Oiyaaaa hii kweli ama masikhara 😳😄 maana uko mbele lazm ukutane na magogoUpo safarini usiku mnene, uko peke yako, unakatiza mapori mara hamaad. Unakutana na vitu kama hivyo barabarani.
Utafanyaje?
View attachment 2707516
kipindi kigumu sana hiki.. vizuri kama mtu wa safari za usiku tembea na cha moto mzee baba . hapo ni kujaribu bahati yako . ugeuza kama utaweza au upite kati kati ya hizo mbao za misumali mbili kama una control unapita vizuri sanaUpo safarini usiku mnene, uko peke yako, unakatiza mapori mara hamaad. Unakutana na vitu kama hivyo barabarani.
Utafanyaje?
View attachment 2707516
Mkono hapo ushaanza kutetemeka lazm aziparamie hapo 😀kipindi kigumu sana hiki.. vizuri kama mtu wa safari za usiku tembea na cha moto mzee baba . hapo ni kujaribu bahati yako . ugeuza kama utaweza au upite kati kati ya hizo mbao za misumali mbili kama una control unapita vizuri sana
Na gari manual mimi ndio kabiiisaaaa kichaa kingezidi maana hizo harakati za kubadili gia tayari gari imeshazima 😄Hapo unapunguza mwendo kidogo mpaka speed 50, halafu unaludi haraka na gia namba 2, unatembelea rim kwa speed kubwa
kwa mzoefu wa misala hapo unapita vizuri sana.. hutoboi hata tyre... but usalama kabla ya kutembe usiku ujue njia upitazo na tabia zake, ila cha moto muhimu sana kama mtu wa safari za usiku watu wabaya sana siku hizi..Mkono hapo ushaanza kutetemeka lazm aziparamie hapo 😀
Kweli kabisa safari za usiku ikiwezekana rounds mtu awe nazokwa mzoefu wa misala hapo unapita vizuri sana.. hutoboi hata tyre... but usalama kabla ya kutembe usiku ujue njia upitazo na tabia zake, ila cha moto muhimu sana kama mtu wa safari za usiku watu wabaya sana siku hizi..
kama upo mafuta sana, barabara pana sana hiyo . unageuza haraka sana bila shida pia.. hata wao hawato amini macho yao 🤣😅😅Kitendo cha kugeuza tu. Wajuba hawa hapa!
Mara nyingi kwenye situation kama hizi ukiwa na chamoto uwezekano wa wewe kuuawa unaongezeka maradufu kuliko ukiwa huna. Ukiwa huna cha moto sanasana watakuibia na kukupiga unless wawe ni vibaka tu na sio wazee wenyewe wa kazi. Kama ni wenyewe lazima wakuwahi.kwa mzoefu wa misala hapo unapita vizuri sana.. hutoboi hata tyre... but usalama kabla ya kutembe usiku ujue njia upitazo na tabia zake, ila cha moto muhimu sana kama mtu wa safari za usiku watu wabaya sana siku hizi..
nageuza gari narudi nilipo tokaUpo safarini usiku mnene, uko peke yako, unakatiza mapori mara hamaad. Unakutana na vitu kama hivyo barabarani.
Utafanyaje?
View attachment 2707516
kuna kipindi nilikuwa na safari za usiku tu... nakatisha mahala hatari kinomaa.. alafu alone tu... ila lazima ujue likitokea unaponaje.. 😅😅..Kweli kabisa safari za usiku ikiwezekana rounds mtu awe nazo
Hapo unakuta tayari wahuni wameshakuweka magogo nyuma picha linazidi kuwa la hatarikama upo mafuta sana, barabara pana sana hiyo . unageuza haraka sana bila shida pia.. hata wao hawato amini macho yao 🤣😅😅
sure, na ndio maana kabla hujapiga safari za usiku ujue tabia na matukio ya barabara husika.. mfano hiyo haraka haraka ni vibaka.. wazee wa kazi huwa wanakupiga na full gingi.. huchomoi.. ila walio weka hapo kama hawajiamini piaMara nyingi kwenye situation kama hizi ukiwa na chamoto uwezekano wa wewe kuuawa unaongezeka maradufu kuliko ukiwa huna. Ukiwa huna cha moto sanasana watakuibia na kukupiga unless wawe ni vibaka tu na sio wazee wenyewe wa kazi. Kama ni wenyewe lazima wakuwahi.