Uko wapi pesa, nakuita pesa

Uko wapi pesa, nakuita pesa

wakwetu05

Member
Joined
Mar 28, 2025
Posts
75
Reaction score
124
Habarini humu ndani

dharau, kejeli na matusi yamekua nimengi sana mtaani. nimeamua kuzima zote kuwasha moja tu.

Kelele zimekua ninyingi sana mtaani kuhusu kupata utajiri kwanjia ya kiganga (nazo pia zimekua ngumu kupata)

NAHITAJI CONNECTION MOJA TU YAUHAKIKA YAKUNIFANYA NIPATE HIZO PESA ZAMOTO NIMECHOKA UMASKINI
 
Ndivyo hali ya konnection za sasa ilivyo
20250801_200153.jpg
 
Habarini humu ndani

dharau, kejeli na matusi yamekua nimengi sana mtaani. nimeamua kuzima zote kuwasha moja tu.
Kelele zimekua ninyingi sana mtaani kuhusu kupata utajiri kwanjia ya kiganga (nazo pia zimekua ngumu kupata)

NAHITAJI CONNECTION MOJA TU YAUHAKIKA YAKUNIFANYA NIPATE HIZO PESA ZAMOTO NIMECHOKA UMASKINI
hiyo connection yenyewe ni pesa na watakwenda mbali na kukuambia toa pesa upate..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom