindilia nyama kweli zaidi ya mishkaki minne
Akipata comment kama hizi kutoka kwa warembo wengi wa humu, bilashaka ataachana na mawazo ya kujinenepesha!Una mwili mzuri sana achana na unene
Vp mkuu ni mchongo gani hujapata kwasababu wewe ni mwembamba? Au kuna dem kakwambia una mkwaza kwa wembamba wako?Wanaoitaji picha N.B mahitaji msaada sereously huu wembamba unaninyika michongoView attachment 1172849
67 babeUna kg ngapi
Una kg ngapi?
HahaaaaAkipata comment kama hizi kutoka kwa warembo wengi wa humu, bilashaka ataachana na mawazo ya kujinenepesha!
Ole na wewe uje kuomba jinsi ya kunenepa humu ..67 babe
Akiwa na moyo wa kuridhika anapata body.Hapa unamtafutia na magonjwa tu