Ukizaa na mume wa mtu funga domo lako

Huyo jamaa ni wewe si useme Tu,
Alafu Hana uwezo wa kuoa wake wawili ila anauwezo wa kutembea na wanawake wawili Tena kavu

Kwamba kutembea na wanawake wawili kuna ugumu wowote kwa me? Unaweza kutembea na wanawake kumi na usiweze(usiwe na uwezo) wa kuoa hata mmoja.
 
Zaa hata ujaze bus kabla hujanioa wala sitajali kama niliona unanifaa na watoto aitakiwa na shida nao kikubwa uweze kuwatunza. Ila baada ya ndoa ukizaa siwezi kulea mtoto wa usaliti wako kwa 100% hata mama yake akifa ukakabidhiwa sihusiki kwa chochote hata kumkorogea glucose akiugua. Ukatike wewe unogewe wewe majukumu tusaidiane never.
Uzuri hubby wangu anajua hili na likitikea atajua mwenyewe maana na mapenzi yatakuwa yameyumba tutaishi kwa kukomoana tu
 
Zaa hata ujaze bus kabla hujanioa wala sitajali kama niliona unanifaa na watoto aitakiwa na shida nao kikubwa uweze kuwatunza. Ila baada ya ndoa ukizaa siwezi kulea mtoto wa usaliti wako kwa 100% hata mama yake akifa ukakabidhiwa sihusiki kwa chochote hata kumkorogea glucose akiugua. Ukatike wewe unogewe wewe majukumu tusaidiane never.
Uzuri hubby wangu anajua hili na likitikea atajua mwenyewe maana na mapenzi yatakuwa yameyumba tutaishi kwa kukomoana tu
Ila ukipigwa mimba nje huko na Njemba fulani,sawa tu kumpakazia mumeo
 
Katika pitapita huku na kule jamaa akajikuta amezaa na mchepuko, jamaa akamwambia mtu wake"nitamjengea nyumba mtoto tutapangisha ili pesa za matumizi na mambo mengine zitoke huko na pia huo utakuwa ndio urithi wake, kwasababu mimi nina familia sitoweza kumtambulisha huyo mtoto kwenye familia yangu, nitasababisha misukomisuko kwenye ndoa yangu.

Mchepuko ukashukuru sana na ukaahidi kutunza siri maisha yote,nyumba ikajengwa wakapata mpangaji l50K kwa mwezi, wakakubaliana hiyo pesa ya pango iwekwe benki kwa ajii ya kumsomeshea mtoto atakapokuwa amefikisha umri wa kuanza shule.

Kwahiyo jamaa akawa anatoa pesa za matumizi kila mwezi,yule bibie akanogewa na zile huduma akajisahau na kujihisi naye ni mke wa jamaa, akaanza"Hooo huyu ni mtoto wa fulani hoooo baba yake anamjali sana kamjengea nyumba maneno kedekede.

Hizi habari zikamfikia mke wa jamaa ,ugomvi mkubwa ndani ya nyumba, ikabidi Yf apeleke mashtka kwa wakweze kikao cha usuluhishi kikakaa Jamaa mbele ya wazazi wake na nduguze akakiri mtoto ni wake na nyumba kamjengea kweli, kikao kikaamua mtoto atambulishwe rasmi kwenye familia na nyumba aliyojengewa itakuwa ya familia nzima, mkewe naye akawa tayari kumlea mtoto wa mumewe bila ubaguzi Ila tu mumewe amhakikishie kutoendelea tena na mahusiano na mchepuko, jamaa akafanya hivyo kwa kiapo.

Baada ya mchepuko kuambiwa maamuzi ya kikao amekubaliana na suala moja tu la kumchukua mtoto,ila kuhusu nyumba anataka iendelee kuwa ya huyo mtoto wake tu kama walivyokubaliana awali,kwa madai kwamba hata yeye ana watoto wengine ambao siku za usoni watahitaji msaada wa kifedha kutoka kwenye hiyo nyumba.

Jamaa amegoma amemwambia mdomo wake umesababisha hayo yatokee,lakini ukweli ni kwamba yeye Mchepuko hakuchangia chochote kwenye ujenzi.

Kimenuka huko hakuna cha pesa ya matumizi wala pesa kwenda benki, Mchepuko anataka aolewe na jamaa awe mke mdogo amlee mwanaye yeye mwenyewe, jamaa naye anasema hana uwezo huo wa kuoa wake wawili na sio kuoa tu hata kuchepuka hataki tena,punguzeni midomo hizo tambo zinawaharibia.
Na kwa nn uzae na mwanaume wa watu...... wanawake tuna balaa sana
 
Zaa hata ujaze bus kabla hujanioa wala sitajali kama niliona unanifaa na watoto aitakiwa na shida nao kikubwa uweze kuwatunza. Ila baada ya ndoa ukizaa siwezi kulea mtoto wa usaliti wako kwa 100% hata mama yake akifa ukakabidhiwa sihusiki kwa chochote hata kumkorogea glucose akiugua. Ukatike wewe unogewe wewe majukumu tusaidiane never.
Uzuri hubby wangu anajua hili na likitikea atajua mwenyewe maana na mapenzi yatakuwa yameyumba tutaishi kwa kukomoana tu
Usitukane mamba hujavuka mto shoga
 
Back
Top Bottom