Ukiwa Rais leo unaanzia wapi?

Ukiwa Rais leo unaanzia wapi?

Security and intelligence system kushugulika na michakato ya vyama vyote kwa usawa kipindi chote ili kutengeneza mazingira ya kuwa na uchaguzi huru na wa haki Kila baada ya miaka mitano, yaani wasilale kwa miaka minne na ushee alafu kipindi Cha uchaguzi ndio walale Sasa, sio wanalala miaka minne na ushee alafu wanakuja kukesha wiki mbili za uchaguzi eti ili mgombea wa chama kimoja ashinde dhidi ya vyama vingine,akati sisi wote ni wananchi wa nchi Moja,
 
Mwakilishi wa rais ngazi ya mkoa atokane na uchaguzi kati ya wazee wa mkoa husika anayejua watu wake, nyanja zote kulingana na makabila yaliyomo.
Pia awe kweli mzee mwenye busara sio kijana mwenye busara.
Asijiingize kwenye masuala ya kiutendaji. Ni just overseer wa rais.
Nakazia tena kuhakikisha miradi mikubwa fedha zinabaki ndan kwa kuwapa wakandaras wazawa. Kama ni mtaji natoa hazina kuwaboost.
..Nitahakikisha kila mwaka kuna bajet nzuri ya kusomesha wanafunzi wengi nje. Warudi na jambo jipya hasa teknolojia.
...Kila mwekezaji awe na mtaalam mzawa ndan ya project/kiwanda cha nchini.
...Lazma nibadirishe mwonekano wa fedha zilizopo kuanza upya udhibiti wa pesa.
...Napiga marufuku malipo yoyote ya cash zaidi ya mil 1.
...serkali yangu inaanza kununua dhahabu kama mazao. Kuuza nje ni mpaka serkali iseme haina pesa za kulipa mteja.
...Naruhusu uraia pacha kuvutia diaspora kurudisha mitaji nyumban.
...Naboresha uwazi kwa kuweka kwenye website ya serkali kila jambo la kimkataba au matumiz ya pesa kabla na baada ili kupata maoni nje ya walioko serkalini. Huu mtandao unashuka ngazi ya kitongoji.
Najenga kituo cha taarifa cha serkali kila kata ikiwemo maktaba, internet room, talking walls na Notice boards.
 
Trailer najitumbua mwenyewe then najirudisha Tena kitakachofuata hapo hamtaamini macho yenu..
 
Kwanza baada ya kuchambua wasaidizi wangu
Nafuta vyama vyote vya siasa na matumbo yao hata Chama mama
Nitaamua nini kifanyike hapo

2 Muungano ni kupiga kura kama Scotland wengi wape

3 Viboko marufuku na adhabu zote bali kuwa na ukaribu na wazazi kama mtoto hawezi kusoma ajifunze anachopenda zaidi hata kushona vikapu

Wazazi wawe na majukumu zaidi nyumbani kulea watoto wao
Wizi na Rushwa mwaka wa pili tu lazima upungue 40%

JKT kwa wanafunzi nafuta kabisa kwani haina msaada wowote ule toto bado linakuwa jizi tu hata baada ya adhabu zote hizo

Viwanja vyote vya shule, mahakama, polisi na hata vya sokoni walivyojigawia vingozi au kuwauzia matajiri vyote vitarudi

Diaspora nawapa dual citizenship siku ya Tatu tu

Nchi za Africa zote nawaruhusu waingie bila Visa

Marufuku kuwasumbua waafrika wanaoingia nchini ni lazima wapewe hadhi na heshima hata kama wameingia kinyemela waangaliwe vizuri sio kuwadhulumu mali zao

Ngoja niwe Rais mtalimia meno
 
Nitafuta kifuta chama Cha kijani kisionekane Tena Duniani na chawa wake wote ntawachoma sindano za sumu

Nitapunguza idadi ya wabunge bungeni had kufikia wabunge 100..tu nakigezo Ili uwe mbuge at least uwe na masters..

