Tsidikeu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 1,312
- 890
Umeuburudisha moyo wangu khasbuhi ya leo..Ng'ombe aliekatwa mkia katika ubora wake.. Kumbuka lakini ni mjusi tu ndie anaeota mkia baada ya kukatika, na sio ng'ombe.. Endelea kutetea kuminywa kwa demokrasia, kukamatwa ovyo kwa wapinzani na tuone kama mkia utaota huo..
Haya unayomsema nayo Lissu, ndio hayo uliyokuwa unayasema kwenye kampeni zako za kugombea ubunge jimbo la Segerea kwa tiketi ya Chadema, ukapigwa bao na sisiemu.. Wewe ni mnafiki wa kiwango cha makanikia..
Sent using Jamii Forums mobile app