Quimica
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 1,029
- 1,254
Habari za usiku wana JamiiForums hope wote ni wazima.
Siku ya leo, masaa machache yaliyopita msanii kwa jina la Rajabu abdul A.K.A Harmonize ameachia wimbo wake uitwao "attitude " aliowashirikisha kina Awilo pamoja na mtaalamu wa miuno H.BABA.
Mimi sio shabiki wa pande yeyote yaani sio wa WCB wala Kondegang lakini nimesikitishwa pale nlipooona kuwa ameiga style mbalimbali za Diamond Platnumz.
Kama umeangalia wimbo huo vizuri utaona wameiga au tuseme wamefanya kama Diamond. Mfano aina ya mavazi yaliyotumika yanaendana na mavazi ya nyimbo ya "waah "ya Diamond Platnumz ft Koffi Olomide pamoja na style ya kucheza ambapo wameiga nyimbo ya "inama" aliyoimba Diamond na Fally Ipupa na pia style ya "yope "ya Innos b pamoja na Diamond Platnumz.
Je, mmeona hivyo au ni macho yangu tu?
!! Maestro de quimica !!
Siku ya leo, masaa machache yaliyopita msanii kwa jina la Rajabu abdul A.K.A Harmonize ameachia wimbo wake uitwao "attitude " aliowashirikisha kina Awilo pamoja na mtaalamu wa miuno H.BABA.
Mimi sio shabiki wa pande yeyote yaani sio wa WCB wala Kondegang lakini nimesikitishwa pale nlipooona kuwa ameiga style mbalimbali za Diamond Platnumz.
Kama umeangalia wimbo huo vizuri utaona wameiga au tuseme wamefanya kama Diamond. Mfano aina ya mavazi yaliyotumika yanaendana na mavazi ya nyimbo ya "waah "ya Diamond Platnumz ft Koffi Olomide pamoja na style ya kucheza ambapo wameiga nyimbo ya "inama" aliyoimba Diamond na Fally Ipupa na pia style ya "yope "ya Innos b pamoja na Diamond Platnumz.
Je, mmeona hivyo au ni macho yangu tu?
!! Maestro de quimica !!