Nitabadili mitaala ya elimu Ili kuendana na Dunia inataka nini

Nitabadili katiba na kupunguza madaraka ya rais

Nitaondoa ma DaS na wakurugenzi kweny kila wilaya nitaacha wakuu wa wilaya..

Nitafanya mapinduzi ya kijani kweny kilimo...Ili Tanzania iweze kuirisha Africa mzima
Duh!

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Kila mtu ana ndoto. Kila mtu huamini ana suluhisho sahihi. Hata hivyo tukubariane hakuna mbinu moja katika kutafuta jawabu la changamoto za ustawi wa maisha. Ndo mana ubepari na ujamaa hakuna ajuaye fika ipi ni bora kufanya maisha yawe na maana.

Kutofautiana ndiko huleta matokeo chanya. Leo ukipewa nchi ya Tanzania utaanza na lipi? (Katika hili utani/mizaha haipokelewi). Bila kutamka ELIMU mana kila mtu ataanza nalo,
Mimi nitaanza;

1. Kufuta vyama vyote vya siasa wajisajiri upya na visizidi 4 na kuruhusu mgombea binafsi kuruhusu siasa zenye uwiano. Mali zote zilizoko mikonon mwa ccm na zilipatikana wakat wa mfumo wa chama kimoja kwa jasho la wote zinarudi serkalini.
2. Nitaondoa kero zote za muungano (kuweka win win union) hata zikigharimu kura ya kutengana mazima.
3. Nitaichambua upya mikataba mikubwa ya madini, gesi/mafuta, bandari na mbuga.
4. Nitaboresha sera ya mahusiano ya kimataifa kufanya biashara na taifa lolote.
5. Nitafuta makosa yote walio magereza isipokuwa walioua nawapa haki yao wote.
6. Nitajenga matajiri wazawa. Kila tenda kubwa na ndogo wazawa kwanza labda wakiri si level yao.
7. Nitafuta bidhaa zote zinazoweza kutengenezwa ndan kuwa imported. Uhitaji utazaa uwekezaji wa ndani.
8. Nitapunguza gharama za kuendesha serkali kwa 40%
9. Nitabadiri sheria kadhaa ikiwemo kutunga sheria ya kuua wahujum uchumi wakubwa.
Kila aliyefaidika na mifumo ya nyuma nitamruhusu aendeleze alichokwapua kuliko kutoroshea nje, hakuna makosa ya nyuma.
10. Nitaboresha mifumo ya kutawalana ianzie ngazi ya balozi na kuimarisha kamati ya maadili ya kila jamii husika. Kila mtu atajulikana ni nani, anafanya nini.

Pia nitaboresha mifumo na utendaji wa serkali (Serikali, Bunge na Mahakama) ikiwemo wabunge wawe na elimu kuanzia degree na uhuru wa mahakama. Mwisho kabisa, serkali itasimamia vyanzo vikubwa vya uzalishaji kupitia kampuni kwa ubia.

Lengo kuu ni ustawi wa watu ujidhihiri katika furaha ya kuishi (kama scandinavian states)
Namba 9 Point aya ya kwanza tuko pamoja.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Navunja ule mkataba wa hovyo wa bandari, kisha naisimamisha juu ya kilele cha mlima Kilimanjaro bendera tukufu ya Tanganyika.

Nikitoka hapo naenda kuweka shada la maua kwenye kaburi la Samia.
 
