Nitafuta makanisa yote ya upako na ukanjanja,, kubaki na Catholic na Kkkt pekee,,
Nitazichanganya Simba na Yanga ziwe timu 1,,
Office zote za umma na binafsi ajira ni kwa wanaume pekee,, wanawake wabaki kufanya kazi za nyumbani, kilimo, ufugaji na ujasiriamamli,, sababu wanawake maofisini neno customer care kwao ni msamiati,,
Nitauvunjilia mbali muungano,,
Nitapiga marufuku bodaboda,, zibaki bajaj na uba,,
Umeme ukikatika kwa saa1 waziri wa nishati Jela mwaka 1,,
Ikibainika kuna mtu amepoteza maisha kwa uzembe wa daktali au muuguzi waziri wa Afya jela miaka 5,,
Waziri wa elimu marufuku kusomesha watoto au watu wa familia yako au ukoo wako nje ya nchi ama private,, somesha shule za kata,, ili fimbo nawe ikuchape,,
Nitafuta vyama vyote vya siasa nasema vyote,,
Nitahakikisha kila familia inamiliki shamba la heka 2 kwa ajili ya kulima mazao ya chakula I mean kila familia lazima ilime,,
Ili hakimu asajiliwe lazima afungwe jela mwaka mmoja ili auone uchungu hasa watakao upitia watu anaowahukumu bila hatia,,
Ukibainika ufisadi, rushwa, ujambazi, ubakaji, kuua kwa wivu wa mapenzi, ushoga, usagaji, kutoa mimba adhabu ni kupigwa risasi hadharani na live on TV,,
Marufuku kubeti, pool, tatu mzuka, dubwi la mchina, na kamari zote,,
Wakuu wa mikoa na wilaya kuchaguliwa kwa kura za wananchi wa mikoa na wilaya husika,,
Nitahakikisha kila familia inamiliki nyumba na gari,,
yani nina mengi basi tu ngoja leo niishie hapa sababu najua haiwezekani kuwa rais,,