USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Tulipofika kila kiongozi anajitetea kwa wananchi kuwa anaijenga upya taasisi aliyopewa (upuuzi mkubwa huu) kila mmoja ukimuuliza atakwambia maika saba ya Magufuli hakukuwa na lolote lililofanyika, mnatuona wajinga sio?
Makamba anajenga upya njia za umeme, Mchechu anajenga upya NHC, Zitto upya ACT Wazalendo, Chongolo anaijenga upya CCM, Samia anaijenga upya serikali na ikulu, hata wale ambao bado walikuwa na Magufuli wameondolewa ili waje wangine wajenge upya!
Kila anayeulizwa amefanya nini tangu ateuliwe anasema alikuta hali mbaya sana kuanzia Rais Samia, mawaziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya na taasisi, uongo mkubwa sana huu.
Wabongo wanapenda umbea na Majungu jambo alisikia analibeba moja kwa moja kwenye mitandao ila ukimuuliza swali utaishia kutukanwa tu maana hakuna analojua, muulize ushahidi juu ya tuhuma za Magufuli abakia alisikia, aliambiwa, watu wanasemaga, kuna story hiyo, kuna mwana alimwambia, alisoma facebook na instagram, kuna mshua alimtonya, kuna demu wa town alimsikia, kuna wana wanasema, kuna ubuyu alilishwa, kiufupi hana anachojua zaidi ya Majungu tu.
Walikuwa chini ya Magufuli wapi kama waliagizwa waseme, wakamatwe wapelekwe mahakamani maana wapo mpo nao serikalini mnashi nao, tuache yule mzee apumzike kwa amani.
USSR
Makamba anajenga upya njia za umeme, Mchechu anajenga upya NHC, Zitto upya ACT Wazalendo, Chongolo anaijenga upya CCM, Samia anaijenga upya serikali na ikulu, hata wale ambao bado walikuwa na Magufuli wameondolewa ili waje wangine wajenge upya!
Kila anayeulizwa amefanya nini tangu ateuliwe anasema alikuta hali mbaya sana kuanzia Rais Samia, mawaziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya na taasisi, uongo mkubwa sana huu.
Wabongo wanapenda umbea na Majungu jambo alisikia analibeba moja kwa moja kwenye mitandao ila ukimuuliza swali utaishia kutukanwa tu maana hakuna analojua, muulize ushahidi juu ya tuhuma za Magufuli abakia alisikia, aliambiwa, watu wanasemaga, kuna story hiyo, kuna mwana alimwambia, alisoma facebook na instagram, kuna mshua alimtonya, kuna demu wa town alimsikia, kuna wana wanasema, kuna ubuyu alilishwa, kiufupi hana anachojua zaidi ya Majungu tu.
Walikuwa chini ya Magufuli wapi kama waliagizwa waseme, wakamatwe wapelekwe mahakamani maana wapo mpo nao serikalini mnashi nao, tuache yule mzee apumzike kwa amani.
USSR