1.Kuruhusu mchakato wa katiba mpya.
2.kupunguza madaraka ya Rais.
3.Kufuta wabunge wa viti maalum.
4.Kufuta ma dc na ma das.
5.kutunga sheria ya kuwapiga risasi wala rushwa na wahujumu uchumi.
6.Kufuta wapinzani uchwara wote kama Zitto, Mbowe, le profesa,Mbatia nk.Anaetaka siasa awe msemakweli kama Tundu A Lissu.
7.Kupiga marufuku watu wanaitwa chawa wa aina yoyote.
8.Mtumishi wa uma asiefata kiapo chake kazini imekula kwake hakuna mwananchi kunyanyaswa kwenye taasisi za uma.
9.Spika na jaji mkuu wakijipendekeza kwangu mimi Rais imekula kwao.
10.Mbunge anaetetea serikali badala ya wapigakura wake imekula kwake.
11.Kurudisha mali zote serikalini zilizopatikana kwenye mfumo wa chama kimoja.
Tuishie kwanza hapo upuuzi ni mwingi sana nchi hii.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza baada ya kuchambua wasaidizi wangu
Nafuta vyama vyote vya siasa na matumbo yao hata Chama mama
Nitaamua nini kifanyike hapo

2 Muungano ni kupiga kura kama Scotland wengi wape

3 Viboko marufuku na adhabu zote bali kuwa na ukaribu na wazazi kama mtoto hawezi kusoma ajifunze anachopenda zaidi hata kushona vikapu

Wazazi wawe na majukumu zaidi nyumbani kulea watoto wao
Wizi na Rushwa mwaka wa pili tu lazima upungue 40%

JKT kwa wanafunzi nafuta kabisa kwani haina msaada wowote ule toto bado linakuwa jizi tu hata baada ya adhabu zote hizo

Viwanja vyote vya shule, mahakama, polisi na hata vya sokoni walivyojigawia vingozi au kuwauzia matajiri vyote vitarudi

Diaspora nawapa dual citizenship siku ya Tatu tu

Nchi za Africa zote nawaruhusu waingie bila Visa

Marufuku kuwasumbua waafrika wanaoingia nchini ni lazima wapewe hadhi na heshima hata kama wameingia kinyemela waangaliwe vizuri sio kuwadhulumu mali zao

Ngoja niwe Rais mtalimia meno
Wanigeria watoe hapo zile mtu ni balaa zito

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Wanigeria watoe hapo zile mtu ni balaa zito

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo tuwakubali waafrika wote kasoro hao

Hapana acha tuwape kwanza ili tupate sababu ya kuwafukuza

Yaani nchi yetu ni ya 133
Tunaweza kuingia nchi 47 tu bila Visa duniani
Halafu nchi hizo sasa mpaka kicheko
Kweli Vanuatu, Fiji,Bangladesh, Sri Lanka, St Lucia , St Kites zingine kuna watu hawajawahi kuzisikia kwa sababu ni njaa zaidi yetu
 
1.Kuruhusu mchakato wa katiba mpya.
2.kupunguza madaraka ya Rais.
3.Kufuta wabunge wa viti maalum.
4.Kufuta ma dc na ma das.
5.kutunga sheria ya kuwapiga risasi wala rushwa na wahujumu uchumi.
6.Kufuta wapinzani uchwara wote kama Zitto, Mbowe, le profesa,Mbatia nk.Anaetaka siasa awe msemakweli kama Tundu A Lissu.
7.Kupiga marufuku watu wanaitwa chawa wa aina yoyote.
8.Mtumishi wa uma asiefata kiapo chake kazini imekula kwake hakuna mwananchi kunyanyaswa kwenye taasisi za uma.
9.Spika na jaji mkuu wakijipendekeza kwangu mimi Rais imekula kwao.
10.Mbunge anaetetea serikali badala ya wapigakura wake imekula kwake.
11.Kurudisha mali zote serikalini zilizopatikana kwenye mfumo wa chama kimoja.
Tuishie kwanza hapo upuuzi ni mwingi sana nchi hii.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Mambo yote urais umepata kura yangu. Lakin la kufunga mafisadi litazalisha visasi na heka heka nyingi. Kumbuka wale ni watanzania walioamua kujimegea kikubwa. Sasa wakikaa na utajiri na kuinufaisha Tanzania kupitia uwekezaj wao sion shida maana ni kama nchi inazaliwa upya (Renaissance). Kila mtu anaanzia alipo twende mbele.
Lengo si kutiana umaskin wala kulipizana na kukomoana wala kuwajibishana kwa yaliyopita mana ni ubovu wa mfumo. Hadi hapo wakigoma kurudisha mitaji ndani.
 
