Ukiwa Tanga usiwe na haraka

Age ya 22-35yrs wengi wa huu umri ndio wategemewa kwa kuendesha uchumi wa eneo husika kwa maana ya nguvu kazi ila kwa Tanga hii age wanaopambana wengi ni wanawake angalia kwenye manunuzi ya matunda shamba to mjini|mkoani market wadada wa kitanga wanahusika sana kuliko vijana wa kiume pili vijana wa kiume wa umri huo wengi wamejikita kwenye shughuli nyepesi kama kuendesha pikipiki AISEE UKIWA TANGA Hakuna kero kubwa kama ya kuitwa kutumia usafiri wa pikipiki cha ajabu wadada wengi hutembea kwa miguu kuliko wanaobebwa kwenye pikipiki ni vijana wa kiume KIFUPI kuanzia kabuku to TNG wengi ni wadada anzia barabarani mpaka biashara zinazokutanisha wageni hapo wanawake wanapercentage kubwa sana pia segera to Tanga Hii nayo vile vile ingia huko Bush mkaa matunda wengi n wanawake hii barabara ya Horohoro to TANGA hii road imejaa wengi wanawake wapambanaji ila wenye kofia mbili katika biashara yao
 
Kiukweli Rate ya vijana wa kiume kutojishughulisha saiz inakuja juu Sana naona vijana wa kiume wengi wameegemea kwenye upande wa kuonewa huruma hii haijalishi anafamilia au yupo gheto au niaje yani wengi wetu tumesahau zile moment za enzi zile baba haonekani nyumbani Zaid ya miez kama sio mwezi ila akionekana basi ujue kila kitu kimeemda sawa binafsi naona vijana wa sasa wengi wanapenda kutafuta sababu ili wajifiche hapo nasio kutafuta sababu na kujipa chachu ya kufanikiwa zaidi
 
Sisi watanga tunawashangaa..hayo mambo mmeytaoa wap??mbona Tanga pako poa sana....yaaaan tena tanga hakuna izo purukushani
 
Pole, nadhani unafikiri, machungwa toka mkoa wa Tanga yanatoka Tanga mjini - Sahare, Duga, Chumvini, Makojoni, Raskazone...nk.
Machungwa yanatoka wilayani, vijijini.
Mjini watu ni wavivu.
Kuna Tanga na Tanga mjini (wilaya)

Tanga ya wavivu Ni TANGA mjinii sio mkoa wa Tanga

Machungwa yako muheza ,handenj,kipindi, korogwe,na mkinga .

Lushoto halimi chungwa jiografia hairuhusu .

Lushoto kuna peasi,parachichi,miwa,ndizi,mboga mboga nk
 
Wapo ila ..kwa znz..mafundi wa kushona nguo za kike ni wanawake si wanaume!
Watanga.. wamaume wanashona nguo za kike ..wengi mno mno wapo visiwani wanafanya kazi hiyo!
Kwa mantiki hio bac pemba hakuna vyerehani wala mafundi
 
Wapo ila ..kwa znz..mafundi wa kushona nguo za kike ni wanawake si wanaume!
Watanga.. wamaume wanashona nguo za kike ..wengi mno mno wapo visiwani wanafanya kazi hiyo!
Mkuu tembea uone maana mkifika Tanga ukiona mtu unadhani Ni mzawa wa hapo,.....

Na swala la ufundi ni aghalabu kumkuta fundi wa kiume hawezi kushona nguo za kike ila ni kawaida kwa fundi wa kike kushindwa nguo za kiume!
 
Kuna siku nilienda kule nikiwa tanga mjini kuna Sikh nikatumia usafiri wa hire, no Kama nilikua natokea sheeny wanaita sahare... Ile gari ikaanza route mle mitaani ikawa inaokoteza abiria kuna dada alikua bado anamalizia kujipodoa ndani kwake ili aelekee mjini aisee huwezi amini tulimsubiri mpaka akatoka na hakuna abiria aliyelalamika mle nikabaki kuchekea chini chini tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom