Ukombozi Tanzania Group

Ukombozitz

Member
Apr 20, 2012
15
3
Open Group mpya imefunguliwa facebook kwa jina la Ukombozi Tanzania. Unaruhusiwa kujoin pamoja na kuinvite watu mbalimbali kwenye group. Aim ni kuwa na kila mtanzania anayetumia mtandao wa internet awe kwenye hili group tayari kupashana habari pamoja na Kuikomboa nchi yetu. Ndio kwanza tumeanza kuchukua hatua sio kila siku maneno.. Jiunge na hiyo group sasa na unganisha na wenzako.


Ukombozi Tanzania Admin
 
HIZI NDIO HATUA TUNAZOTAKA!
FED UP BEING SCREWED LEFT RIGHT!
nGOJA NIJIUNGE sasa hv!
 
Back
Top Bottom