Mambo yote urais umepata kura yangu. Lakin la kufunga mafisadi litazalisha visasi na heka heka nyingi. Kumbuka wale ni watanzania walioamua kujimegea kikubwa. Sasa wakikaa na utajiri na kuinufaisha Tanzania kupitia uwekezaj wao sion shida maana ni kama nchi inazaliwa upya (Renaissance). Kila mtu anaanzia alipo twende mbele.
Lengo si kutiana umaskin wala kulipizana na kukomoana wala kuwajibishana kwa yaliyopita mana ni ubovu wa mfumo. Hadi hapo wakigoma kurudisha mitaji ndani.
Sitafukua makaburi mimi nitaanza na awamu yangu atakaejaribu kuchezea mali ya wa Tanzania AK 40 7 inamuhusu.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
1. Nitaanza na kufumua mfumo wa elimu ujikite katika vitendo zaidi na siyo nadharia.

2. Somo la computer na matumizi ya mtandao litakuwa lazima kuanzia shule ya msingi hadi vyuo vikuu.

3. Nitaondoa maisha ya mfumo wa ujamaa na kuupa kipao mbele ubepari. Unapata unachostahili na baada ya kukipambania wewe mwenyewe.
 
Kila mtu ana ndoto. Kila mtu huamini ana suluhisho sahihi. Hata hivyo tukubariane hakuna mbinu moja katika kutafuta jawabu la changamoto za ustawi wa maisha. Ndo mana ubepari na ujamaa hakuna ajuaye fika ipi ni bora kufanya maisha yawe na maana.

Kutofautiana ndiko huleta matokeo chanya. Leo ukipewa nchi ya Tanzania utaanza na lipi? (Katika hili utani/mizaha haipokelewi). Bila kutamka ELIMU mana kila mtu ataanza nalo,
Mimi nitaanza;

1. Kufuta vyama vyote vya siasa wajisajiri upya na visizidi 4 na kuruhusu mgombea binafsi kuruhusu siasa zenye uwiano. Mali zote zilizoko mikonon mwa ccm na zilipatikana wakat wa mfumo wa chama kimoja kwa jasho la wote zinarudi serkalini.
2. Nitaondoa kero zote za muungano (kuweka win win union) hata zikigharimu kura ya kutengana mazima.
3. Nitaichambua upya mikataba mikubwa ya madini, gesi/mafuta, bandari na mbuga.
4. Nitaboresha sera ya mahusiano ya kimataifa kufanya biashara na taifa lolote.
5. Nitafuta makosa yote walio magereza isipokuwa walioua nawapa haki yao wote.
6. Nitajenga matajiri wazawa. Kila tenda kubwa na ndogo wazawa kwanza labda wakiri si level yao.
7. Nitafuta bidhaa zote zinazoweza kutengenezwa ndan kuwa imported. Uhitaji utazaa uwekezaji wa ndani.
8. Nitapunguza gharama za kuendesha serkali kwa 40%
9. Nitabadiri sheria kadhaa ikiwemo kutunga sheria ya kuua wahujum uchumi wakubwa.
Kila aliyefaidika na mifumo ya nyuma nitamruhusu aendeleze alichokwapua kuliko kutoroshea nje, hakuna makosa ya nyuma.
10. Nitaboresha mifumo ya kutawalana ianzie ngazi ya balozi na kuimarisha kamati ya maadili ya kila jamii husika. Kila mtu atajulikana ni nani, anafanya nini.

Pia nitaboresha mifumo na utendaji wa serkali (Serikali, Bunge na Mahakama) ikiwemo wabunge wawe na elimu kuanzia degree na uhuru wa mahakama. Mwisho kabisa, serkali itasimamia vyanzo vikubwa vya uzalishaji kupitia kampuni kwa ubia.

