LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 457
- 1,746
Hebu fikiria mtu mmoja anamiliki kampuni kubwa au magari, ndege, meli maghorofa, nk.
Wafurahiao na kuyafaidi hayo mavitu ni wapambe na wafanyakazi wake.
Hebu fikiria labda ana ndege kadhaa wanaokula raha ni hao marubani wake na wafanyakazi wengine, maana sio kila sehemu ndege iendako naye atakuwepo.
Wafurahiao na kuyafaidi hayo mavitu ni wapambe na wafanyakazi wake.
Hebu fikiria labda ana ndege kadhaa wanaokula raha ni hao marubani wake na wafanyakazi wengine, maana sio kila sehemu ndege iendako naye atakuwepo.