kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,506
- 18,872
msaad uanze saivi..wa kumtafta pliiizzz
nimeshaanza bidii...
msaad uanze saivi..wa kumtafta pliiizzz
asante sana
natumaini atapatikana
bado hajapatikana jaman
Hivi mumeo alikuwa ni m-hutu au m-tusi?? Isije ikawa ni kati ya wale waliorudisha majeshi Rwanda!
Toka uniage unaenda kwa safari ya kikazi,ni miezi imepita:
Uko wapi nikufate
Niambie nipajue
Angalau nikuone
Roho yangu itulie..
Nakukosa sana mwananthropolojia wangu..
Toka uniage unaenda kwa safari ya kikazi,ni miezi imepita:
Uko wapi nikufate
Niambie nipajue
Angalau nikuone
Roho yangu itulie..
Nakukosa sana mwananthropolojia wangu..
Baba V anazo taarifa hizi?!
Taarifa ninazo sema tu mimisa mbishi na hataki kuelewa. Tangu awali nilimpa angalizo akang'ang'ania ndoa nikasema haya bwana wasijepata pa kuanzia akina Nivea kuwa mwenyekiti sijui nini na nini... yule mwananthropolojia ni em twente thrii yule.. tena naskia ni binamu yake na yule kimbaumbau I WILL HIT YOU..