Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 15,797
- 28,467
Mwanamke ndio anazaa nje ya ndoa,uliwahi kusikia wapi Mwanaume anazaa nje ye ndoa??.Kwahiyo ukizaa nje ya ndoa na hutaki mtoto ajulikane ni wako unafanyaje?
Hata Serikali ikiwatambus watoto wako hawakuulizi huyu ni wa ndani au nje ya ndoa,cha msingi umesems ni wako basi Serikali nayo itamutambua hivyo.