Ripoti kuhusu kuuawa Alli Kibao imekaliwa,Itatangulizwa hela hapo....wewe acha tu badala ya hiyo hela kutumia kutoa fidia kwa wahanga wa mauaji wanaenda kupewa kina Jaji Chande na wenzake waendelee kula Mema ya nchi na kuendelea kustaafu vizuri
Mke mdogo wa Abdul unahangaika sanaKwa hiyo unamtaka Tundu na Kitima na Heche ndiyo waandae maridhiano?? You are joking!!
Nyinyimetaka luchoma nchi tarehe 29/10 na tunajuwa mlikuwa na ushirikiano kati ya CHADEMA, Gwajima, Maria Sarungi na MangeKimambi katika kupnga na ku-finance Qakenya wa kuanzisha fujo za uharibifu ili Watanzania wadandie kwenye huo uhayawani.
Kama hamtaki maridhiano KWENDRAAAAA
Mke mkubwa wa Abdul hauhangaiki kabisaMke mdogo wa Abdul unahangaika sana
Huyo Abdul mimi nambokoa kabisaMke mkubwa wa Abdul hauhangaiki kabisa
Mzee Warioba anefuatwa na wauwaji Ili asaidie kuwaombea msamaha na maridhiano na watzUnaridhiana nini na muuaji?