Lengo kuu ni ustawi wa watu ujidhihiri katika furaha ya kuishi (kama scandinavian states)
kabla ya mambo menine yoote, nitaanza na DP WORLD, LOLIONDO NA NGORONGORO. wangebaki mdomo wazi.
 
✓Nabadirisha katiba hii ya hovyo
✓naleta Tume huru ya uchaguzi ✓nafungua kesi kwa mafisadi wote na waujumu uchumi
✓shule za msingi lugha ya kujifunzia itakuwa English na si kiswahili
✓nafuta course zisizo na tija vyuoni na kutoa scholarship za kutosha ikiwa ni njia ya kupata technology ya nchi zilizoendelea
✓Nabana matumizi napunguza deni la taifa nawekeza kwenye viwanda na malighafi ili kupunguza Import trade
 
Mimi ningeanza na mafisadi wote ningewakamata na kutaifisha mali zao na wasipotii nawanyonga. Baada ya kurudisha mali zilizoibwa natumia hizo mali kuwapangia maisha masikini wote kwa kuwapa makazi na mtaji utakaowawezesha kupata kipato japo kidogo cha kujikimu. Baada ya hapo ni kuwalipa pensheni wazee wote wa miaka 65 kuendelea hususani wakulima na wale wasiokuwa na pensheni. Kisha tuangalie namna ya kuwasaidia watu kupata kazi hasa vijana waliosoma na kuwatumia kwa kuleta maendeleo ya nchi ikishindikana ni kuwalipa posho wote wasiokuwa na ajira kima cha chini cha mshahara mpaka watakapopata ajira. Nchi hii tajiri inatakiwa usimamizi mzuri kwa ukatili usiogope kuua.
 
1.Nitaanza kushughulikia ripoti za CAG na kushtaki wote waliotajwa bila huruma.

2. Nitaichukua katiba ya Warioba na kuitisha referendum juu yake.

3. Nitabadili mfumo mzima wa na kitengeneza taasisi imara.

4. Nitavunja mkataba wa gas ya mtwara.

5. Marais walioliletea taifa hasara watawekwa kizuizini na kufilisiwa.

6.watoto wa viongozi wote ambao ni viongozi watashtakiwa kwa kuhujumu taifa na kusapoti nepotism.

7. Nitahakikisha Sheria mpya ya kuzuia chama cha siasa kuingilia au kushauri serikali kwa namna yoyote ile.

8. Vyombo vya ulinzi na usalama vitafanya kazi kama ambavyo sheria zinavyotaka.

9. Nitahakikisha bajeti kubwa kwenda sekta ya elimu na tafiti.

10. Nitazuia tenda za ujenzi kupelekwa makampuni ya nje na kuyapa uwezo ya ndani, unless otherwise kwenye issue nzito.

Ajaye.
 
1.Nitaanza kushughulikia ripoti za CAG na kushtaki wote waliotajwa bila huruma.

2. Nitaichukua katiba ya Warioba na kuitisha referendum juu yake.

3. Nitabadili mfumo mzima wa na kitengeneza taasisi imara.

4. Nitavunja mkataba wa gas ya mtwara.

5. Marais walioliletea taifa hasara watawekwa kizuizini na kufilisiwa.

6.watoto wa viongozi wote ambao ni viongozi watashtakiwa kwa kuhujumu taifa na kusapoti nepotism.

7. Nitahakikisha Sheria mpya ya kuzuia chama cha siasa kuingilia au kushauri serikali kwa namna yoyote ile.

8. Vyombo vya ulinzi na usalama vitafanya kazi kama ambavyo sheria zinavyotaka.

9. Nitahakikisha bajeti kubwa kwenda sekta ya elimu na tafiti.

10. Nitazuia tenda za ujenzi kupelekwa makampuni ya nje na kuyapa uwezo ya ndani, unless otherwise kwenye issue nzito.

Ajaye.
😅 Sawa mheshimiwa ila uhakikishe hauendi kinyume na katiba 😊🔥
 
Back
Top Bottom