Kwetunikwetu
JF-Expert Member
- Dec 23, 2007
- 1,535
- 409
Lakini hiyo naona kama ni invoice sio receipt i.e. maelezo ya kukuhitaji kulipa, sio risiti ya malipo....! May be am wrong!
Copy ya kwanza haionekani vizuri tunaomba uiweke vizuri mkuu na ahsante sana kwa taarifa hizi
Lakini hiyo naona kama ni invoice sio receipt i.e. maelezo ya kukuhitaji kulipa, sio risiti ya malipo....! May be am wrong!
Duu Yarabi weeee....
Yaani juzijuzi tu nilisoma watu wakimsifu Kinana kuwa ni Kichwa saaana. Ila sasa naanza kupata wasiwasi maana kadakwa na tundu bovu kabisa la hizo Risiti. Wamekuwa wakidanganywa woote kuanzia Rais na sasa hadi Kinana.
Inaonekana waliposikia watashitakiwa, basi ndipo wakakurupuka kwenda kulipia hizo ndege na kuja na risiti kuonyesha uma. Ila wakasahau kuwa walitakiwa wazitofautishe kidogo na waangalie ipi inaanza na ipi imalize.
Hili la Meli wala msiwe na wasiwasi. Kama kweli anasaidia jamaa zake basi Museven atakuja sasa hivi kumchukua akasaidie uchunguzi huko Uganda. Akikoswakoswa na hilo basi ajiandae maana mwakani atapandishwa kizimbani kujibu mashtaka ya kuuza meno ya tembo. Hatutanunua hizi blaa blaa za kusema "yeye hajui nini kimo ndani".
Kuna picha aliweka Invisible ambazo zinaoneysha Waarabu wakiwa na Kinana wamekuja kuwinda. Mwenye nazo naomba tafadhali aziweke.
hii ndo people power, kakaNinadokezwa hapa kuwa kesi tofauti pia ya kuhusu meli ya Kinana (na pembe za ndovu) iko kwenye maandalizi ya kupelekwa mahakamani.
Mabibi na mabwana, jiandaeni na soda zenu za mirinda (wtf mnakunywa) na bia zenu za ndovu (kwa wale wenzangu wanywaji) kwani hii ngoma ndo mwanzo imeanza.
Mkuu Kwetunikwetu:
Taxi invoice - ni doc inayopatikana baada ya mpewa huduma/product kukubali kuwa huduma huduma/product ilitolewa na muda xyz. Kwahiyo taxi invoice zinatakiwa kuwa kwenye mtiririko sahihi wa tarehe/huduma/product!
Unless kuna afisa ugavi na mhasibu "mafisadi" there is no way taxi invoice kuwa back-dated!
Zimbabwe kulipotokea shida ya Petrol/diesel, ilianza kuwa kasheshe kubwa sana na Changudoa wakaweka hili tangazo:
Copy ya kwanza haionekani vizuri tunaomba uiweke vizuri mkuu na ahsante sana kwa taarifa hizi
Kwanza tujikumbushe kidogo yaliyotokea masaa 24 yaliyopita kwa mujibu wa mwanachama mwenzetu wa JF Nyambala:
Habari zilizonifikia sasa hivi ni kuwa, kundi la wanasheria na wapenda haki Tanzania linajiandaa kumshitaki kampeni meneja wa Kikwete (Kinana) na kampeni ya ccm kwa ujumla. Ukweli unazidi kudhihirika kuwa hizi risiti (invoice?) zimefojiwa na/au haziendani na ukweli wa kawaida wa uendeshaji na utunzaji wa mali za serikali.
More to come
See,
I told you guys.
Nashangaa sana, topic yangu na hii ya ndege ya serikali zina theme tofauti.
Anyway......ngoja niende nje nikalie.
HAhahahah nilijua hili mkuu wanachakachua MOD, huenda ikapotezwa kwa sababu yao yeyote ile, kufurahisha sijui nani!
hii kitu ilikuwa kwa tshs 15,000.00, sasa walipo shtuka kwamba hiyo ni hela taxi ubungo kariakoo, ndio wakazidi chakachua na kuandika kwa dollari ili tuone ni sawaPesa za mishahara hakuna ila ya kukodi ndege kwa salima kwa usd 15,000.00 zipo hata wahisani watatuelewa kweli? Hivi angepanda precision kwenda mwanza angebadilika nini? Huo sio ubadhirifu kweli wa mali ya umma, ccm hata wakisema hizo pesa sio za serikali, na pia si zao ni za wanachama ambao ni wananchi wanaoshindia mlo mmoja?ukweli utapatikana.
Naninachokiona hapa ni hati ya madai na sio risiti kwa kuwa risiti za serikali ni za rangi ya njano zinaitwa exchequre watuonyeshe hizo sio hizo za madai kwani deni pia waweza usilipe
Kaka hizo ni pesa za CCM na sio za Serikali, nyie CHADEMA kazi yenu kukosoa tu, majimbo mangapi mnayashikila na hakuna maendeleo yoyote?? Yani mnaboa kinoma, na mtachonga sana mwaka huu. Mambo ya hospitali wewe yanakuhusu nini?? Kama mna huruma sana kachukueni mapato ya Bilicanas pale kwa yule DJ wenu mnaemwita mwenyekiti mkasaidie hospitali...Sh#$%%^&n